Mapigano Yaibuka Nchini India Kupinga Mfumo Mpya wa Vijana Kujiunga na Jeshi
POLISI Kaskazini mwa India wamelazimika kufyatua risasi kutawanya maandamano ya wananchi ambao walikuwa wanapinga mfumo mpya wa uandikishaji vijana wa kujiunga na Jeshi nchini humo.
Mamlaka ya Mji huo iliamua kuzima mtandao…
