KATIBU wa itikadi na uenezi wa CCM, Humphrey Polepole, leo Agosti 20, anatangaza majina ya wagombea ubunge wa CCM...
READ MOREMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli, leo 6, 2020, l amechukua fomu ya kugombea urais wa Jamhuri...
READ MOREWASIMAMIZI wa uchaguzi wa mikoa na wasimamizi wa uchaguzi mkuu ngazi ya wilaya na majimbo, wameagizwa kuhakikisha simu zao zinakuwa...
READ MORETume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebadilisha kwa majina ya majimbo ambapo Jimbo la Chilonwa litaitwa Chamwino, Mtera linaitwa Mvumi...
READ MORE#BreakingNews: Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza ratiba ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kama ifuatavyo: Uteuzi wa...
READ MORET ume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la...
READ MORETUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza tarehe 31 Julai, 2019, kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mdogo Jimbo la Singida...
READ MORETume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesitisha ajira za muda iliyozitangaza kwa ajili ya shughuli ya uboreshaji wa daftari la...
READ MORETume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza nafasi za kazi za muda kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga...
READ MOREChama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kulifanyika maboresho daftari la...
READ MOREALIYEKUWA Mbunge wa Temeke kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF) Abdallah Mtolea, ametangazwa na msimamizi wa uchaguzi kuwa Mbunge...
READ MOREMWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage amekanusha habari zinazosambazwa kuwa mawakala wote Monduli wamezuiwa kuingia katika vituo...
READ MORETUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Liwale Mkoa wa Lindi, kufutia kujiuzulu kwa alieyekuwa...
READ MORETUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema imeshangazwa na taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, jana Agosti 8,...
READ MORETUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekanusha taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani nchini kwamba katika uchaguzi mdogo uliofanyika Agosti...
READ MORETUME ya taifa ya uchaguzi, NEC wamesema wagombea wa udiwani 3O kutoka CCM wamepita bila kupingwa baada ya wagombea wa...
READ MOREWagombea 30 wa Udiwani katika uchaguzi Mdogo wa kata 77 utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu, wamepita bila kupingwa. Akizungumza...
READ MOREMWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha amestaafu baada ya kumaliza muda wake wa majukumu ya tume...
READ MOREWakati baadhi ya vituo vya kupigia kura katika uchaguzi wa jimbo la Kinondoni mawakala wa vyama vya siasa wamezuiwa kuingia...
READ MOREJana 15/02/2018 baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe,...
READ MOREWagombea 27 wa ubunge na udiwani wameteuliwa kugombea nafasi hizo katika uchaguzi mdogo utakaofanyika Februari 17, mwaka huu katika majimbo...
READ MORETume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata nyingine sita utafanyika Februari 17, 2018. Kata...
READ MOREUCHAGUZI wa marudio ya udiwani katika kata 43 unaofanyika leo sehemu mbalimbali nchini, umeleta hali ya sintofahamu katika Kata...
READ MOREHALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) ambayo inaendelea na vikao vyake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo iliwapokea...
READ MORETume ya Uchaguzi katika kikao chake cha tarehe 3 November 2017 imeteua madiwani watatu kujaza nafasi za Udiwani katika Halmashauri...
READ MORETume ya Taifa ya Uchaguzi imemteua Ndugu Rehema Juma Migilla kuwa Mbunge wa Viti Maalum katika Bunge la Jamhuri ya...
READ MORETume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefafanua juu ya uteuzi wa wabunge wapya wa Viti Maalumu wa Chama cha Wananchi...
READ MOREKwa mujibu wa Ibara ya 78(4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ikisomwa pamoja na...
READ MORETume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza nafasi ya mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya Chadema Nafasi hiyo imetangazwa...
READ MOREMkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ramadhani Kailima akisaini katika kitabu cha wageni alipowasili katika Ofisi za Kampuni...
READ MOREWananchi wakiangalia majina yao kabla ya kupiga kura katika kituo cha Bweleo katika jimbo la Dimani leo. Hatimaye wananchi wa...
READ MORE