×

Tag: Celebrities

WAKINA NORA WAMESEPA NA SANAA YAO

Mwigizaji wa kitambo wa filamu za Kibongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amesema sanaa ya kweli na ya kufurahisha ya maigizo ilikuwa...

READ MORE

AUNT AFUNGUKA KUMWAGA CHOZI MAHAKAMANI

Staa wa sinema za kibongo, aunt Ezekiel amefungukia chozi lake alilodondosha mahakamani wakati shoga’ke, wema isaac Sepetu akisomewa mashtaka yake....

READ MORE

KIBIBI APIGA CHINI WASIOJIONGEZA

Mwigizaji anayefanya poa kunako Tamthiliya ya Huba, getrude Richard almaarufu kibibi amesema unapoona una rafiki asiyejiongeza, dawa ni kumpiga chini....

READ MORE

MONDI AMPA MSALA KIBA!

DAR ES SALAAM: Weka pembeni nyimbo zake za mwaka huu za Tetema, The One na Inama, sasa ni zamu ya...

READ MORE

KISHINDO NDOA YA BEN POL

DAR ES SALAAM: Ni kishindo! Kama alivyoahidi mrembo bilionea wa Kenya, Anerlisa Joseph Karanja Muigai kuwa ndoa yake na staa...

READ MORE

NISHA KIPAJI HAKIZEEKI

LICHA ya kupotea kwamuda mrefu kwenye fani, msanii wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuwa kipaji alichonacho cha...

READ MORE

HAMISA AAPA KUTOZAA TENA BILA NDOA!

BAADA ya kuzaa watoto wawili kabla ya kuolewa huku kila mtoto akiwa na baba yake, mwanamitindo na msanii wa Bongo...

READ MORE

MAMA MONDI AFUNGUKIA MADAI YA NDOA YAKE KUVUNJIKA

MAMBO ni motrooo! Siku chache baada ya tetesi kusambaa mitandaoni kuwa ndoa yake na mumewe, Maisala Shamte ‘Anko’ imevunjika, mama...

READ MORE

POSHY AWATAJA WANAOONGOZA KWA CHUKI

MREMBO ambaye alijizolea umaarufu hivi karibuni baada umbo lake kuonekana kuwavutia watu mbalimbali Bongo, Jacqueline obeid ‘Poshy’ amewataja wanawake kama...

READ MORE

WELLU AFUNGUKA KUZAA WATOTO 4

MSanii wa filamu Bongo, Wellu Sengo amefunguka kuzaa watoto wanne. akipiga stori na Za Motomoto, Wellu ambaye anadaiwa kuzaa na...

READ MORE

MAISHA YA BEN POL KUFURU AINGIA REKODI YA MONDI , KIBA

WAKATI mwingine Mwenyezi Mungu anaweza kukuinua kutoka chini na kukuweka juu! Ndivyo ilivyomtokea staa wa muziki wa R&B Bongo, Benard...

READ MORE

BREAKING NEWS: WEMA APATA DHAMANA, MAHAKAMA YAMUONYA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Jumatatu, Juni 24, 2019 imemwachia kwa dhamana Malkia wa Filamu Bongo, Wema Sepetu,  baada...

READ MORE

AUNT SINA PAPARA NA NDOA, NAKULA UJANA !

AUNT Ezekiel amesema kwa sasa hana mpango wa kufunga ndoa na mpenzi wake mpya kwani anakula ujana kwanza.  Aunt ambaye...

READ MORE

SHILOLE: SIJAINGIA KWENYE NDOA KUCHEZA MDUARA!

MWANAMUZIKI wa mduara Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, watu wasimfikirie ameamua kuingia kwenye ndoa kama maonesho, bali amedhamiria kwenda...

READ MORE

POSH QUEEN, PROF JAY GUMZO!

PICHA waliyopiga mwanamitindo Jacqueline Obed ‘Posh Queen’ na Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule ‘Prof Jay’ imezua gumzo ile mbaya huko...

READ MORE

HIVI NDIVYO RAYVANNY ANAVYOMUONA FAHYMA

Mwanamuziki mahiri kutoka Kundi la WCB, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ amesema kuwa mpenzi wake ambaye pia amezaa naye motto mmoja Fahyma,...

READ MORE

RAMMY, JINA LA KANUMBA FEKI LILINIHARIBU KISAIKOLOJIA

Muigizaji mahiri wa kiume wa Bongo Muvi, Rammy Gallis, amesema kuwa hakuna kitu kilichokuwa kikimuharibu kisaikolojia akilia mara kwa mara...

READ MORE

SANCHI ANAANGALIA MAHABA ZAIDI

Modo mwenye jina kubwa ndani na nje ya Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ ameweka wazi kuwa, mwanaume ambaye atamuoa haangalii anatoa...

READ MORE

TIFFAH AMRUSHA ROHO BABA YAKE

 DAR ES SALAAM: Watoto wawili ambao ni uzao wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwanamama mwenye...

READ MORE

BAADA YA KUMWAGANA NA DOGO JANJA…UWOYA NDOA TENA!

STAA wa Filamu Bongo, Irene Uwoya anafunga ndoa tena, Risasi Jumamosi limenasa ishu na mwenyewe amefunguka ukweli.  Uwoya ambaye awali...

READ MORE

HAMISA MOBETO:UREMBO WANGU NJE , ILA JIKONI HUNIWEZI!

NI wakati mwingine mzuri wa wewe mpenzi msomaji kupata nafasi nyingine tena ya kujua maisha halisi wanayoishi mastaa mbalimbali kupitia...

READ MORE

AMBER RUTTY AIBUKA KIVINGINE

MSANII chipukizi wa Bongo Fleva, Rutyfiya Abubakary ‘Amber Rutty’ amevunja ukimya wa muonekano wake baada ya kuibuka kivingine. Kwa mujibu...

READ MORE

MREMBO ALIYETWAA TAJI CHINA AFUNGUKA

MREMBO Anitha Mlay aliyeshika nafasi ya pili katika Shindano la Kimataifa la Mazingira la Miss Landscape nchini China, amefungukia safari...

READ MORE

WOLPER DHARAU ZIMENICHELEWESHA U-BOSS LADY!

STAA wa filamu ambaye hivi sasa amegeukia ufundi cherehani, Jacqueline Wolper, amefunguka kuwa dharau zake zilimfanya asiwe tajiri wa kike...

READ MORE

ETO’O AMPIGIA SALUTI DIAMOND

DAR ES SALAAM: KISMATI! Ukiona hadi staa mwenzako anakupa heshima, jua unachofanya ni kikubwa! Nahodha wa zamani wa Timu ya...

READ MORE

UZURI UNAMFANYA MOBETO ASITAKE WANAUME

Kwel i? Mwanamitindo, mwigizaji na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto  amesema anajijua ni mzuri hivyo hana shida ya kuhangaika...

READ MORE

DAVINA AFUATA NYAYO ZA MOND

HALIMA Yahya ‘Davina’ ameonesha kufuata nyayo za staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Mondi’ kwa kuanzisha ‘brandi’ yake ya pafyumu....

READ MORE

AMBER LULU KUMZALIA PREZZO!

VIDEO queen ambaye pia anafanya poa kunako Bongo Flevani, Lulu euggen ‘Amber Lulu’ amesema kwa sasa anaona kuwa hakuna cha...

READ MORE

DAVINA: SITAKI KUTUMIKA TENA

Muigizaji mkongwe Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa hapendi tena kutumika kwa wanaume ambao hawana msimamo katika maisha yake...

READ MORE

LULU DIVA AMFUNGUKIA RIYAMA

STAA wa Bongo Fleva ambaye, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amemfungukia staa mwenzake kwenye tasnia ya filamu Bongo, Riyama Ally kuwa...

READ MORE

NAMUONA LULU NDANI YA JENNIFER KANUMBA

KWA wafuatiliaji wa filamu tangu enzi zile ambazo filamu ilikuwa filamu kwelikweli, watakuwa wanamkumbuka vizuri binti mdogo aliyekuwa akifahamika kwa...

READ MORE

NANDY APINDUA MEZA MDOGOMDOGO

FEBRUARI 9, 2017 bado itaendelea kubaki kama kumbukumbu katika kichwa cha mwanadada mrembo anayetikisa Bongo Flevani, Faustina Charles Mfinanga anayetumia...

READ MORE

HUSNA MAULID: UYATIMA UMENIFUNDISHA MAISHA

MREMBOambaye amewahi kushiriki mashindano mbalimbali ya urembo nchini Husna Maulid, amesema uyatima umemfanya ayajue maisha mapema kwani mpaka sasa angekuwa...

READ MORE

MALAIKA ANATAKA WATU WAPENDWE WAKIWA HAI

Fact! Sexy lady kunako Bongo Fleva, Diana Exavery ‘Malaika’ amesema kuwa ni muhimu kumpenda mtu akiwa hai, lakini akifa ukasema...

READ MORE

NELLY AYASIKITIKIA MAISHA YA UJANA

Mwanamitindo na mrembo ambaye ameshika mataji mbalimbali Bongo likiwemo la Miss Universe Tanzania 2011,amefunguka hakuna kitu anachosikitikia kama ujana ambao...

READ MORE

KWA HILI MLILOLIFANYA LULU DIVA, SANCHI MTASUBIRI TENA RAMADHANI 2020 ?

MWEZI Mtukufu wa Ramadhani ndiyo unaishia hivyo. Ulianza kama masihara masihara hivi, mara moja… mbili…tatu…, ile kushituka mwezi umegawanyika na...

READ MORE

MAIMARTHA: SIMCHUKII ZARI, NI KAZI TU!

Mtangazaji Maimartha Jesse amedai kuwa hamchukii mzazi mwenzake na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ kama watu wanavyodhani...

READ MORE

PENNY, HABARI YA NDOA NITASHANGILIA WENZANGU TU, MIMI HAPANA!

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Harusi Yetu kupitia Runinga ya Magic Swahili, Penieli Mwingilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa anafurahi anapoona wenzake wakifunga...

READ MORE

TANASHA ANAVYOTEKETEZA MAMILIONI YA MONDI

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mchumba wake kutoka nchini Kenya, Tanasha Donna ndiyo ‘kapo’ inayotikisa kwa...

READ MORE

POSHY SILAZIMISHI SANCHI KUNIFAHAMU

Mrembo ambaye jina lake limekuwa kubwa mjini kutokana na umbo lake tata, Jacqueline Obeid ‘Poshy’ amemfungukia mrembo mwenzake, Jane Rimoy...

READ MORE