×

Tag: Aussems

Aussems: Ubora Utaibeba Simba Kwa Kaizer

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, amefunguka kuwa ubora wa timu hiyo kwa sasa umekuwa mkubwa kutokana na...

READ MORE

Aussems: Naiona Simba Fainali ya Caf

WAKATI droo ya Hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikitarajia kupangwa leo Ijumaa, kocha wa zamani wa...

READ MORE

Aussems Yamfika Makubwa Kenya

FIFA imeifungia madirisha mawili klabu ya soka ya AFC Leopards ya Kenya kusajili wachezaji wa kimataifa, baada kushindwa kumlipa mchezaji...

READ MORE

Gomes Avunja Kibabe Rekodi ya Aussems Simba

KOCHA wa Simba, Didier Gomes, amefanikiwa kuvunja rekodi ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mbelgiji, Patrick Aussems, baada kucheza mechi...

READ MORE

Kocha Simba Atimuliwa Sauz

  PATRICK Aussems, kocha wa zamani wa Simba maarufu kama Uchebe, ameripotiwa kufutwa kazi na timu yake mpya ya Black...

READ MORE

Uchebe Sasa Kocha Black Leopards Sauz

  PATRICK AUSSEMS  aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba SC, ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Black Leopards inayoshiriki Ligi...

READ MORE

Kocha Aussems Akwea Pipa na Kusepa Zake – Video

HATIMAYE aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji ameondoka nchini Tanzania na kurejea nyumbani kwao...

READ MORE

Aussems Ampa Majukumu Matatu Kocha Simba

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, ametamka kuwa kocha ajaye ndani ya kikosi hicho, anatakiwa anatakiwa akifanyie mambo...

READ MORE

Mrithi wa Aussems Simba ni Huyu

WAKATI Kocha Msaidizi akiwa Selemani Matola, jina la Kocha Mkuu wa AS Vita ya DR Congo, Jean-Florent Ikwange Ibengé limetajwa...

READ MORE

Mzunguko wa Kwanza Wala Vichwa vya Makocha 9 Bongo

LIGI Kuu Tanzania Bara kwa sasa inazidi kuchanja mbuga ikiwa ipo kwenye mzunguko wa kwanza, ushindani umekuwa mkubwa kwa timu...

READ MORE

Mo ‘Amzuia’ Mbelgiji Kusepa Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, amezima tetesi za kudaiwa kutaka kuondoka ndani ya kikosi hicho kwa kusema kuwa kwa sasa akili...

READ MORE

Mbelgiji Simba: Hakuna Shoo Simba, Nataka mabao

Patrick Aussems amewapiga biti wachezaji wa kikosi hicho kwa kuwaambia hataki kuona wakicheza mpira wa shoo badala yake anataka kuwaona...

READ MORE

Mbelgiji azuia usajili wa Ndemla Yanga SC

KOCHA Mkuu wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems amepanga kuwaboreshea mikataba baadhi ya wachezaji wake wazawa kwa sharti awe amecheza nusu...

READ MORE

Aussems: Nashusha Majembe Mapya

WAKATI Simba ikiendelea kupambana kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa timu hiyo, Patrick Aussems amefunguka kuwa atahakikisha...

READ MORE

Aussems: Simba tulieni, ubingwa bado wetu

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, amewataka mashabiki wa timu hiyo kutulia kufuatia matokeo mabaya katika mchezo wao dhidi ya...

READ MORE

Kisa kichapo, Mbelgiji Awavaa Wachezaji Simba

BAADA ya Simba juzi kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba, kocha mkuu wa...

READ MORE

Zahera Amuonea Huruma Mbelgiji Simba SC

BAADA ya Simba kupoteza dhidi ya Kagera Sugar, Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, amesema kuwa anamuonea huruma kocha wa...

READ MORE

Aussems: Tutawachapa Mazembe kwao

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, amefunguka kuwa licha ya kutoka sare katika mchezo wao wa juzi wa Ligi ya...

READ MORE

Aussems: Yanga haiwezi kuzuia Ubingwa wa Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, amewachimba mkwara wapinzani wake, Yanga katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa...

READ MORE

Mbelgiji: Al Ahly walitumaliza dakika 45 tu

BAADA ya kupokea kichapo kikali cha mabao 5-0 wakiwa ugenini nchini Misri mbele ya Al Ahly, Kocha Mkuu wa Simba,...

READ MORE

Simba Yafunguka Hatima ya Aussems

WALE mashabiki wa Simba ambao wanataka kocha mkuu wa timu hiyo, Mbelgiji, Patrick Aussems atimuliwe kutokana na matokeo mabaya ambayo...

READ MORE

Mipango ya Mbelgiji Atakavyowaingia Waarabu

KOCHA wa Simba, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji, ameweka wazi kuwa licha ya kutumia mechi za SportPesa kama sehemu ya...

READ MORE

Mbelgiji Simba Aipa Siri Stars

KOCHA wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems amesema kuwa mechi ya Tanzania na Lesotho ndiyo itakayoamua hatma ya Taifa Stars kushiriki...

READ MORE

MBELGIJI SIMBA: SINA HOFU YA KUFUKUZWA

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, ameweka wazi kuwa, hana hofu yoyote kama itatokea anataka kutimuliwa kwa kuwa timu nyingi...

READ MORE