×

Rais Dkt. Samia Awaapisha Viongozi Wateule Ikulu Dar (Picha +Video)

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaapisha Mawaziri kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Dar...

READ MORE

Leo Ndio Siku ya Kuibuka Mshindi na Meridianbet

Mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania, Meridianbet wanakwambia hivi siku ya leo kuna mechi kibao za kirafiki ambazo zinaendelea. Unachotakiwa kufanya...

READ MORE

Vodacom Yazindua Kampeni Kabambe ya Ni Balaaa: Kila Mtu Ni Mshindi

Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano Vodacom Tanzania Plc leo imezindua kampeni kabambe inayojulikana kama “Ni Balaaa” ikiwa na lengo la...

READ MORE

Simba Yamteua Uwayezu Regis kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mpya

Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba imemteua Uwayezu Francois Regis kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mpya kuanzia tarehe 1 Agosti...

READ MORE

Ubaya Ubwela kuibukia Uwanja wa Mkapa Agosti 8

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa Ubayaubwela utaibukia Uwanja wa Mkapa Agosti 8 kwenye Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga. Simba...

READ MORE

Waziri Kairuki Ateta na Mkurugenzi Wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa...

READ MORE

Exclusive: Esha Buheti Apiga Kwenye Mshono – “Shilole Kazoea Kupiga Mabwana Zake – Video

Msanii wa sanaa ya Uigizaji na Mpishi Esha Buheti @esha.s.buheti amefanya mahojiano na Global TV na kufunguka kuhusiana na suala...

READ MORE

Nafasi za Kazi 45 Halmashauri ya Jiji la Dar Zipo Hapa, Mwisho wa Maombi Julai 27, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri...

READ MORE

Diamond Platnumz x Jason Derulo ft Khalil Harisson & Chley – Komasava Remix (Official Music Video)

Baada ya Diamond Kuchafua Hali ya Hewa huko Youtube, kwa saa chache na kumtoa marioo na wimbo wake wa #HakunaMatata...

READ MORE

Ruto amteua Douglas Kanja kuwa Insepkta mpya wa polisi

Rais wa Kenya William Ruto, amemteua Douglas Kanja, kuwa Inspekta Jenerali wa polisi, ofisi yake imesema, ili kujaza nafasi iliyoachwa...

READ MORE

Nafasi za Kazi 26 Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi Zipo Hapa

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi amepokea kibali cha Ajira mpya kwa ikama ya mwaka 2023/2024 kutoka kwa...

READ MORE

Shahidi Aeleza Mume Wake Alivyopigwa Na Nathwani Mpaka Kuzimia

SHAHIDI Kiran Lalit Ratilal (52), ameileza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jinsi mume wake alivyopigwa na mshtakiwa...

READ MORE

Kurasa za Magazeti ya leo Julai 26, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Maandalizi NBC Dodoma Marathon Yakamilika, RC Dodoma Awataka Wananchi Kuchangamkia Fursa

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Bi Rosemary Senyamule amethibitisha kukamilika kwa maadalizi ya msimu wa tano mbio za NBC Dodoma...

READ MORE

Kuelekea  Nane-Nane 2024, GF Trucks na EFTA Wawakumbuka Wakulima

Kampuni ya GF Trucks & Equipment na Kampuni ya mikopo ya EFTA zimeingia makubaliano ya kuwakopesha wakulima na wafugaji vifaa...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Maadhimisho Ya Mashujaa yanayofanyika Dodoma – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki  Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa  yanayofanyika katika Mji...

READ MORE

Vijana Waitwa Kwenye Usaili na Mkuu wa Jeshi la Polisi, Majina Yapo Hapa

Mkuu wa Jeshi la Polisi anapenda kuwatangazia kuwa vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira TANZANIA...

READ MORE

Vyuo vikuu 15 Vya Nje Ya Nchi Kushiriki Maonyesho Ya Elimu Arusha

Maonyesho hayo ya siku moja yatafanyika tarehe 27 kwenye hoteli ya Four point by Sheraton Hoteli zamani ikijulikana kama New...

READ MORE

Expanse Kasino Inatoa Mgao wa Tsh 2,500,000/=

Huenda ukawa unawaza ni wapi utapata mkwanja wa kutosha kukamilisha mambo yako, Meridianbet kasino kuna shindano la Mamilioni kibao. Jisajili...

READ MORE

Tanzania, India Wajadiliana Uhifadhi wa Misitu na Wanyamapori

UJUMBE wa Serikali ya India umekutana kwa mazungumzo na Ujumbe wa Serikali ya Tanzania, na Mwakilishi wa Shirika la Chakula...

READ MORE