×

Shinda Mkwanja na Expanse Tournament

Milioni moja taslimu ipo inakusubiri pale tu ukiingia kwenye kinyang’anyiro cha kushiriki shindano la mabingwa la Expanse ambapo mshindi ataondoka...

READ MORE

Rais Samia Asikishwa na kifo cha DC wa Mbozi, mkoa wa Songwe, Esther Alexander

Rais Samia Suluhu Hassan amesikishwa na kifo cha DC Mbozi, mkoa wa Songwe, Esther Alexander kilichotokea leo Januari 14, 2025...

READ MORE

Deogratius Mahinyila Ashinda nafasi ya Uenyekiti Bavicha – Video

Deogratius Mahinyila ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Baraza la Vijana Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) baada ya kupata kura...

READ MORE

Lema Abananishwa Maswali Mazito Kumuunga Mkono Lissu – Video

Mwanasiasa machachari na Mbunge wa Zamani wa Arusha, Godbless Lema amesema anamuomba Freeman Mbowe apumzike na kumuachia Tundu Lissu nafasi...

READ MORE

Timiza Ndoto Zako na Meridianbet Kuanzia Sasa

Meridianbet inakuambia hivi kuwa siku ya wewe kuondoka na kibunda ndio hii ya leo. Dortmund, Chelsea. Juventus wapo tayari kukupatia...

READ MORE

Watu Watatu Washikiliwa Kwa Tuhuma za Mauaji ya Watu Wawili

Tukio la mauaji na majeruhi lililotokea Januari 10, 2025, katika Kitongoji cha Shitanda, Kijiji cha Luhanga, Wilaya ya Mbarali, mkoani...

READ MORE

Siri ya Wimbo Chanzo wa Rehema Simfukwe Yatobolewa Hadharani

Dar es Salaam, 12 Januari 2025: Mwanamuziki maarufu katika muziki wa Injili nchini, Rehema Simfukwe amevunja ukimya kwa mara ya...

READ MORE

Lori Laua 11 Walioenda Kushuhudia Ajali Kata ya Segera Wilayani Handeni – Video

Wanakijiji 11  wa kijiji cha Chang’ombe kilichopo kwenye kata ya Segera wilayani Handeni, leo Januari 14, 2025 wamefariki dunia na...

READ MORE

Daktari wa Upasuaji wa Ubongo Ageuka Shujaa wa Kupambana na Moto Los Angeles

Chester Griffiths (62), daktari wa ubongo anayeishi Malibu, Los Angeles nchini Marekani amegeuka shujaa katika janga la moto kwa kuonesha...

READ MORE

Pep Guardiola na mkewe Waachana baada ya kudumu kwa Miaka 30

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola na mkewe, Cristina Serra wameachana baada ya kudumu kwenye mapenzi kwa muda wa miaka...

READ MORE

Taharuki! Dada Wa Kazi Adaiwa Kutoroka Na Watoto Wa Bosi Wake, Familia Yaomba Msaada – Video

Dada wa kazi aliyekuwa akifanya kazi kwenye familia ya Mohammad Kassim anadaiwa kutoroka na watoto wawili wa familia hiyo, zikiwa...

READ MORE

Uchaguzi BAZECHA: Suzan Lymo Mwenyekiti Mpya, Hellen Kayanza Katibu Mkuu

WAJUMBE wa Baraza la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAZECHA), wamepiga kura na kumchagua Suzan Lymo kuwa Mwenyekiti...

READ MORE

TLSB Kuwakutanisha Waandishi na Wachapishaji Vitabu Dar

BODI ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB), imeandaa mkutano wa waandishi na wachapishaji wa vitabu kuhusu Sheria ya amana kwenye...

READ MORE

Msanii ‘Mwana FA’ Ashuhudia COSOTA Ikisaini Makubaliano ya Pamoja na TAA

Ofisi ya Hakimiliki Tanzania COSOTA yasaini Makubaliano ya pamoja na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania kwa ajili ya kulipia...

READ MORE

Balozi Nchimbi na Mongela Wamtembelea Mzee Mangula

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiambatana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara),...

READ MORE

M-Bet yatambulisha tovuti yenye huduma bora na bomba kwa wateja

Dar es Salaam. Kampuni inayojulikana kwa ubunifu katika sekta ya michezo ya kubahatisha, M-Bet Tanzania, imezindua muonekano mpya wa tovuti...

READ MORE

Nimechanganyikiwa! Mke Wangu Anatembea na Mtu Aliyedai ni Ndugu Yake

Ama kwa hakika ukistaajabu ya musa basi utaona ya firauni, kuna mambo unaweza kuambiwa ukahisi ni simulizi fulani ya kutunga...

READ MORE

Sloti ya Giant Wild Goose Pagoda Unyama wa Kasino Ulipo

Giant Wild Goose Pagoda ni mchezo wa sloti kwenye kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari minne na...

READ MORE

Mbowe: Chadema Ni Kikubwa Kuliko Mtu Yeyote, Kilindeni Kwa Nguvu Zote – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema chama hicho ni kikubwa kuliko mtu yeyote na kuwataka...

READ MORE

Che Malone Awaomba Radhi Mashabiki wa Simba

Beki wa kimataifa, Che Malone kupitia ukurasa wake wa Instagram leo Januari 14, 2025 amewaomba radhi mashabiki wa Simba na...

READ MORE