JESHI la Polisi nchini Nigeria wanamshikilia mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu cha Ilorin kwa tuhuma za kumpiga mhadhiri wa kike....
READ MOREWATU zaidi ya 20 ambao ni jamii ya wafugaji wanadaiwa kumshambulia Mwenyekiti wa Chama Cha Ushirika wa Wakulima wa...
READ MOREJamaa mmoja mtaani Pipeline, Nairobi nchini Kenya anajuta kuumizwa sehemu zake za siri na kisura aliyejaribu kumdhulumu (kumshikashika bila...
READ MORESEKESEKE limezuka katika nyumba moja eneo la Aboloi Teso, nchini Kenya, baada ya jamaa kurejea nyumbani kwake na kumshambulia jirani...
READ MORESakata la Daudi Lefi aliyekuwa anamuuguza mama wake hospitali ya rufaa Mkoa wa Shinyanga kupigwa na walinzi wa Suma JKT...
READ MOREKATIKA hali isiyotarajiwa mwanamme aliyejulikana kwa jina la Daudi Lefi (40) amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushambuliwa na walinzi...
READ MOREMKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, Hudson Kamoga, amemsimamisha kazi Ofisa Mtendaji wa kijiji cha Haydom, Adela...
READ MOREDAKTARI mmoja mwanamke nchini Nigeria ameibuka hadharani na kutoboa ukweli ya yanayotokea ndani ya ndoa yake kupitia manyanyaso mengi na...
READ MOREAskari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayedaiwa kumpiga mwaamuzi Fadhil Maka aliyekuwa akichezesha mchezo kati ya Pamba FC na...
READ MOREMAJAMBAZI yaliyomvamia mfanyabiashara mmoja, Mkombozi Mjaila (32) wilayani Handeni, mkoani Tanga na kumjeruhi kichwani, yamemponza kigogo wa polisi ambaye ni...
READ MOREJeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limeanza kufanya uchunguzi kuhusu tukio la Vena Mushi kupigwa kwa madai ya kufumaniwa na mume...
READ MOREMWANAMKE mmoja nchini Nigeria amechakazwa vibaya na mwanamume anayedhaniwa kuwa ni mume wake baada ya kutokea hali yenye utata dhidi...
READ MORERAIA wanne wa China waliokamatwa na Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) wanatarajiwa kurudishwa kwao...
READ MOREMwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 50 kutoka wilaya ya Budaka mashariki mwa Uganda, amemjeruhi mke wake vibaya baada...
READ MOREALIYEKUWA mkuu wa Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, Peter Toima Kiroya anadaiwa kuburuzwa polisi na mkewe Philomena Toima kwa tuhuma...
READ MOREBONDIA raia wa Urusi, Maxim Dadashev, amefariki dunia baada ya pambano lake dhidi ya mpinzani wake, Subriel Matias, kumsababishia majeraha...
READ MOREWAKATI wapendanao duniani wakiadhimisha Sikukuu ya Valentine’s Day kesho (Alhamisi) kwa kila mmoja kuonesha mahaba niue kwa mwenza wake, hali...
READ MOREDUNIA ina mambo! Wakati wanawake wengi wakiitamani ndoa ili kujijengea heshima, mambo yamekuwa tofauti kwa mshiriki wa Miss Tanzania 2008,...
READ MOREMOROGORO: 40 yake imetimia! Jamaa mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Chande amekamatwa na polisi akidaiwa kutumia fursa kwa kuiba...
READ MOREJESHI la Polisi mkoani Songwe limeeleza sababu ya askari wa usalama barabarani kumshambulia dereva kwa kipigo kuwa alitumia lugha ya...
READ MOREMKURANGA: Duniani kuna mengi, ukiwa mzima mambo ya kuona na kusikia yapo ya kutosha; mfano ni hili tukio la kutisha...
READ MOREMama mmoja mkoani Tanga aliyefahamika kwa jina moja la Ashura, amemchoka kwa kisu mtoto wake wa miaka nane kwa madai...
READ MOREMOROGORO: Wakati walimu wawili wa Shule ya Msingi ya Kibeta iliyopo Bukoba mkoani Kagera wakiburuzwa mahakamani wakidaiwa kumchapa viboko hadi...
READ MOREWANAODAIWA kuwa Askari Mgambo wawili Kelvin Sawala, Goodluck Tarimo ambao ni Askari Mgambo na ofisa Mtendaji kata ya Bunju, Ibrahim...
READ MOREIKIWA ni saa chache baada ya video kusambaa katika Mitandao ya Kijamii ikionyesha askari mgambo wakimpiga kijana Robson Orotho anayedaiwa...
READ MOREWANAFUNZI wa kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Kalangalala mkoani Geita wameandamana kwenda kwenye ofisi ya Mkuu wa...
READ MOREMWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Kibeta, Sperius Eradius (13) amefariki dunia akidaiwa kupigwa na mwalimu wake...
READ MOREWanasheria wa Mbunge wa Kyaddondo Mashariki nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, wameitaka Tume ya Haki za Binadamu...
READ MOREFARIDA Angelo (24) ni mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar ambaye ameibuka na kuangua kilio mbele ya gazeti hili...
READ MOREJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limelaani vikali kushambuliwa kwa Mwandishi wa Habari za Michezo, Sillas Mbise...
READ MOREShirikisho la Mpira wa Miguu nchini(TFF), limelaani vikali kushambuliwa kwa Mwandishi wa Habari za Michezo, Sillas Mbise. Kupitia Afisa...
READ MOREMWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Mwikatsi wilayani Babati mkoani Manyara, Simon Lala (CHADEMA) ameshambuliwa na kujeruhiwa kwa mishale na...
READ MOREDAR ES SALAAM: Mkazi wa Bunju B Kwa Baharia jijini Dar, Barbara Agustino na mama yake mzazi, Jumatatu iliyopita...
READ MOREHABARI hii inasikitisha sana! Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Mudrick Abdallah amedaiwa kumpa kipigo mwanamke aliyekuwa mkewe, Fatma Addy kiasi...
READ MOREKUTAFUTA utajiri kwa njia za mkato hapa duniani kumewaponza wengi! Mama ambaye ni mfanyabiashara, Tabu Mwelege, mkazi wa Kijiji cha Kijiweni...
READ MOREKijana Allen Mapunda mkazi wa Kata ya Iyela anadaiwa amefariki jana Machi 25, 2018 saa chache baada ya kuachiwa kutoka...
READ MOREKIJANA mmoja anayejulikana kwa majina ya Khamis Ally amejikuta akipitia wakati mgumu kutokana na aina ya kazi anayoifanya ya kupaka...
READ MOREMFANYAKAZI wa ndani (hausigeli) aliyefa-hamika kwa jina la Katalina John anayefanya kazi hizo kwa Lyina John (30) mkazi wa Mhongolo wilayani Kahama,...
READ MORESHAROBARO mmoja ambaye jina lake halikujulikana mara moja wikiendi iliyopita alikutwa na mazito ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili...
READ MOREDUNIA inatisha! Katika hali ya kushangaza mtoto wa mchungaji wa Kanisa la Emmaus Bible Church Pentecost lililopo Mlandizi, Pwani,...
READ MORE