Mazito Mke Wa Manara Yaibuka, Kuendelea Kumhudumia Hadi Amalize Eda Yake
WENGI wanadhani kwa kuwa dini ya Kiislamu imeruhusu talaka basi jambo hilo laweza kufanyika kimchezomchezo; wanazuoni wanasema “La hasha.”
Hivi karibuni kumekuwepo madai kuwa aliyekuwa msemaji wa Yanga Haji Manara amemtaliki mkewe wa…
