The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

OMOG

Omog Aomba Wiki Mbili Mtibwa

BAADA ya kuanza vibaya Ligi Kuu Bara msimu huu, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar raia wa Cameroon, Joseph Omog ameomba apatiwe muda wa wiki mbili ili kukinoa upya kikosi hicho na kuweka mambo sawa ili wafanye vizuri. Mtibwa Sugar tayari…

Omog Akwama Mtibwa Sugar

LICHA ya kutambulishwa rasmi kukinoa kikosi cha Mtibwa Sugar kwa msimu wa 2021/22, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Joseph Omog ameshindwa kuiongoza timu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Bara baada ya vibali vyake vya kazi kutokuwa sawa. Mtibwa…

Omog asaini miaka miwili Mtibwa

UONGOZI wa Klabu ya Mtibwa Sugar umempa mkataba wa miaka miwili kocha Joseph Omong kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho katika msimu mpya wa 2021/22. Omog, mwenye uraia wa Cameroon, ametua kikosini hapo kwa ajili ya kuchukua mikoba ya…

OMOG AGOMA KUONDOKA

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Simba Mcameroon, Joseph Omog, amegoma kuondoka jijini Dar es Salaam akisubiria malipo yake kutoka kwa mabosi wake wa zamani. Awali, kulikuwepo na taarifa za kocha huyo kuondoka jana lakini imeshindikana mara…

Omog Apewa Siku 10 Mapumziko

UONGOZI wa Klabu ya Simba, umempa kocha mkuu wa timu hiyo, Joseph Omog siku zaidi ya siku kumi za mapumziko kabla ya kurejea kikosini kuendelea kuwanoa wachezaji wa timu hiyo wanaoendelea na mazoezi ya kujiandaa na michezo ijayo ya Ligi…

Omog Ampa Mkataba Mpya Juuko

KOCHA Mkuu wa Simba, Joseph Omog, raia wa Cameroon, ameuelekeza uongozi wa timu hiyo umpe mkataba mpya wa kumbakisha klabuni hapo, beki wake kitasa, Juuko Murshid, raia wa Uganda, ikiwa ni muda mfupi baada ya wapinzani wao, Yanga, …

Omog Akalia Kuti Kavu Simba SC

SARE wanazoendelea kuzipata Simba huenda zikamuondoa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mcameroon, Joseph Omog. Timu hiyo, ilipata sare yake ya mwisho juzi ilipovaana na Yanga katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Katika mechi hiyo, Simba…

Omog: Hatutawadharau Madini

Said Ally | CHAMPIONI |Dar es Salaam KIKOSI cha Simba leo Jumatatu kinatarajia kuingia mkoani Arusha kwa ajili ya kuweka kambi ya kujiandaa kuwakabili wenyeji wao Madini katika mchezo wa Kombe la FA, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Joseph…

Simba Yaikatalia Yanga

Wilbert Molandi na Omari Mdose |  CHAMPIONI JUMAMOSI| Dar es Salaam SIMBA imekomaa na imekataa kabisa kufungwa na Yanga leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, wakisema wanataka ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Simba imesema…