×

Maelfu ya watu waandamana kabla ya kuapishwa kwa Trump

Maelfu ya watu wengi wao wanawake waliandamana mjini Washington jana Jumamosi Januari 18, 2025, kulalamika dhidi ya kuapishwa kwa Rais...

READ MORE

Kilimanjaro International Marathon 2025 Yazinduliwa Moshi

Msimu wa 23 wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2025 umezinduliwa mwishoni mwa wiki katika Hoteli...

READ MORE

Wasira Ashinda Kwa Kishindo Umakamu Mwenyekiti Tanzania Bara

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu maalum wa chama Cha Mapinduzi,(CCM), unaoendelea jijini Dodoma wamemchagua kwa kishindo  Stephen Masato Wasira, kuwa Makamu...

READ MORE

Rais Samia Na Viongozi Wengine Wa CCM Wapiga Kura Kumchagua Makamu Mwenyekiti

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga...

READ MORE

Mwenyekiti wa CCM na Rais Dkt. Samia Aongoza Mkutano Mkuu Maalum wa Chama

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Mkutano...

READ MORE

Shinda Mamilioni ya Pesa na Meridianbet Leo

Wikendi yako inaanza kwa kusuka jamvi na Meridianbet mechi zote ambapo mechi hizo zina odds kubwa na machaguo uyapendayo. Ingia...

READ MORE

Sharifa Suleiman Mwenyekiti Mpya Bawacha, Awabwaga Washindani wake

 Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Sharifa Suleiman ameshinda nafasi ya uenyekiti wa baraza hilo atakaloliongoza...

READ MORE

Mwenyekiti wa CCM Dkt. Samia Alivyoongoza Kikao Cha Halmashauri Kuu Taifa Dodoma

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe...

READ MORE

Mganga Mkuu wa Serikali Atenguliwa, Dk. Grace Magembe Achukua nafasi yake

Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Prof Tumaini Joseph Nagu aliyekuwa Mganga Mkuu wa Serikali. Taarifa iliyotolewa na Katibu...

READ MORE

Dkt. Slaa Akosa Dhamana, Kuendelea Kusota Rumande Hadi Januari 23

Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea...

READ MORE

Rais Samia Afanya uteuzi, uhamisho na utenguzi wa viongozi

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi, uhamisho na utenguzi wa viongozi mbalimbali, soma taarifa kamili iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano...

READ MORE

Ijumaa ya Kitajiri na Meridianbet Hii Hapa

Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS...

READ MORE

Rais Samia Aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Dodoma

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao...

READ MORE

Watumiaji wa Yas Wazidi Kunufaishwa na Magift ya Kugift

Dar es Salaam 17 Januari 2025: Kampuni ya mtandao wa mawasiliano ya Yas Tanzania, imekabidhi zawadi kwa washindi wa  Promosheni...

READ MORE

Dorothy Semu Atangaza nia ya Kugombea Urais 2025

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu ametangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Baada ya Kuumizwa Sana na Mapenzi, Hatimaye Mbinu Hii Imenipatia Mume

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 34 nilikuwa kwenye mahusiano miaka mitano huko nyuma, imekuwa miaka miwili tangu uhusiano...

READ MORE

Shindano la Expanse Zimebaki Siku Tatu tu Milioni ipate Mwenyewe

Zimebaki siku tatu kuhakikisha mdau anaing’arisha Januari yake kwa kushinda kitita cha shilingi milioni moja taslimu kupitia shindano la Expanse...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 17, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Ibuka Na Mkwanja Kupitia Michezo Itakayochezwa Leo

Una nafasi ya kunyakua mkwanja wa kutosha kupitia michezo mbalimbali ambayo itapigwa leo katika ligi kuu ya Uingereza, lakini pia...

READ MORE

Serikali Yatoa tamko kuhusiana na tetesi za uwepo wa ugonjwa wa Marburg

Serikali kupitia Wizara ya Afya inayoongozwa na Waziri Jenista Mhagama, imetoa tamko rasmi kuhusiana na tetesi za uwepo wa ugonjwa...

READ MORE