×

Maguire Amsamehe Mbunge wa Jimbo la Bolgatanga Central, Nchini Ghana

BEKI wa Manchester United, Harry Maguire amemsamehe Mbunge wa Jimbo la Bolgatanga Central, Nchini Ghana, Isaac Adongo ambaye mwaka jana...

READ MORE

Mateka wa Israel Wanaoshikiliwa na Hamas, Gaza kuachiwa Ijumaa

Kuachiliwa kwa mateka wa kwanza wanaoshikiliwa na wanamgambo wa Hamas, Gaza kume-ahirishwa hadi Ijumaa, mshauri wa usalama wa taifa la...

READ MORE

Maskini Binti Huyu, Anavaa Pampas Tumboni, Ana Figo 1 Na Mguu Mmoja – Video

Msichana mdogo, Husna Saidi Munde, mkazi wa Kawe Kanisani jijini Dar es Salaam, anaishi katika mateso makali baada ya kuzaliwa...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi, Novemba 23, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Nov 23, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

PM Majaliwa Avutiwa na Jitihada za Exim B ankKusogeza Huduma Kwa Wananchi

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameonyesha kuvutiwa na jitihada mbalimbali zinazofanywa na benki ya Exim Tanzania katika kujitanua na kusogeza...

READ MORE

Sheria Mpya Ya Uhamiaji Yahimiza Uwekezaji Kwa Wageni Katika Soko La Nyumba Za Makaazi Zanzibar

Masaki, Novemba 21, 2023, Kwa kubarikiwa na Uwepo Mzuri wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Uchumi na Uwekezaji Zanzibar,...

READ MORE

TAMWA Wakemea Rushwa ya Ngono Na Unyanyasaji Katika Vyombo vya Habari

Kuelekea safari ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili kijinsia, Mkurugenzi mtendaji wa TAMWA Dkt. Rose Reuben amezungumza na...

READ MORE

Mama Wa Mtoto Aliyeuawa Na Dangote Arusha Afunguka – Video

Kufuatia kifo cha kijana maarufu kwa jina Ally Dangote aliyekuwa tishio kutokana na kufanya matukio ya kihalifu ikiwemo mauaji, ubakaji,...

READ MORE

Simba na Yanga Wazindua jezi mpya Watakazotumia Ligi ya Mabingwa Afrika

Klabu ya Simba na Yanga Wamezindua jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2023/24. Simba ipo Kundi...

READ MORE

CMSA: Upatu Haramu Unafilisi

MAMLAKA ya masoko ya mitaji na dhamana (CMSA) imeitaka jamii kujihadhari na upatu haramu kwani ni hatari kwa maendeleo na...

READ MORE

Waziri Kikwete Afungua Mafunzo Ya Mfumo Mpya Wa Utendaji Kazi Kwa Watumishi Wa Umma Mkoani Iringa

Naibu  Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amefungua mafunzo ya  mfumo mpya...

READ MORE

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Yawashika Mkono Wahitimu Waliofaulu Vizuri SUA

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewapongeza wahitimu bora wa Chuo Kikuu cha Kilimo Cha Sokoine (SUA) cha Morogoro...

READ MORE

Korea Kaskazini Yarusha Satelaiti Yake ya Kwanza ya Kijasusi

Korea Kaskazini imesema imefanikiwa kuweka satelaiti yake ya kwanza ya kijasusi kwenye anga ya juu ya dunia Jumanne jioni na...

READ MORE

Kocha Mpya Simba Apewa Faili La Robertinho

UONGOZI wa Simba, umevunja ukimya na kueleza sababu ya kutaka kupata kocha aliye bora ambaye watakuwa naye kwenye mipango ya...

READ MORE

Mvua Kubwa Kunyesha Kwa Siku Tano TMA Yatoa Tahadhari

Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA), imetoa tahadhari ya uwepo mvua kubwa kwa muda wa siku tano kwenye maeneo...

READ MORE

Taifa Stars Yakubali Kichapo cha 2-0 Dhidi ya Wageni, Morocco

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imekubali kichapo cha 2-0 dhidi ya wageni, Morocco katika dimba la Benjamin Mkapa...

READ MORE

Rais Mteule Liberia Aahidi Mabadiliko

Rais mteule wa Liberia, Joseph Boakai, ambaye ameshinda rais George Weah, katika duru ya pili ya urais wa Novemba 14,...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatano, Novemba 22, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Nov 22, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Video: Kiboko Apindua Mtumbwi Na Kuua Watu Wanne Rufiji – ”Alikuwa Mkorofi, Anafukuza Watu”

Watu wanne wamefariki dunia, wawili wakiwa ni wa familia moja na wengine saba kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria wakitokea...

READ MORE

Katibu Mkuu wa CCM Azungumza na Waziri wa Ujenzi na Waziri wa Fedha

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Godfrey Chongololeo Jumanne Novemba 21, 2023 amezungumza na Waziri wa Ujenzi, Innocent...

READ MORE