×

Tag: mbao fc

Mastaa 10 Yanga Kuikosa Mbao FC

KIKOSI cha Yanga SC kitashuka tena uwanjani Jumamosi ya Januari 29, 2022 kucheza na klabu ya Mbao FC ya jijini...

READ MORE

Yanga Yamruhusu Wazir Junior Asepe

COASTAL Union ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Yanga, Waziri Junior kabla ya kufungwa kwa...

READ MORE

Wachezaji Yanga Walamba Milioni 10 Mwanza

KIKOSI cha Yanga juzi kimelamba kiasi cha shilingi milioni 10 ikiwa ni baada ya ushindi walioupata dhidi ya Mbao FC...

READ MORE

Simba Waitisha Mbao, Kukipiga leo Uwanja wa Jamhuri Moro

SIMBA leo Jumapili itakuwa ikisaka rekodi ili kuweza kupoteza machungu na kuaibishwa na Mbao FC mwanzoni mwa msimu baada ya...

READ MORE

Mbao FC wajipanga kuitibulia Yanga tena

MBAO FC ya Mwanza, imesema balaa la kufungwa ambalo Yanga imekumbana nalo juzi Jumamosi kutoka kwa Simba, ndilo itakalokutana nalo...

READ MORE

Mbao FC Yaweka Rekodi SportPesa

TIMU ya Mbao FC ya Mwanza imefanikiwa kuweka rekodi katika michuano ya SportPesa Cup kufuatia kuwatoa mabingwa watetezi wa michuano...

READ MORE

Mbao Waja Kuwafurahisha Simba Taifa

LICHA ya kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Ruvu Shooting, uongozi wa Mbao ya mkoani Mwanza umeibuka na kusema kuwa...

READ MORE

Beki Mbao: Kichuya, Okwi Walituvuruga

BEKI wa Mbao FC, David Mwasa amefunguka kuwa mabao mawili ya haraka ambayo yalifungwa na Simba kwa kipindi kifupi ndiyo...

READ MORE

GF Trucks & Equipments Yaikabidhi Mbao FC Basi la Sh. Mil 70

  KLABU ya Mbao ya jijini Mwanza imekabidhiwa basi lenye thamani ya Sh70 milioni kwa ajili ya wachezaji. Basi hilo...

READ MORE

MBAO FC WAPATA MKATABA WA SHILINGI MILIONI 140

Mbao FC imesaini mkataba wa udhamini wa mwaka mmoja na kampuni ya uagizaji wa magari ya mizigo GF Trucks &...

READ MORE

Kiungo Arudisha Fedha za Usajili Yanga

KIUNGO mpya wa Azam FC, Salmin Hoza aliyejiunga na timu hiyo hivi karibuni aki­tokea Mbao FC ya Mwanza, ameamua kumalizana...

READ MORE

Yanga Yamtorosha Kiungo, Aiacha Klabu Yake Kwenye Mataa

Na Wilbert Molandi|CHAMPIONI|GPL YANGA ni kama imeifanyia umafia Mbao FC baada ya kumtorosha beki mbishi wa pembeni mwenye kasi, Jamal...

READ MORE

Mbao Wadai Mwamuzi Aliwanyonga

Omary Mdose, aliyekuwa Dodoma | CHAMPIONI BAADA ya kupoteza mchezo wa fainali ya Kombe la FA mbele ya Simba kwa...

READ MORE

Mkude: Hatuna Mzaha kwa Mbao FC

NA MWANDISHI WETU |CHAMPIONI NAHODHA wa Simba, Jonas Mkude, amesema leo Jumamosi wataingia uwanjani kwa nia moja tu ya kushinda...

READ MORE

Mbao FC Yakomalia Ushindi wa Penalty

Omar Mdose | CHAMPIONI| Dodoma MBAO FC kweli imepania kutwaa ubingwa wa Kombe la FA na kubeba zawadi ya Sh...

READ MORE

Mrundi wa Mbao aanza kuiwinda Simba mapema

Ibrahim Mressy|CHAMPIONI|GPL KATIKA soka la Tanzania, imebaki mechi moja tu kubwa, nayo ni fainali ya Kombe la FA kati ya...

READ MORE

Yanga yaizuia Simba kimataifa

Na Leah Marco| CHAMPIONI| Mwanza SAFARI ya Yanga katika michuano ya Kombe la FA au Azam Sports Federation Cup (ASFC),...

READ MORE

Mtifuano wa Shirikisho la Azam Wafikia Patamu

Mtifuano wa Kombe la Shirikisho la Azam leo umefikia patamu baada timu zitakazomenyana katika nusu fainali kujulikana baada ya droo...

READ MORE

Kichuya: Tutavunja Rekodi ya Miaka 7 Toto

STORI: Khadija Mngwai | CHAMPIONI| Dar es Salaam KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya, amesema mechi ya kesho Jumamosi dhidi ya...

READ MORE

Kipa Mbao: Niliona Mauzauza Bao la Mzamiru

Idd Mumba | CHAMPIONI| Mwanza KIPA wa Mbao, Erick Ngwengwe, amesema aliona mauzauza kwenye mabao matatu aliyofungwa na Simba, juzi. Simba...

READ MORE

Simba: Kikwazo ni Malinzi

Khadija Mngwai | CHAMPIONI| Dar es Salaam KITENDO cha mshambuliaji wa Kagera Sugar, Mbaraka Yusuph kufunga bao la ‘kideoni’ katika...

READ MORE