×

Simba Yaonja Uchungu wa Mwiko, Yapigwa na Azam Uwanja wa Mkapa

SIMBA chini ya kocha mkuu wa muda, Juma Mgunda, ilikuwa imejipa mwiko kuwa haitapoteza mechi yoyote msimu huu kirahisi, lakini...

READ MORE

Whozu – Sijui Nikoje (Official Music Video)

 Msanii wa muziki Bongo Fleva, Whozu ”ameachia video ya wimbo wake wa Sijui Nikoje

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa, Oktoba 28, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 28 , 2022 Usipitwe na...

READ MORE

Washindi wa “Wakishua Twenzetu Qatar na Hisense” Wiki ya Nne Wapatikana

    Oktoba  28, 2022,  Kampuni inayoongoza Tanzania katika kuhakikisha mtanzania anaishi maisha ya kidijitali Tigo Tanzania, kupitia Promosheni yake...

READ MORE

Power Learn Project Yazinduliwa Nchini Kutoa Mafunzo ya Mifumo ya Kompyuta

    Power Learn Project yazinduliwa Tanzania katika Hoteli ya Johari Rotana, Barabara ya Sokoine Drive, Dar es salaam, ikiwa...

READ MORE

Uwekezaji Kidijitali, Nmb Yaendelea Kukuza Uchumi wa Buluu

  Benki ya NMB imekuwa mstari wa mbele kwa ubunifu katika sekta ya TEHAMA kwa kutoa masuluhisho mbalimbali kwa wateja wake...

READ MORE

Parimatch Yafanya Maboresho, Yaja Kibabe na Mfumo Mpya

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imefanya maboresho makubwa katika tovuti yao ya kubashiri, ambayo kwa sasa itawawezesha wateja wao...

READ MORE

Chizika Na Mzuka Wa Ushindi Kwenye Kasino Ya Mtandaoni Ya Meridianbet!

Leo bwana sloti nimekuletea sloti bomba kabisa ya Crazy Times kutoka Meridianbet, hapa ni ushindi babu kubwa ndiyo unaokufanya uchizike!...

READ MORE

Wizara ya Maji Yaungana na DAWASA Changamoto ya Maji Dar

Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso (Mb) ametembelea eneo la matengenezo ya bomba kubwa la inch 72 katika kata ya...

READ MORE

Iran Yaapa Kulipa Kisasi kwa Kundi la Magaidi Lililoua Watu 15

RAIS wa Iran, Ibrahim Raisi ameapa kulipiza kisasi dhidi ya kundi la kigaidi lililotekeleza mashambulizi katika sehemu ya ibada ya...

READ MORE

Majambazi Wawili Wauawa Gongo la Mboto Wakiiba Mkopo wa Milioni 1

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam kwa kushirikiana na Wananchi wa maeneo ya Gongo la Mboto wamewadhibiti...

READ MORE

Korea Yaipatia Tanzania Mkopo wa Shilingi Bilioni 310

SERIKALI ya Jamhuri ya Korea imeipatia Tanzania mkopo wa gharama nafuu wa shilingi bilioni 310 kwa ajili ya upanuzi wa...

READ MORE

Watu 28 Wafariki Katika Kimbunga Nchini Bangladesh, Mamilioni Wakosa Umeme

IDADI ya watu waliofariki dunia kutokana na Kimbunga cha Sitrang nchini Bangladesh imeongezeka na kufikia 28 huku mamilioni ya watu...

READ MORE

Nafasi ya Kazi Ifakara Health Institute (IHI), Human Resources Officer

Job Summary Position:                   Human Resources Officer (1 post) Reports To:               Human Resources Manager Work Station:          Dar es Salaam Apply By:                             ...

READ MORE

Azam FC Yapania Kuharibu Rekodi ya Mgunda Simba Katika Uwanja wa Mkapa

  UONGOZI wa Azam FC, kupitia kwa Kaimu Ofisa Habari wake, Hashim Ibwe umewataka mashabiki wake kununua tiketi kwa wingi...

READ MORE

Bunge Kenya Lawapitisha Mawaziri Wote 24 Walioteuliwa na Rais Ruto

Bunge la Kenya Jumatano hatimaye limeidhinisha uteuzi wa mawaziri wote 24 kuhudumu kwenye baraza la mawaziri la rais William Ruto....

READ MORE

Mshambuliaji wa Simba Moses Phiri Ambebesha Zigo Zito Chama Simba

  MSHAMBULIAJI wa Simba, Mzambia, Moses Phiri amesema kuwa kiungo wao mshambuliaji, Clatous Chama ndiye atakayeamua kumpa ufungaji bora msimu...

READ MORE

Mtu Mchafu Zaidi Duniani Aaga Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 94 nchini Iran

Mwanaume wa Iran, Amou Haji ambaye anashikilia rekodi ya kuwa ni mtu mchafu zaidi duniani kwa muda wa nusu karne...

READ MORE

SBL Yazindua Kampeni ya Kupinga Unywaji Pombe Katika Umri Mdogo

  Dar es Salaam, Oktoba 27, 2022 –  Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua programu  ya kupambana na unywaji...

READ MORE

Benki ya I&M Tanzania Yakutana na Wateja na Bodi ya Wakurugenzi Kwenye Hafla

    Siku ya Alhamisi 27 Oktoba 2022, Benki ya I&M Tanzania hivi karibuni imefanya hafla ya chakula cha jioni...

READ MORE