Mama Mbaroni kwa Kutelekeza Watoto Shambani
POLISI mkoani Mwanza imemkamata Happiness Mafuru (23) kwa tuhuma ya kuwatelekeza watoto wake wawili katika majaluba ya mpunga majira ya saa 11 jioni katika Mtaa wa Mtakuja, Nyamhongolo, Wilayani Ilemela.
Watoto hao, Kelvin Mathias…
