The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Mbwana Samatta

Baba: Everton Wanamtaka Samatta

BABA mzazi wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta, mzee Ally Samatta amefunguka kuwa anaamini mtoto wake ataendelea kucheza Ligi Kuu England hata ikitokea Aston Villa ikishuka daraja kwa kuwa tayari timu ya Everton…

Samatta Ampeleka Mkewe Ubelgiji

NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na mshambuliaji wa KR Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta, ameamua kumbeba jumla mkewe kwa kumpeleka Ubelgiji. Samatta alifunga ndoa na mzazi mwenzie, Neima Magange, Oktoba 10,…

Samatta Kupewa Mtaa Kibiti

BABA Mzazi wa Mshambuliaji wa KR Genk ya nchini Ubelgiji, Mbwana Samatta, Mzee Ally Samatta ametuma maombi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti kumpatia mtaa mtoto wake huyo kutokana na historia aliyoiweka katika soka la Tanzania kwa…

Kumpata Samatta sasa Bilioni 53

INAELEZWA uongozi wa klabu ya KRC Genk umeamua kuongeza tena dau kwa timu zinazomtaka mshambuliaji wake, Mtanzania Mbwana Samatta kutoka shilingi bilioni 40 hadi kufukia shilingi bilioni 53. Mshambuliaji huyo ambaye msimu uliopita…

Samatta Kutikisa Europa Leo Usiku

LEO kuna mechi 15 kwenye michuano Europa na mwanetu Mbwana Samatta yuko mzigoni. Genk leo saa 5 usiku itacheza na Slavia Prague nyumbani. Hiyo ni siku moja baada ya Samatta kutokea kwenye kurasa za magazeti mengi ya Ubelgiji jana…

SAMATTA ALIVYOWATEKA WAZUNGU

MBWANA Samatta amezidi kung’ara kwenye vyombo mbalimbali vya habari barani Ulaya kutokana na uwezo wake ndani ya uwanja. Samatta ambaye anaichezea KRC Genk inayoshiriki Ligi Kuu ya Ubelgiji, ndiye kinara wa wafungaji wa ligi hiyo akiwa…

Mbwana Samatta Afanya Ziara Makka

Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta,  anayekipiga katika timu ya Genk ya nchini Ubelgiji baada ya kumaliza msimu wa ligi kuu nchini humo,  ameelekea nchini Saudia Arabia kwa ajili ya kufanya ziara ya kidini…

Samatta: Msuva Anapita tu Morocco

NAHODHA wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, amemtaja kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Simon Msuva kuwa atafika mbali katika soka la kimataifa kutokana na kufunga mabao ya kiufundi katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Botswana,…

Wanyama: Samatta Atafika Mbali

KIUNGO wa Tottenham Hotspur, Victor Wanyama amesema iwapo straika Mtanzania, Mbwana Samatta atajituma zaidi katika timu yake ya KRC Genk ya Ubeligiji, basi atafika mbali kisoka. Wanyama raia wa Kenya, yupo nchini kwa mapumziko akisubiri…

Mbwana Samatta Anunua Gari Jipya

Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta ametumia kiasi cha milioni 130 kununua gari yake ya kwanza nchini Ubelgiji. Ameweka picha kwenye akaunti yake ya mtandao wa Twitter na kuandika maneno ya kumshukuru Mwenyezi Mungu,…