The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

mbao fc

Mastaa 10 Yanga Kuikosa Mbao FC

KIKOSI cha Yanga SC kitashuka tena uwanjani Jumamosi ya Januari 29, 2022 kucheza na klabu ya Mbao FC ya jijini Mwanza katika mchezo wa kombe la shirikisho la Azam. Awali, mchezo baina ya Yanga SC Vs Mbao FC ulipangwa kuchezwa katika…

Mbao FC Yaweka Rekodi SportPesa

TIMU ya Mbao FC ya Mwanza imefanikiwa kuweka rekodi katika michuano ya SportPesa Cup kufuatia kuwatoa mabingwa watetezi wa michuano hiyo Gor Mahia kwa kuwafunga penalti 4-3 ambao walitwaa kombe hilo mara mbili mfululizo. …

Mbao Wadai Mwamuzi Aliwanyonga

Omary Mdose, aliyekuwa Dodoma | CHAMPIONI BAADA ya kupoteza mchezo wa fainali ya Kombe la FA mbele ya Simba kwa mabao 2-1, wachezaji wa Mbao FC wamemtupia lawama za waziwazi mwamuzi aliyechezesha mechi hiyo, Ahmed Kikumbo kutoka…

Mkude: Hatuna Mzaha kwa Mbao FC

NA MWANDISHI WETU |CHAMPIONI NAHODHA wa Simba, Jonas Mkude, amesema leo Jumamosi wataingia uwanjani kwa nia moja tu ya kushinda na kutwaa ubingwa wa Kombe la FA na wala hawatafanya mzaha kwa wapinzani wao, Mbao FC. Simba na Mbao ya…

Yanga yaizuia Simba kimataifa

Na Leah Marco| CHAMPIONI| Mwanza SAFARI ya Yanga katika michuano ya Kombe la FA au Azam Sports Federation Cup (ASFC), imefikia tamati jana huku Mbao FC, vijana waliopanda daraja kwa ngekewa kucheza ligi kuu msimu huu, wakitia mchanga…

Simba: Kikwazo ni Malinzi

Khadija Mngwai | CHAMPIONI| Dar es Salaam KITENDO cha mshambuliaji wa Kagera Sugar, Mbaraka Yusuph kufunga bao la ‘kideoni’ katika mchezo dhidi ya Simba na kuchagiza ushindi kwa timu yake wa mabao 2-1, kumeongeza hasira kwa…