Saido, Ambundo Wavuta Pumzi Ya Moto, Nabi Awatimua Kambini | Krosi Dongo -Video
IMEELEZWA kuwa, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amewatimua kambini wachezaji wawili wa kikosi hicho, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ na Dickson Ambundo.
Tukio hilo limetokea mara baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara…
