Serikali Kugharamia Mazishi Ya Wanakwaya 33 Waliofariki Mtoni
GAVANA wa Kaunti ya Kitui nchini Kenya Charity Ngilu amesema kuwa serikali ya kitaifa na ile ya kaunti yake zitagharamia mazishi ya waathiriwa wa mkasa wa basi uliotokea katika daraja la Mto Enziu kaunti Jumamosi.
…
