×

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Ijumaa, Oktoba 20, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 20, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Wateja Wapatiwa Punguzo La 40% Kuhudhuria Oktobafest Kupitia Ushirikiano Kati Ya Uber Na Serengeti Lite

Dar es Salaam, 20 Oktoba 2023: Kupitia ushirikiano wa aina yake, Serengeti Breweries Limited imeungana na Uber kuwapatia ofa kabambe washiriki...

READ MORE

Aviator Ndio Habari ya Mjini na Meridianbet kukupatia beti za bure

Promosheni, Promosheni, Promosheni nimeandika mara tatu kukusanua wewe hapo mtuamiaji wa Meridianbet ambaye hutumia kampuni hiyo kufanya ubashiri mechi zako...

READ MORE

SBL Yatoa Ufadhili wa Masomo kwa Wanafunzi wa Kilimo Iringa

Kampuni ya Serengeti Breweries Limited imetangaza kundi lingine la wanafunzi wanaofadhiliwa kupitia programu yao ya Kilimo Viwanda, inayolenga kutoa fursa...

READ MORE

Thamani Women Tanzania, Simba, Azam na Singida FG Waungana Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake, Watoto

  Shirika lisilo la kiserikali (NGO), Thamani Women Tanzania, imezindua kampeni yake ya kwanza ijulikanayo kwa kauli mbiu ya ‘Piga...

READ MORE

Mo Salah Atuma Ujumbe Mzito Mauaji Yanayoendelea Gaza, Azitaka Jumuiya za Kimataifa Kuingilia Kati

Mshambuliaji wa Timu ya Liverpool, Mohamed Salah amevunja ukimya na kutuma ujumbe mzito akiomba kusitishwa kwa kile alichokiita kuwa ni...

READ MORE

CRDB Yasaini Mkopo wa Dola za Marekani Milioni 150, Kuwakopesha Wateja Wakubwa

Benki ya CRDB imesaini mkopo wa dola za Marekani milioni 150 zitakazotumika kuwakopesha wateja wakubwa waliowekeza kwenye sekta tofauti za...

READ MORE

Mchungaji Mashimo Awaonya Simba Na Yanga Wasipotoa Sadaka – Video

Mchungaji Mashimo amesema kuwa kama Simba wasipoenda kutoa Sadaka ya Shukran kwake basi watafungwa na Al Ahly.

READ MORE

Maandamano yafanyika kulaani mauaji yaliosababishwa na mlipuko wa bomu hospitali ya Gaza

Mlipuko uliosababisha mauaji katika hospitali huko Gaza umesababisha maandamano katika maeneo mbalimbali kwenye kanda hiyo, huku lawama zikisambaa kuilenga Israel...

READ MORE

Rais wa Samia Amtembelea Kardinali Rugambwa Mkoani Tabora – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Oktoba18, 2023 amemtembelea Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu Katoliki la...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi, Oktoba 19, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 19, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Hapa Ndipo Ulipo Ujanja Wa Maxi Bongo

MAXI Nzengeli nyota wa Yanga mwenye spidi na uwezo wa kutoa pasi ndefu na fupi akiwa ndani ya uwanja ujanja...

READ MORE

Halotel Yaadhimisha Miaka 8 ya Mafanikio

Kampuni ya Mawasiliano nchini Tanzania, kwa fahari inaadhimisha miaka 8 tangu kuanzishwa kwake na safari ya mafanikio makubwa ikiambatana na...

READ MORE

GGML wafanya matembezi kuhamasisha mwezi wa afya ya akili

Na Mwandishi Wetu WAKATI Tanzania ikiungana na dunia mwezi huu wa Oktoba kuadhimisha uhamasishaji wa afya ya akili, Mkurugenzi Mtendaji...

READ MORE

Morocco, Hispania na Ureno Kuandaa Kombe la Dunia 2030 Kwa Pamoja

Marais wa vyama vya mpira wa miguu vya Morocco, Ureno na Hispania asubuhi ya leo Jumatano, Agosti 18, 2023 wamekutana...

READ MORE

Malori Zaidi Ya 250 Ya Tanzania Yakamatwa Congo DRC, Wamiliki Waililia Serikali

Malori zaidi 250 yaliyokuwa yamebeba madini kutoka Congo DRC yanadaiwa kukamatwa nchini humo kwa kile ilichoelezwa ni mgogoro wa ulipaji...

READ MORE

Mastaa Wajazwa Noti Mapemaaa robo fainali ya AFL dhidi ya Al Ahly

WACHEZAJI wa Simba washindwe wao tu sasa hivi hiyo ni baada ya kuhakikishiwa kupewa pesa ya maana katika michezo miwili...

READ MORE

Watu 500 Wauwawa Kwenye Shambulizi La Hospitali Gaza

Zaidi ya watu 500 wameripotiwa kuuawa usiku wa Jumanne kwenye shambulizi ambalo limetokea hospitalini Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza....

READ MORE

Mlipuko kwenye hospitali ya Gaza unamsababisha Biden kuahirisha ziara ya Jordan

Rais Biden ameahirisha ziara yake ya Jordan akiwa njiani kuelekea Israel, baada ya mlipuko mkubwa kutokea kwenye hospitali moja mji...

READ MORE

Michezo Ya Kasino Mitandaoni Ndio Mchongo Mzima Pale Meridianbet Kwasasa

Mchongo mzima kwasasa ni Michezo ya Kasino mtandaoni pale Meridianbet ambapo wamekuja na promosheni yao ambayo itawawezesha wateja wao kupiga...

READ MORE