×

Greenwood Ndio Basi Tena, Anaondoka United

HATIMAYE fowadi wa Manchester United, Mason Greenwood ataondoka katika klabu hiyo kwa makubaliano ya pande zote mbili baada ya uchunguzi...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Ijumaa, Agosti 25, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 25, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Jwtz Watangaza Kiama – ”Salimisheni Sare Za Jeshi Ndani Ya Siku 7 Kwenye Vituo Vya Polisi”- Video

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa ufafanuzi kwa jamii kuhusiana na kadhia inayokinzana na katazo la kisheria...

READ MORE

Sapphire Glass Ltd Yaanza Kuwasha Mitambo ya Uzalishaji wa Vioo Nchini

Ujenzi wa kiwanda cha kisasa cha kutengeneza vioo kilichopo Kijiji cha Mkiu, Wilaya ya Mkuranga, Mkoa wa Pwani umefikia asilimia...

READ MORE

Mbio Za Hisani Za St Mary Goreti Kufanyika Jumamosi

Hatimaye mbio za hisani za Shule ya Sekondari ya St Mary Goreti ya Mjini Moshi zimewadia huku zikitarajiwa kufanyika Jumamosi...

READ MORE

Phiri Aliamsha Kambini Simba Atangaza Vita Kurejee Kikosi cha Kwanza

MSHAMBULIAJI wa Simba Mzambia, Moses Phiri amesema kuwa sasa malengo ni kuhakikisha anapambana ili arejee katika kikosi cha kwanza cha...

READ MORE

Mabaki Yachunguzwa Baada Ya Ajali Ya Ndege Inayohusishwa Na Kifo Cha Yevgeny Prigozhin – Picha

PICHA mpya kutoka eneo la Tver nchini Urusi, ambako wataalamu wa masuala ya dharura na polisi wanachunguza mabaki ya ndege...

READ MORE

Zimbabwe: Serikali Yaongeza Siku Moja Kwenye Zoezi La Kupiga Kura

Utaratibu huo ambao si wa kawaida umefanyika kutokana na baadhi ya Kata zilizopangiwa kukamilisha zoezi hilo kwa siku moja, kuchelewa...

READ MORE

Baba Yake na Msuva Aitaja Timu Anayoelekea Mtoto Wake Algeria

  RASMI sasa kiungo Simon Msuva anakwenda kukipiga klabu ya CR Belouizdad ambao ni Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu ya...

READ MORE

Diamond Platnumz – Overdose (Official Lyric Audio)

Diamond Platnumz; ni supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania ameachia wimbo wake wa Overdose.  

READ MORE

Warepublikan wakabiliana katika mdahalo wa kwanza kwelekea uchaguzi wa rais, Trump aususia

Wanasiasa wanaowania nafasi ya kugombea urais wa Marekani kwa tikiti ya chama cha Republikan walikabiliana kwa maneno makali wakati wa...

READ MORE

Inasikitisha! Sadick Aomba Kusadiwa Hajaliona Jua Tangu 2015 Yupo Kitandani Hoi – Video

Sadick Semkuva, yupo kitandani tangu mwaka 2016, akiwa amepooza mwili mzima kiasi cha kushindwa kufanya chochote mpaka asaidiwe. Anasema jinsi...

READ MORE

Mamlaka ya Urusi: Miili yote ya Abiria wa Ndege Iliyoanguka Yapatikana

HUDUMA za dharura za Urusi zimesema kuwa miili ya abiria wote kumi kwenye ndege ya Embraer Legacy sasa imepatikana. Kiongozi...

READ MORE

Mbunge wa Ngorongoro Aachiwa kwa Dhamana, Ashangaa Kukamatwa Bila Kibali Cha Spika – Video

HATIMAYE Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai (CCM) ambaye alidaiwa kushikiliwa na polisi tangu ta Agosti 21, 2023 ameachiwa huru...

READ MORE

Exclusive: Anna Juakali Amkabidhi Mungu Ndoa Yake, Afichua Ya Uhusiano – Video

Staa wa Bongo Movie anayefanya vizuri kwenye tamthiliya ya Juakali Anna, amefanya mahojiano na Global Tv kupitia Exlusive za Imelda...

READ MORE

Urusi: Ndege Anayodaiwa Kupanda Bosi Wa Wagner Group Yapata Ajali Na Kuua Abiria Wote

KIONGOZI wa kundi la Wagner ambaye ni mpinzani mkubwa wa Rais Vladimir Putin wa Urusi anahofiwa kufariki katika ajali ya...

READ MORE

Ommy Dimpoz – My Queen (Official Music Video)

MSANII wa Bongo Fleva Omary Faraji Nyembo, maarufu kama Ommy Dimpoz, ameachia video ya wimbo wake wa My Queen akimuimbia...

READ MORE

Hii Ndo Sababu Ya Wasichana Wengi Kutokuolewa

Kila jambo linalotokea kwenye maisha lazima litakuwa na sababu, nikimaanisha pia hata mschana mzuri mwenye vigezo vyote akishindwa kuolewa pia...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi, Agosti 24, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 24, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE