The House of Favourite Newspapers

Simba Yatuma Salamu za Pole kwa Watani Wao wa Jadi Yanga Kufuatia Kifo cha Shabiki

0

KLABU ya soka ya Simba imetuma salamu za pole kwa Uongozi wa Klabu ya yanga kufuatia ajali iliyosababisha kifo cha shabiki mmoja wa klabu hiyo anayefahamika kama Dada Hadija.

Picha ya ajali ya mashabiki wa Yanga iliyotokea maeneo ya Msata-Bagamoyo mkoani Pwani

Katika taarifa hiyo klabu ya Simba pia imewatakia kila lakheri majeruhi na kuwaombea wapone haraka ili waweze kuendelea na majukumu yao.

Leave A Reply