Chris Brown Akanusha Tuhuma za Ubakaji
HATIMAYE mwanamuzuki Chris Brown ameibuka na kujibu tuhuma za kesi ya ubakaji inayomkabili baada ya mwanamke mmoja kumshtaki na kudai fidia ya dola milioni 20 ambazo ni sawa na zaidi ya Bilioni 46 za Kitanzania.
Kwenye taarifa…
