ILIPOISHIA Tulipofika Bagamoyo niligundua kuwa azma yangu ya kurudi Uingereza haraka inaweza kuzuiwa na makubaliano yangu na Faiza. Nilijua kuwa...
READ MOREILIPOISHIA Nikamueleza jinsi nilivyokutana na Faiza akiwa ameshakaa kwa miaka minne ndani ya mapango hayo. Nikamueleza na yale yaliyotokea hadi...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Baada ya kuzungumza kwa kirefu, Faiza aliwaleta ndugu zake katika wodi niliyokuwa nimelazwa.Faiza aliwatambulisha kwangu na wote...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Wewe ulimuona kwa macho yako huyo jini?” “Ndiyo nilimuona” “Yukoje?” “Ni kama binadamu lakini anatisha.” “Unajua ninakuuliza...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Kikosi kingine cha askari kikaingizwa ndani ya pango hilo kuhakikisha kama wale watu tuliosema wameuawa, wameuawa kweli....
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Kaikush alikuwa amepata hasira,” Faiza aliniambia. “Ni ile hasira ya kuniacha mimi.” “Na pia ameona ninatoroshwa.” Baada...
READ MOREFaiza akatikisa kichwa. Siwezi kukuacha peke yako. Kama Kaikush atakuja basi atuue sote.” Nikatazama nyuma tena. Kwa upande wangu nilikuwa...
READ MORE“Hatuwezi kupumzika kidogo,” Faiza akauliza alipoona nilivyokuwa nikitweta. “Hapapumzikiki dada’ngu. Bora tujitahidi hivyo hivyo,” mtu mmoja akamwambia Faiza. SASA ENDELEA…...
READ MORE“Ni huyo jini niliyewaambia, huyu mwenzenu anamfahamu. Anaua watu wote wanaofika hapa.” “Umesema anakuja, yuko wapi sasa?” Mwenye bunduki aliendelea...
READ MOREILIPOISHIA “Lakini sisi tuna bunduki, tunaweza kukabiliana na hatari yoyote.” “Huyo jini kama tutamkuta, sidhani kama bunduki yenu inaweza kusaidia.”...
READ MOREILIPOISHIA “Kwani wewe hunikumbuki mimi, si ndiye niliyewaingiza ndani ya pango hili hadi pale mlipochangukana?” Nilipomtazama vizuri, nikakumbuka. Alikuwa ndiye...
READ MORE