×

Sababu Harmo, Kajala Kutohudhuria Kwa Barnaba Yawekwa Wazi… Soma Hapa

  Labda unaweza kujiuliza ni kwa nini msanii Harmonize au Konde Boy Mjeshi hakuhudhuria kwenye tukio kubwa lililokusanya viongozi wakubwa...

READ MORE

Rais Samia Ahesabiwa Sensa Ikulu Chamwino Dodoma, Atoa Ujumbe kwa Watanzania -Video

RAIS Samia leo Jumanne, Agosti 23, 2022 amekuwa miongoni mwa Watanzania waliohesabiwa katika Sensa ya Watu na Makazi iliyoanza saa...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la SpotiXtra Aug-23, kwa nusu bei na uingie katika droo kujishindia zawadi ya hadi shilingi...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne, Agosti 23, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 23 , 2022 Usipitwe na...

READ MORE

NMB Yatambulisha Kifurushi Maalum Kuwahudumia Walimu – Songea

  KWA kutambua umuhimu wa walimu na mchango wao katika mafanikio ya Benki ya NMB, taasisi hiyo kubwa kuliko zote za...

READ MORE

Mbappe, Neymar Wakalishwa Chini Kusuluhisha Bifu Lao

KOCHA wa klabu ya soka ya Paris Saint-Germain Christopher Galtier amewakalisha chini Kylian Mbappe na Neymar baada ya kile kilichotokea...

READ MORE

Fahamu Maana na Historia Fupi ya Sensa ya Watu na Makazi

SENSA ni nini? Ofisi ya Takwimu ya Taifa(NBS) Sensa ya Watu na Makazi inaielezea sensa kuwa ni utaratibu wa kukuasanya,...

READ MORE

Hoteli Jijini Dar es Salaam Yaamriwa Kurejesha Mishahara ya Wafanyakazi

MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Kazi imeiamuru uongozi wa Hotel ya Southern Sun iliyopo jijini Dar es salaam nchini Tanzania kuwalipa...

READ MORE

Ugomvi wa Neymar na Mbappe Kuigharimu PSG?, Je, Nini Kisa cha Ugomvi Wao

AGOSTI 4, 2017 klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya jijini Paris Ufaransa ilitangaza kuinasa rasmi saini ya staa wa kibrazili...

READ MORE

Tanzania Inakaribisha Wazabuni Ujenzi wa SGR ya Uvinza Mpaka Gitega

SERIKALI ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inakaribisha wazabuni katika ujenzi wa reli ya kisasa, Standard Gauge Railway (SGR) njia...

READ MORE

Zaidi ya Watu 10 Wafariki Kutokana na Kunywa Pombe Yenye Sumu Uganda

ZAIDI ya watu 10 wamefariki dunia na wengine wamenusurika kifo na kulazwa hospitalini nchini Uganda, baada ya kunywa pombe aina...

READ MORE

Baba Levo Amsifia Chege, Ataja Mchango Wake kwa Wasanii wa Mkoa wa Kigoma

MSANII wa Bongo Fleva Babalevo, leo asubuhi kupitia ukurasa wake wa Instagram amemsifia msanii mwenzake Chege Chigunda kwa kufungua milango...

READ MORE

Meneja TRC Afukuzwa Kazi kwa Kupinga Tozo na Kumkashifu Rais Samia

MENEJA wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Kanda ya Dar es Salaam, Jonas Afumwisye Mwangunga, amefukuzwa kazi baada ya kudaiwa...

READ MORE

Sensa ya Watu na Makazi 2022, Jiandae Kuhesabiwa Kesho

IKIWA imesalia siku moja kabla ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuanza zoezi la kitaifa la Sensa ya Watu na...

READ MORE

Babu Tale: Rayvanny Hajakamilisha Utaratibu, Bado ni Mali ya WCB

MMOJA wa mameneja wa Lebo ya WCB, Hamisi Taletale, ‘Butale’ ameweka wazi kuwa msanii Rayvanny bado yupo chini ya #WCBWASAFI...

READ MORE

Familia ya Nesi Aliyeaga Dunia Akiogelea na Kujirekodi, Yashindwa Kuurejesha Mwili Nchini

FAMILIA ya muuguzi raia wa Kenya aliyeaga dunia nchini Canada wakati akiogelea katika swimming pool huku akijirekodi live kwenye ukurasa...

READ MORE

Kuzaa Watoto Wengi Kwageuka Kuwa Mtaji Kwa Baadhi ya Nchi Duniani

KATIKA hali inayoweza kukushangaza Rais wa Urusi alitoa agizo wiki hii akiboresha tuzo inayoitwa “Mothers of Veterans”, ambayo ilianzishwa mwaka 1944...

READ MORE

Tuchel Ajitetea Baada ya Kichapo cha 3-0 Kutoka kwa Leeds

BAADA ya Chelsea kupoteza kwenye mchezo wa mzunguko wa tatu ligi kuu Uingereza wakiwa ugenini dhidi ya Leeds United, Thomas...

READ MORE

Kiungo wa Uholanzi Georginio Wiljnaldum Avunjika Mguu Wakati wa Mazoezi,Klabu yake Yathibitisha

KLABU ya As Roma ya Italia imethibitisha kuwa kiungo wake mpya Georginio Wiljnaldum amevunjika mguu wakati akifanya mazoezi na timu...

READ MORE

Watu Zaidi ya 20 Waripotiwa Kuuawa kwa Shambulio la Kigaidi Nchini Somalia

MKUU wa jeshi la Polisi nchini Somalia amethibitisha kutokea kwa shambulio hilo ambalo limefanywa na wanamgambo wa al shabaab ambapo...

READ MORE