×

Bolt Tanzania Yaweka Rekodi Ya Zaidi Ya Safari Milioni 50

Dar es Salaam, Agosti: Bolt Tanzania inasherehekea kuweka rekodi ya zaidi ya safari milioni 50 zilizohudumiwa kwenye mtandao wao, huku...

READ MORE

TADB, Self Microfinance Fund Kutoa Bilioni 6 Kuwawezesha Wakulima Wadogo

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kupitia Mfuko wake wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo (SCGS) imeingia mkataba wa Tshs. Bilioni...

READ MORE

GF Trucks & Equipment Yaibuka Mshindi Maonyesho Ya Madini Ruangwa

Kampuni ya GF Trucks & Equipment’s Ltd ya jijini Dar es Salam imeibuka mshindi wa Pili wa Banda Bora kwa...

READ MORE

Rasimu ya Sera ya Elimu Itakapopitishwa Kukutanisha Wadau Wote wa Elimu na Taasisi zote za Dini

Serikali imesema Rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 na mabadiliko ya Mitaala ya...

READ MORE

Kocha Mkuu Simba Atumia Siku 16 Kufumua Kikosi Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amefichua kwamba, amepanga kuzitumia siku 16 za mapumziko ya Ligi Kuu Bara kukijenga...

READ MORE

Yanga Yapewa Ufalme Mpya ligi kuu Baada ya Kupata Ushindi wa Mabao 5-0

  YANGA kwa sasa ni kama wamepewa ufalme wao kwenye ligi kuu baada ya kutabiriwa kufanya makubwa msimu huu, huku...

READ MORE

Putin Awaamuru Wapiganaji Wa Wagner Kutia Saini Kiapo Cha Kuitii Serikali Ya Russia

Rais wa Russia Vladimir Putin amewaamuru wapiganaji wa kundi la Wagner kutia saini kiapo cha kuitii serikali ya Russia baada...

READ MORE

Bingwa Wa Ligi kuu ya Uingereza Msimu wa 2023-24 Yupo Hapa

WATAALAM wa uchambuzi wa data katika soka wamekusanya data na kufanya hesabu kuona ni timu gani msimu wa 2023-24 ina...

READ MORE

FIFA Yamsimamisha Kwa Muda Rais Wa Shirikisho La Soka La Uhispania

Kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka duniani (FIFA) imemsimamisha kwa muda mkuu wa shirikisho la soka la Uhispania Luis...

READ MORE

Baada ya Kuhangaika Sana Kupata Ujauzito, Hatimaye Sasa Nina Watoto Wawili

  Katika maisha yangu niliangaika kwa miaka mingi kutafuta ujauzito, nilienda kila Hospitali, nilitumia kila aina ya dawa hasa za...

READ MORE

Fahamu Kinachosababisha Wajawazito Kuvimba Miguu

TATIZO hili la kuvimba miguu huwapata karibu wajawazito wote na huwa haliashirii tatizo lolote kubwa la kiafya kwani hutokana na...

READ MORE

Skudu Atoa Tamko Zito Akitokea Kwao Afrika Kusini

BAADA ya kutua nchini usiku wa kuamkia jana Jumamosi akitokea kwao Afrika Kusini alipokuwa akijiuguza majeraha, staa wa kimataifa wa...

READ MORE

Waziri Wa Uchukuzi Amfuta Kazi Mkuu Wa Mamlaka Ya Viwanja Vya Ndege Kenya Baada Ya Kukatika Kwa Umeme

Waziri wa Uchukuzi wa Kenya, Kipchumba Murkomen, amewafukuza kazi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (KAA), Alex Gitari na...

READ MORE

Mbio Za Mbuzi 2023 Zinazolenga Ufadhili Masomo Elimu Ya Juu Kudhaminiwa Na Vodacom

Dar es Salaam – Agosti 28, 2023. Katika kuunga mkono jitihada za upatikanaji wa fursa za kielimu nchini, Taasisi ya Vodacom...

READ MORE

Uchaguzi ya Zimbabwe: Emmerson Mnangagwa Atangazwa Kushinda Tena Urais

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zimbabwe (ZEC) imetangaza, Emmerson Mnangagwa kuwa ametetea Kiti chake kwa 53% ya Kura zilizopigwa....

READ MORE

EWURA Yaridhishwa Na Kazi Ya Utengenezaji Wa Matela Ya Kusafirisha Mabomba Ya Mradi Wa EACOP

Bodi ya Wakurugenzi  wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (Ewura), imesema kuwa imeridhishwa na utekelezaji...

READ MORE

Fei Toto Atajwa Azam Kutolewa Kombe la Shirikisho Afrika Hatua ya Awali

BAADA ya Azam FC kuondolewa katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya awali, kocha wa timu hiyo, Yousouf...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Onyo Kwa Watoa Leseni Za Uchimbaji – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa maafisa wanaohusika na utoaji wa leseni za madini kuacha tabia ya kuwazunguka wananchi...

READ MORE

Wafanyakazi 11 wa Soka la Hispania Wajiuzulu Kufuatia Sakata la Busu

Wafanyakazi 11 katika soka la Hispania wamejiuzulu kufuatia sakata la busu lililotokea katika sherehe za Kombe la Dunia la Wanawake...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumapili, Agosti 27, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 27, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE