The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

JB

JB: Kuna Wema Mmoja Tu

KUNA Mwigizaji na director mkubwa wa Bongo Movies, Jacob Steven almaarufu JB amemsifia mwigizaji na mlimbwende wa Tanzania, Wema Sepetu kwamba yupo mmoja tu na hatatokea mwingine. JB ambaye ameigiza filamu nyingi na Wema…

JB Aachia Ngazi

MSANII wa Bongo Movies, Jacob Steven maarufu kama JB ametangaza kuachana na kazi ya uigizaji na kujikita zaidi katika uongozaji na uandaaji wa filamu. JB ameandika kupitia akaunti yake ya Instagram;- ‘’Niliwahi kusema…

STEVE AJIGAMBA KULINDWA NA JB

MUIGIZAJI kutoka Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ usiku wa kuamkia Jumatatu alizua gumzo baada ya kujigamba ukumbini kuwa bodigadi wake wa sasa ni Jacob Steven ‘JB’.   Tukio hilo lilijiri katika Hoteli ya Hyatt…

JB Azua Gumzo Kupukutika Mwili

MKALI wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amezua gumzo la aina yake baada ya kutupia picha mpya mtandaoni inayomuonesha akiwa amepukutika mwili. Akizungumza na Amani hivi karibuni, JB alisema siri ya kupungua kwake ni…

JB: TASNIA HAIJATUFIA

MKONGWE wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amesema kimsingi tasnia ya filamu Bongo haijafa kama wengi wanavyodhani. JB alisema wavivu ndiyo wanaolalamika kwamba tasnia imekufa na hailipi jambo ambalo halina ukweli wowote.…

MZEE MAJUTO MUNGU MKUBWA – VIDEO

MUNGU mkubwa! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kusikia habari njema kuwa, mchekeshaji Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ au ‘King Majuto’ mwenye umri wa miaka 60 kufanyiwa upasuaji na sasa anaendelea vizuri, Ijumaa Wikienda limedokezwa.…

JB AANIKA SIRI YA KUPIGA CHINI MUVI

AMITABH Bhachchan ni muigizaji maarufu duniani aliyejipatia jina kupitia Tasnia ya Filamu India inayojulikana kwa jina la Bollywood. Kwa wapenzi wa muvi za Kihindi watakuwa wanafahamu habari yake kupitia muvi nyingi zikiwemo Shahenshah,…

JB Ashiriki Igizo la Kumekucha

Na Leonard Msigwa Msanii nguli wa filamu nchini, Jacob Steven ‘JB’ ameshiriki katika igizo la  Kumekucha ambalo limeandaliwa kwa ajili ya kuhamasisha vijana kujishughulisha na kilimo kutokana na uhaba wa soko la ajira. Katika…

JB abainisha kinachoiua sanaa!

Mkongwe wa filamu Bongo, Jacob Stephen ‘JB’. MKONGWE wa filamu Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameweka wazi kinachochangia sanaa ya filamu ionekane kama imepwaya na kukosa thamani katika soko kuwa ni wasanii kuishiwa ubunifu na mipango mikakati…

Jb Ubunge haupo tena moyoni

Kama kawaida ya kolamu hii kuwaletea wasanii mbalimbali na kuwabananisha maswali kedekede ambayo yamekuwa yakiwaumiza vichwa wasomaji wa gazeti hili kwa kushindwa kuelewa undani wake. Alhamisi ya leo tunaye mkongwe katika tasnia ya…

JB alishwa sumu

Na Sifael Paul Habari mbaya iliyolifikia gazeti hili imeeleza kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amenusurika kifo baada ya kudaiwa kulishwa sumu na kujikuta katika hali mbaya kiafya kabla ya kukimbizwa hospitalini. Kwa…