×

Njiani Mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu Lissu Akielekea Nyumbani Kwao Ikungi

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Mhe. Tundu Lissu amesalimiana na  wananchi wa Manyoni akielekea katika mapokezi...

READ MORE

Kanisa La Nabii Suguye Latimiza Miaka 18

Kanisa la WRM Ministries lililo chini ya @prophet_nicolaus_suguye leo linatimiza Miaka18 tangu kuanzishwa kwake huku Prophet Nicholas Suguye akijivunia makubwa...

READ MORE

Shigongo Katika Mkutano Wa IPU Aelezea Umuhimu Wa Afrika Kutumia Maliasili – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameshiriki Mkutano wa Mabunge ya Dunia (Interparliamentary Union) unaofanyika katika Makao Makuu ya Umoja wa...

READ MORE

Papa Francis Apelekwa Hospitali, Chanzo Chatajwa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, mwenye umri wa miaka 88, alikimbizwa hospitali ya Policlinico Agostino Gemelli mjini Roma...

READ MORE

Adakwa Na Gwanda Za JWTZ Akijifanya Mjeda

Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu linamshikilia Emmanuel Mapana (24) maarufu kwa jina la Mchambi mkazi wa mtaa wa Sima,...

READ MORE

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson Alivyofunga Mkutano Jijini New York

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson,...

READ MORE

Makamu wa Rais Afanya Mazungumzo na Balozi wa Uganda nchini Kanali Mstaafu Fred Mwesigye

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Februari 15, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Mpango Mkali Wa Kutatua Vita Ya Ukraine Wafichuka

Rais wa Marekani Donald Trump aliyeahidi kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine sasa ameanza kufanyia kazi ahadi hiyo. Jana...

READ MORE

Yanga yaichapa KMC 6-1, Aziz Ki ang’ara kwa hat-trick

Young Africans SC wameweka hai matumaini yao ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania baada ya kuibuka na ushindi...

READ MORE

DC Magoti Azindua Taasisi ya Planet Servers Iliyojipanga Kulinda Mazingira

Pwani, 14 Februari 2025: Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti amezindua taasisi isiyo ya kiserikali ya Planet Servers Foundation...

READ MORE

DC Magoti Alivyowapa Onyo Kali Watakaosababisha Uzembe Kwenye Elimu ya Watoto Wao

Kisarawe, Pwani. 12 Februari 2025: Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, Petro Magoti amewaonya wazazi watakaofanyia mzaha elimu za...

READ MORE

Rais Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano Wa 38 Wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili leo, tarehe 14 Februari 2025, katika Uwanja wa...

READ MORE

Kamati ya Ligi Kuu Yawapeleka Kamati ya Maadili Ali Kamwe na Hamis Mazanzala

Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi imewapeleka kwenye kamati ya maadili ya shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF),...

READ MORE

Serikali Yatoa Tamko Kuhusu Mpango Wa Uendelezaji Wa Eneo Maalum La Kiuchumi La Bagamoyo

Serikali ya Tanzania imekanusha taarifa zinazozagaa mtandaoni zikidai kwamba kampuni moja kutoka Saudi Arabia imepatiwa mkataba wa ujenzi na uendeshaji...

READ MORE

Mtoto Wa Elon Musk Azua Gumzo Mitandaoni

Msanii wa muziki wa Kanada anayefanya shughuli zake Marekani, Grimes, amemkosoa vikali aliyekuwa mpenzi wake na baba wa watoto wake...

READ MORE

ODDA KUBWA na Machaguo Zaidi ya 1000 Yapo Hapa

Ijumaa ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao...

READ MORE

Harmonize Aleta Furaha Ya Valentine’s Day Kwa Music Video Yake Mpya

Nyota wa Bongo Flava na Amapiano, Harmonize, ameachia wimbo wake mpya Furaha, ambao umetikisa mitandao ya kijamii si kwa ladha...

READ MORE

Trump Kupitisha Fagio Balozi Zote Za Marekani

Rais Donald Trump wa Marekani amezitaka balozi za nchi hiyo duniani kote kujiandaa kwa upunguzwaji mkubwa wa wafanyakazi ikiwa ni...

READ MORE

Watu Watatu Wafariki baada ya Lori kuacha Njia Kimara Stop Over Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema watu watatu wamethibitika kufariki dunia baada ya lori lililokuwa linatokea...

READ MORE