×

Usiku wa Maamuzi Camp Nou: Nani Atamfunika Mwenzake Barcelona vs Atletico?

Usiku wa patashika nguo kuchanika  kati ya Diego simeone na Hansi Flick ambapo kilka mmoja anatamani kutumia mbinu zake ili...

READ MORE

Video: Marekani na Iran Zakubaliana Kusitisha Mapigano kwa Wiki Mbili

Rais wa Marekani, Donald Trump, amepunguza mvutano wa vita kwa kutangaza kusitishwa kwa mashambulizi dhidi ya Iran, huku mataifa hayo...

READ MORE

Museveni na Kikwete Wakutana Kujadili Amani Sudan Kusini

Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania na Mwakilishi Maalum wa Umoja...

READ MORE

Kanye West Azuiwa Kuingia Uingereza, Tamasha Kubwa Lafutwa

Tamasha kubwa la muziki la Wireless Festival limefutwa rasmi baada ya Rapa Ye (zamani akijulikana kama Kanye West) kuzuiwa kuingia...

READ MORE

Rais wa Sudan Kusini Amtumbua Spika wa Bunge na Naibu Wake

RAIS wa Sudan Kusini, Salva Kiir amemfuta kazi Spika wa Bunge la nchi hiyo, Jemma Nunu Kumba pamoja na Naibu...

READ MORE

Meridianbet Waja na Pia Sloti: Cheza na Ushinde Kama Cowboy wa Marekani

Kwenye kila kona za mtaa, Pia Sloti kutoka Meridianbet imetikisa baada ya kuja na nguvu ambayo hujawahi kuiona. Hapa unakutana...

READ MORE

Trump Aitaja China Kusukuma Iran Kukubali Mazungumzo ya Amani

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema anaamini kuwa China imekuwa na mchango mkubwa katika kuishawishi Iran kukubali kuingia kwenye mazungumzo...

READ MORE

Magori Afunguka Sakata la Mpanzu, Asema Hana Mgomo wa Mkataba

Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Crescentius Magori, amejitokeza na kutoa ufafanuzi kuhusu hali ya wachezaji Mpanzu na Loemba pamoja na...

READ MORE

Fahamu Wasifu wa Wajumbe wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uchaguzi

Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Kabla na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 imeendelea kupewa muda...

READ MORE

Serengeti Apple Yanogesha Pasaka kwa Mandhari, Ladha na Vibe ya Kipekee Dar es Salaam

Kama sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Pasaka kote nchini, Serengeti Apple iliandaa premium brunch experience maalum mwishoni mwa wiki...

READ MORE

NASA Yafichua Mandhari ya Ajabu ya Mwezi na Dunia, Yatoa Picha za Kihistoria

Shirika la anga la NASA limetoa picha za kipekee zikiwemo “Earthset” na matukio ya kupatwa kwa jua, zilizopigwa wakati wa...

READ MORE

Mashambulizi ya Marekani Kharg Island Yaibua Mjadala Mpya Iran

Marekani imeendelea na operesheni zake za kijeshi dhidi ya Iran baada ya kuripotiwa kushambulia maeneo ya kijeshi katika Kisiwa cha...

READ MORE

Sakata la Uraia Lapamba Moto, Simba Yagoma Kukubali Uamuzi – Video

Klabu ya Simba SC imesisitiza kuwa bado haijafunga ukurasa wa sakata la mchezaji wa Yanga, ikionesha nia ya kuendelea kulifuatilia...

READ MORE

Video: CCM Yaitaka Serikali Kutoa Ruzuku Kupunguza Bei ya Mafuta

Chama cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimeishauri serikali kuangalia uwezekano wa kutoa ruzuku kwa mafuta ili kupunguza makali ya...

READ MORE

Trump Awasiliana na Wanaanga wa Artemis II “Mmeifanya Marekani Kujivunia” – Video

Rais wa Marekani Donald Trump amewapigia simu wanaanga wa misheni ya Artemis II masaa machache baada ya kufanikisha safari yao...

READ MORE

Samia Aongoza Maadhimisho ya Karume Day Kisiwandui – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameungana na viongozi wengine wa serikali na chama katika kuadhimisha...

READ MORE

Samia, Mwinyi Washiriki Dua ya Kumkumbuka Karume Miaka 54 Tangu Kuuawa (Picha +Video)

Rais Samia Suluhu Hassan leo ameshiriki Dua maalum ya kumuombea aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza...

READ MORE

Arsenal na Real Madrid Kwenye Mtihani Mzito Robo Fainali UEFA leo

Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo...

READ MORE

Trump Awageukia Waandishi, Atishia Kuwapeleka Jela

Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kuwachukulia hatua kali, ikiwemo kuwafunga jela waandishi wa habari waliotoa taarifa za siri kuhusu...

READ MORE

Simba Kuikabili TRA, Dodoma Jiji na Fountain Gate jijini Arusha

Klabu ya Simba imeondoka asubuhi ya leo Aprili 7, 2026 kuelekea Arusha kwa ajili ya kuanza ratiba ya michezo mitatu...

READ MORE