Nandy: Ndoa Yangu Na Billnass Imenipa Fundisho, Watimiza Miaka Miwili
Malkia wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga almaarufu Nandy ameamua kutoa ya moyoni kuhusu mahaba anayopewa na mumewe ambaye pia ni msanii mwenzake, William Lyimo au Billnass baada ya ndoa yao kutimiza miaka miwili tangu ifungwe.…
