Ndoa Ya Diva Na Sheikh Abdulrazak Chali, Mwenyewe Afunguka – “Single Lady”
Habari iliyozua mshtuko kwenye ulimwengu wa mastaa wa Bongo usiku wa kuamkia leo Januari 13, 2023 ni kuhusu sintofahamu ya ndoa ya mtangazaji wa Wasafi, Diva The Bawse na mumewe, Sheikh Abdulrazak Salum kwamba ni chali.
Diva ameweka…
