×

Rais Samia Ahutubia Taifa Akiwatakia Heri Ya Mwaka Mpya Wa 2025 – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwautubia Watanzania kwa Salamu za Mwaka Mpya Ikulu ndogo...

READ MORE

CRDB Yafungua matawi Mapya Mugango, Sirari Mkoani Mara

Katika kuufunga mwaka 2024 kwa huduma bora, Benki ya CRDB imefungua matawi mapya mawili mkoani Mara yaliyopo Mugango katika Wilaya...

READ MORE

Majaliwa: Dkt. Samia Ameiheshimisha Tanzania Matumizi Ya Nishati Safi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiheshimisha Tanzania katika hamasa ya matumizi ya nishati safi...

READ MORE

Wanachadema Walioshitakiwa Kwa Mauaji Waachiwa Huru

Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imewaachia huru wanachama watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo  akiwemo aliyekuwa Katibu wa Jimbo George...

READ MORE

Korea Kusini Kuomboleza Vifo 179 Siku Saba

Baada ya ajali ndege iliyotokea juzi Jumapili, Kaimu Rais wa Korea Kusini Choi Sang-mok ametangaza siku saba za maombolezo ya...

READ MORE

Bittech Yawashika Mkono Watoto Yatima Magomeni, Dar

Kama ilivyo ada katika kuendeleza uhusiano na jamii kampuni ya Bittech leo hii wakishirikiana na KMC FC yawagawa Madaftari, Penseli,...

READ MORE

Maandalizi Yakamilika, Unasubiriwa Wewe Tu Na Familia Yako, Mkesha Wa Funga Mwaka Arusha – Picha

Maandalizi yakielekea kwenye hatua za mwisho kwenye barabara za makutano ya Mzunguko wa Mnara wa saa (Clock Tower) kuelekea kwenye...

READ MORE

Rais wa zamani wa Marekani, Jimmy Carter Kuzikwa Januari 9, 2025

Rais wa zamani wa Marekani, Jimmy Carter, aliyefariki dunia Jumapili akiwa na umri wa miaka 100, atazikwa tarehe 9 Januari...

READ MORE

Polisi Arusha Wajipanga Kuimarisha Usalama Mkesha

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema limejipanga vyema kuhakikisha sikukuu ya mwaka mpya 2025 inasherehekewa kwa amani na utulivu,...

READ MORE

Bondia Afariki Akipigana Dar, Mama’ake Alia Akisimulia – Video

Babu wa bondia Hassan Mgaya aliyefariki dunia hivi karibuni amefunguka kupitia Global TV na kueleza kuwa Hassan alipata majeraha kichwani....

READ MORE

Kikosi cha Kilimanjaro Stars kilichoitwa kujiandaa Kombe la Mapinduzi 2025

Kocha wa klabu ya JKT Tanzania, Ahmad Ally ambaye amekabidhiwa mikoba ya kukinoa Kikosi cha Kilimanjaro Stars kitakachoingia kambini kujiandaa...

READ MORE

Ukraine na Russia zabadilishana wafungwa wa kivita

Ukraine na Russia, zimefanya mabadilishano mapya ya wafungwa wa kivita Jumatatu, huku pande hizo mbili zikiwarejesha nyumbani jumla ya wafungwa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Desemba 31, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Amlilia Marehemu Jaji Mwanaisha Kwariko

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Desemba 30, 2024 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mazishi ya Mheshimiwa Mwanaisha Kwariko...

READ MORE

Watuhumiwa Wa Mauaji Ya Mtoto Greyson Aliyeuawa Kikatili Dodoma Wafikishwa Mahakamani

Watu wawili wamefikishwa mahakamani leo, Desemba 30, 2024, wakituhumiwa kwa shtaka la mauaji ya kukusudia ya mtoto Greyson Kanyenye (6)....

READ MORE

Jumatatu ya Mwisho 2024 Kukupatia Maokoto

Je unajua kuwa unaweza kuibuka na zaidi ya Mamilioni ya pesa ukibashiri na Meridianbet Jumatatu ya mwisho ya mwaka 2024?....

READ MORE

Polisi Arusha Wajipanga Kuimarisha Usalama Mkesha wa Mwaka Mpya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema limejipanga vyema kuhakikisha sikukuu ya mwaka mpya 2025 inasherehekewa kwa amani na utulivu,...

READ MORE

Zimebaki Siku Tatu tu za Kunyakua Mkwanja

Kupitia shindalo la mwaka la Expanse ambalo mshindi namba moja atajinyakulia kitita cha shilingi milioni moja taslimu ni siku tatu...

READ MORE

Rais wa zamani wa Marekani, Jimmy Carter, afariki dunia

Rais wa zamani wa Marekani, Jimmy Carter, mkulima wa karanga na gavana wa jimbo la Georgia kabla ya kuwa rais,...

READ MORE

Mapya! Chief Godlove Aanika Kuhusu Bodaboda ”Alipewa Mtoto Ndani – Hakupewa Mtaani” – Video

Mfanyabiashara maarufu kwenye mitandao ya kijamii aitwaye Chief Godlove amefunguka kupitia kipindi cha Katambuga ya @255globalradio na @globaltvonline na kueleza...

READ MORE