The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Balozi

Mwili wa Balozi wa Italia Waagwa DRC

GAVANA wa Kivu Kaskazini, Carly Nzanzu, na Mshauri Mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameongoza maafisa wengine kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa balozi wa Italia nchini humo, Luca Attanasio, na mlinzi wake.…

Tanzia: Balozi Patrick Chokala Afariki Dunia

Balozi Patrick Segeja Chokala amefariki dunia Novemba 6, 2020 katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa shinikizo la moyo . Marehemu alikuwa Balozi wa Tanzania Moscow tangu Mwaka 2002 mpaka…

Ikulu Yafunguka Kutoapishwa Dk Slaa

WAKATI zikiwa zimetimia siku 40 baada ya kuteuliwa kuwa balozi, Dk. Willibrod Slaa (pichani), hajaapishwa na kuzua minong’ono hatimaye Ikulu imefunguka na kuweka kila kitu wazi. Itakumbukwa kuwa Rais Dk. John Magufuli alitangaza…