The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Bongo Muvi

Niva Awaponda Wema, Uwoya Kwa Mkewe

Na IMELDA MTEMA| GAZETI LA IJUMAA| IJUMAA STAA MIX MUIGIZAJI wa kiume anayefanya vizuri Bongo, Zuberi Mohammed ‘Niva’ amefunguka kuwa hakuna mwanamke yeyote wa Bongo Muvi anayeweza kufi kia uzuri wa mkewe aitwaye Maisala, huku…

Gigy, Utaacha Lini Ulimbukeni?

Na GABRIEL NG`OSHA| RISASI MCHANGANYIKO| BARUA NZITO Ni jambo zuri na la kheri kumkumbuka mtu unayemfahamu, unayemmiss na hata unayempenda, maana hilo ndilo Mwenyezi Mungu ametufundisha. Katika barua yangu ya leo, nimemkumbuka…

Shamsa Ford Yamkuta Mazito Dar

Na Salum Milongo/GPL STAA wa kutoka kiwanda cha filamu cha Bongo Muvi, Shamsa Ford ‘Chausiku’, amepata jeraha la maisha baada ya kupigwa ngumi na jamaa ambaye jina lake halikufahamika mara moja. Kupitia ukurasa wake wa Instagram,…

Baby Kidoti Aitwa Yahaya Mtandaoni

Na Salum Milongo/GPL MWANADADA staa wa kuuza sura kwenye video za wasanii Bongo, ‘Baby Kidoti’, amepachikwa jina la Yahaya na mashabiki wa muziki huo baada ya kuona hajulikani anaishi wapi. Awali Kidoti aliwahi kudaiwa…

Snura Ajipanga Kumuanika Laazizi Wake

Na HAMIDA HASSAN| IJUMAA WIKIENDA| FOUR TOWN STORY DAR ES SALAAM: Staa wa mduara Bongo, Snura Mushi ‘Snusexy’ amefunguka kuwa, baada ya ukimya wa muda mrefu na kuzushiwa kila mwanaume, sasa anajipanga kumuanika laazizi wake ili watu…

Davina Apagawishwa na Keki

DAR ES SALAAM: Mwigizaji wa kitambo Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ juzikati alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ‘birthday’ ambapo alijumuika na marafi ki zake kwenye Ukumbi wa Sparrows Launge uliopo Dar Free Market, Dar, lakini…

Aunty Lulu Sasa Kuimba Gospo

  Na MWANDISHI WETU/GPL BAADA ya maisha ya ujana yenye kila aina ya uchafu hatimaye msanii na Mtangazaji Lulu Semagongo maarufu kama Aunty Lulu, amesema anajiandaa kuimba nyimbo za Injili zitakazozungumzia maisha yake ili watu…

Mpenzi Wangu Anapenda Ngono tu!

Na Anko Nangale/GPL HABARI anko? Nina mpenzi wangu nimeishi naye miaka miwili simuelewi, anapenda ngono tu. Nimeshachoka kuishi maisha ya kibachela, nimemuomba japo aende kwetu ajulikane anasema ningoje, nifanyeje anko na miaka…

Uthamani wa Muvi ni Uhalisia

Na Salum Milongo/GPL Neria ni filamu ya Zimbabwe aliyochezwa mwaka 1993, iliyoandikwa na mwandishi Tsitsi Dangarembga. Filamu hii iliyoongozwa na Godwin Mawuru na kwa kushirikiana na Louise Riber. Ni filamu ya juu kwa hadhi katika…

AMANDA: Tatuu ni Kama Teja wa Unga

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| RISASI VIBES MWANADADA kutoka Bongo Muvi, Amanda Poshi ameibuka na kusema kuwa kuchora michoro mwilini ‘tatuu’ ni kama teja wa madawa ya kulevya ‘unga’ kwani ukijaribu moja, unatamani ujaze…

Ester Kiama Akataa Kuzaa na Dude

Na Gladness Mallya|Risasi Mchanganyiko|Za Motomoto News STAA wa filamu za Kibongo, Ester Kiama ameibuka na kusema hayupo tayari kuzaa na mpenzi wake wa sasa ambaye pia ni msanii, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ingawa anatamani kuzaa mtoto wa…

Stresi Zamkimbiza Wastara Bongo!

Na HAMIDA HASSAN| IJUMAA WIKIENDA| TOWN STORY DAR ES SALAAM: kufuatia stress (msongo?) za maisha Bongo, Super woman wa sineza za Kibongo, Wastara Juma amekimbilia nchini Sweden kwa madai ya kwenda kuonja maisha ya huko baada ya…

UWOYA: Mh! kwa Nape Hapana!

Na IMELDA MTEMA/GPL IRENE Uwoya amekataa katakata kuzungumzia chochote kuhusiana na kutumbuliwa kwa aliyekuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye na kusema chochote ambacho kipo, kiendelee kubaki hivyo hivyo…

Koletha: Kulea ni kazi ngumu

SIKU chache baada ya kujifungua mtoto wa kike, msanii mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Koletha Raymond amefunguka kuwa tofauti na alivyowahi kufi kiri, kulea ni kazi ngumu, hivyo kila mtu anapaswa kumheshimu mama aliyemlea.…

Mary Mawigi Alia na Wanasiasa

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| RISASI VIBES MSANII wa filamu Bongo, Mary Mawigi amelia na wanasiasa, akiwataka kuangalia matatizo ya wananchi na kuyafanyia kazi, badala ya kuendekeza mambo ya mitandao ya kijamii na vyombo…