×

Sababu Mpya kwa Nini Wanaume Wengi Hawaoi Siku Hizi?

RAFIKI, kumekuwa na maswali yasiyo na majibu miongoni mwa jamii kwamba imekuwaje vijana wa kiume wamekuwa ni waongo hasa linapokuja...

READ MORE

Beki Kisiki Daniel Amoah Asaini Mkataba Mpya Azam FC

BEKI kisiki wa Azam FC, Daniel Amoah, amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa mwaka mmoja zaidi kuendelea kusalia kwenye viunga...

READ MORE

Raia wa Uganda Waishataki Kampuni ya TotalEnergies ya Ufaransa mjini Paris

Raia 26 wa Uganda wameishtaki kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa ya TotalEnergies mjini Paris wakida fidia kwa madai ya...

READ MORE

Chongolo Ahimiza UVCCM Kutimiza Wajibu Wake, Kukitangaza Chama kwa Wananchi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Daniel Chongolo amewataka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kutambua...

READ MORE

Chalamila ataka mabasi ya Mwendokasi Kuongezewa Muda wa Kufanya Kazi

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amawataka Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) maarufu kwa jina la...

READ MORE

Kocha Yanga Aanza Na Nyundo 5 Akabidhiwa Ripoti ya Maboresho ya Kikosi

MARA baada ya kutangazwa rasmi kuwa kocha mkuu mpya wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina amekabidhiwa rasmi ripoti ya...

READ MORE

RC Makalla Azitaka Halmashauri Za Ilemela Na Mwanza Jiji kuboresha mapato ya stendi za Nyamhongolo na Nyegezi

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. CPA. Amos Makalla amezitaka Halmashauri za Manispaa ya Ilemela na Jiji la Mwanza kuandaa...

READ MORE

Kiungo Fundi Wa Pasi Apewa Miaka 2 Yanga, Mtoa Taarifa Afunguka

MUDA wowote Yanga watatangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake mchezeshaji, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’. Kiungo huyo alijiunga na...

READ MORE

Simba Imepania… Yamuwekea Mkwanja Mzito Rasta Mcameroon

KLABU ya Simba imerudi tena ndani ya klabu ya Cotton Sports FC ya nchini Cameroon kwa ajili ya kuipata saini...

READ MORE

Spika Atolea Ufafanuzi Baada ya Kengele ya Tahadhari Kulia Bungeni Leo- Video

SPIKA wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson asubuhi ya leo Juni 27,2023 ameahirisha shughuli za Bunge kwa muda baada ya kengele...

READ MORE

Yammi – Tiririka (Official Music Video)

Msanii, Yammi wa lebo ya msanii maarufu wa Bongo Fleva, Faustina Mfinanga ‘nandy’ leo Juni 27, 2023 ametambulisha rasmi video...

READ MORE

Rais Mwinyi Kufanya Ziara ya Kikazi Nchini China

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar kuelekea jijini Dar es Salaam tayari...

READ MORE

Oryx Gas Wakamilisha Ujenzi Wa Bomba Kubwa La Kusafirisha Gesi Kutoka Katika Meli Kwa Muda Mfupi

Dar es Salaam 26 Juni 2023: KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imekamilisha ujenzi wa bomba kubwa la kusafirisha nishati ya...

READ MORE

Rais Ruto Aidhinisha Ongezeko la Ushuru Kenya

Rais wa Kenya William Ruto ametia saini kuwa sheria mswada wa kwanza wa fedha wa serikali yake, unaolenga kuongeza mapato...

READ MORE

Mkurugenzi wa Aba Sports Club “Ninawaandalia Aba Academy Vijana Taifa leo”

Aba  Academy ni Watoto kuanzia umri wa miaka 3 mpaka 17 lengo kuu kukuza na kuendeleza Vipaji vya Watoto waliopo...

READ MORE

Chalamila Azindua Huduma ya NMB Onja Unogewe, Aiita Akili Kubwa

BENKI ya NMB imezindua huduma mpya chini ya Mwamvuli wa Teleza Kidigitali iitwayo NMB Onja Unogewe, ambayo imepongezwa na Mkuu...

READ MORE

JK Ampongeza Rais Samia maandalizi ya Uzinduzi wa Programu ya Uwekezaji Sekta Maji 2024-2030

Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi...

READ MORE

Rais DK.Mwinyi Akutana na Uongozi wa Shirika la kimataifa la Christian Blind Mission (CBM)

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajitahidi kuboresha mazingira wezeshi kwa watu wenyeulemavu kwenye sekta zote za jamii zikiwemo Usafiri...

READ MORE

Kamishna wa Bima Nchini Aomba Kupelekewa Taarifa Za Wateja Wanaocheleweshewa Malipo Yao Kizembe

Dar es Salaam, 26 Juni 2023: Kamishna wa Bima nchini, Dkt. Baghayo Saqware amesema sababu kubwa inayochelewesha wadai fidia za...

READ MORE

Siri Nzito Utajiri Wa Wahindi, Anaanzisha Biashara Babu, Anakufa Hadi Mjukuu Anaikuta…

Unajua ni kwa nini wafanyabiashara wenye asili ya India (Wahindi), wana mafanikio makubwa kwenye biashara zao kiasi cha kuzalisha matajiri...

READ MORE