×

Bunge la Iran Lapendekeza Adhabu Kali kwa Wahusika wa Ukatili dhidi ya Wanawake

Bunge la Iran limeidhinisha mapendekezo ya kutoa adhabu kali kwa wahusika wa ukatili dhidi ya wanawake, mapendekezo ambayo yanaweza kupitishwa...

READ MORE

SBL Yakabidhi Gari Mpya Kwa Mshindi Kampeni Ya ‘Kapu La Wana’

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mchengerwa (kushoto) akionyesha kadi ya gari aliyokabidhiwa mkazi wa Arusha, Shamimu Hemedi Mushi (katikati)...

READ MORE

Mwanamuziki Mkongwe, Hussein Jumbe Afariki Dunia Akitibiwa Hospitali ya Amana

Msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Hussein Jumbe amefariki dunia leo, April 10, 2023. Kwa mujibu wa mtu wa...

READ MORE

Wafanyabiashara Wafariki Kwa Ajali ya Gari Wakitoka Mnadani Baada ya Gari Kutumbukia Mtoni

Wafanyabiashara 13 wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa usiku wa kuamkia leo, April 10, 2023, baada ya gari walilokuwa wakisafiria...

READ MORE

Rais Samia Apongezwa kwa Kuchukua Hatua Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemwagiwa sifa na wananchi na viongozi mbalimbali ndani na nje ya nchi kwa kuchukua hatua...

READ MORE

Zitto Aitaka Serikali Iimilikishe ATCL Ndege Badala ya Kukodi Kutoka Wakala wa Ndege za Serikali

Kiongozi mkuu wa Chama cha Upinzani cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema utafiti uliofanywa na chama hicho kuhusu Shirika la...

READ MORE

Dalai Lama Aomba Radhi kwa Kumfanyia Mtoto wa Kiume Vitendo vya Udhalilishaji

Siku kadhaa zilizopita, kiongozi wa Wabudha, Dalai Lama ali-make headline baada ya kusambaa kwa video inayomuonesha akimfanyia mtoto wa kiume...

READ MORE

Mastaa Wamtibua Kaze Yanga, Atoa Onyo Kuwavaa Rivers United

KOCHA Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze amesema hajaridhishwa na kiwango kilichoonyeshwa na timu yake licha ya kupata ushindi na kufanikiwa...

READ MORE

Kanisa moja nchini Afrika Kusini labariki zaidi ya wanandoa 800 siku ya Pasaka

Zaidi ya wanandoa 800 walifika kanisani Jumapili ya Pasaka katika moja ya sherehe kubwa ya harusi nchini Afrika Kusini tangu...

READ MORE

Papa Francis Aombea Amani Watu wa Ukraine, Awataka Waisraeli na Wapalestina kuaminiana

Katika ujumbe wa Pasaka unaoangazia matumaini, Papa Fraancis Jana Jumapili aliwasilisha maombi kwa ajili ya watu wa Ukraine na Russia,...

READ MORE

Shirika La Mawasiliano TTCL Lawasaidia Watoto Yatima Kushiriki Pasaka

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika kusherehekea Siku Kuu ya Pasaka limetoa msaada wa vyakula pamoja na vinywaji katika vituo...

READ MORE

Rais Samia Avunja Bodi ya Shirika la Reli (TRC) na Kutengua Uteuzi wa TGFA

Rais Samia Suluhu Hassan, leo April 9, 2023 ametangaza kuvunja bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) pamoja na kutengua...

READ MORE

Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Umesababisha Hasara ya Trilioni 1.7 Kwa Taifa

Serikali ya Awamu ya 5 ililiingizia taifa hasara ya Dola za Marekani milioni 742.4 (zaidi ya Shilingi trilioni 1.7) kwenye...

READ MORE

Kama Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ni Nzuri, Rais Samia Ni Mzuri

  MJADALA wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) unaoendelea baada ya kuwasilishwa kwake bungeni...

READ MORE

Ukaguzi Maalum Wa CAG Waanika Madudu REA Kuanzia Mwaka 2015/2016 Mpaka 2019/2020

UKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA). CAG ameimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka 2019/2020. Ukaguzi umefanyika kwa...

READ MORE

Meridianbet Kutoa Tsh 500,000 kwa kila goli kwa KMC Katika Michezo ya Ligi Kuu

Mdhamini Mkuu wa KMC FC inayoshiriki Ligi kuu ya NBC, Meridianbet Tanzania wameahidi kutoa Tsh 500,000/= kwa kila goli ambalo...

READ MORE

Mbakaji Maarufu wa Facebook Akamatwa Nchini Tanzania Baada ya Kutoroka Jela Afrika Kusini

Thabo Bester, ni raia wa Afrika Kusini aliyekuwa akisakwa kwa udi na uvumba kutokana na tuhuma nzito za ubakaji, wizi...

READ MORE

Mshambuliaji Wa Simba Afunguka Mazito Baada ya Kupona Amtaja Baleke

MSHAMBULIAJI wa Simba, Moses Phiri amesema kuwa mara baada ya kupona kutoka katika majeraha ambayo yalikuwa yakimsumbua sasa anapambana kuona...

READ MORE

Tamasha Kubwa La Pasaka Kufanyika Viwanja Vya Leaders Club Dar, Kesho

Dar es Salaam, 8 Aprili 2023: Maandalizi ya Tamasha kubwa la Pasaka linalotarajiwa kufanyika kesho katika Viwanja vya Leaders Club...

READ MORE

Toto Afrika yapata viongozi wapya

Klabu ya soka ya Toto African ya jijini Mwanza leo imefanya uchaguzi wa kuwapata viongozi wake wapaya  katika uchaguzi uliofanyika...

READ MORE