×

Waziri Mkuu Mgeni Rasmi NBC Dodoma Marathon 2023

Dodoma, Julai 19, 2023 –Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika...

READ MORE

Yanga: Mtachagua Tuwafunge Mabao Mangapi, Ally Kamwe Atamba

UONGOZI wa  Yanga, umebainisha kuwa, wapinzani watachagua mabao mangapi wafungwe watakapokutana kuanzia msimu wa 2023/24 kutokana na ubora walionao. Ni...

READ MORE

Wanahabari Waaswa Kuibua Habari Za Kijamii Zenye Kufichua Changamoto

Dar es Salaam 19 Julai 2023: Waandishi wa habari nchini wameaswa kuandika habari za kijamii na uchunguzi ili kuipa dhamani...

READ MORE

Simba Yamalizana Na Straika Wa Hispania Try Again Atamba

SIMBA wamefikia makubaliano  ya kumsajili mshambuliaji wa zamani wa CD Tenerife ya nchini Hispania, Shaban Chilunda kwa mkataba wa miaka...

READ MORE

Watu Wawili wauawa, Mamia Wakamatwa Katika Maandamano nchini Kenya

Watu wawili waliuawa Jumatano nchini Kenya kufuatia maandamano ya kuipinga serikali, afisa mmoja wa hospitali amesema, huku wizara ya mambo...

READ MORE

Rais wa Misri Amsamehe Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Patrick Zak

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amemsamehe mtafiti wa haki za binadamu Patrick Zaki, siku moja baada ya kuhukumiwa kifungo...

READ MORE

Yanga Wana Balaa! Washusha Kiungo Mshambuliaji Wa ASEC ‘MVP’ – Video

Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo Zouzoua Pacome (26) raia wa Ivory Coast kutoka Asec Mimosas kwa Mkataba...

READ MORE

#Exclusive: Jenipha Kanumba Afunguka Kuhusu Mpenzi Wake – ”Natamani Kuwa Na Mbaba”….

Msanii wa Bongo Movie Jennifer Kanumba amefunguka mengi kupitia Exclusive za Imelda Mtema Jennifer anadai kuwa trendi ya wadada wa...

READ MORE

Misri Yamuhukumu Kifungo cha Miaka Mitatu jela Mtafiti wa haki za Binadamu Patrick Zaki

Mahakama ya Misri Jumanne ilimuhukumu Patrick Zaki, mtafiti wa haki za binadamu ambaye alikuwa akisoma nchini Italy, kifungo cha miaka...

READ MORE

Washambuliaji Watatu Wamrithi Mayele Yanga Sudi Abdallah Atajwa

YANGA ina mafaili ya washambuliaji watatu wanaowania nafasi moja ya kumrithi mshambuliaji Mkongomani, Fiston Mayele katika usajili huu unaoendelea. Hiyo...

READ MORE

Lissu Atakiwa Kuripoti Ofisi Ya Mkurugenzi Wa Mashtaka Kufuatia Kauli Zake – Video

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amedai kuitwa na Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda...

READ MORE

Yanga Yamtangaza Namba 6 Wake Makudubela Almaarufu ‘Skudu’ – Video

Klabu ya Yanga imethibitisha kumsajili winga Mahlatsi Makudubela almaarufu ‘Skudu’ kwa uhamisho huru kutoka klabu ya Marumo Gallants iliyoshuka daraja...

READ MORE

Airtel Money Yaendelea Kuboresha Maisha ya Watanzania

WATEJA  wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, wametakiwa kuendelea kushiriki katika promosheni ya Upige Mwingi na Airel...

READ MORE

TBL Yajitapa Kuimarika Licha Ya Kuwa Na Mazingira Magumu Ya Uzalishaji

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Lenard Mususa akizungumza kwenye mkutano huo. Dar es salaam. Julai19, 2023. Kampuni ya bia (Tanzania...

READ MORE

Rais Hungary Awafungulia Watanzania Milango Nchini Mwake- (Picha +Video)

Rais wa Hungary, Katalin Novák amempa Rais Samia Suluhu mwaliko maalumu wa kuhudhuria kongamano maalumu la Budapest ambalo huwakutanisha viongozi...

READ MORE

Soko Kuu Mwanza kukabidhiwa Septemba, RC Makalla atoa Tahadhari

Mkandarasi Mohammed Buiders anayejenga Soko Kuu la mjini kati ametakiwa kufanya kazi kwa kasi zaidi  kwa lengo la wafanyabiashara waanze...

READ MORE

Bilionea Mohammed Dewji ‘Mo’ Aingilia Kati Sakata La Chama Simba

WAKATI nyota wanne wa Simba wakisafiri jana alfajiri kwenda kambini nchini Uturuki, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Mzambia, Clatous Chama...

READ MORE

Simba, Yanga… Moto Utawaka Washusha Mashine za Maana

SIMBA na Yanga kwa jinsi ambavyo zimesajili kwa ajili ya kuanza msimu wa 2023/24, basi fahamu kuwa kuna balaa kubwa...

READ MORE

Nabi Atangazwa Kocha wa Mabingwa wa Morocco AS FAR Rabat

Aliyekuwa Kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi (57) ametangazwa kuwa kocha wa mabingwa wa Morocco AS FAR Rabat kwa mkataba wa...

READ MORE

Jecha Salum Jecha Afariki Dunia Katika Hospital ya Lugalo Dar

Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salum Jecha amefariki Dunia katika Hospital ya Lugalo Jijini Dar...

READ MORE