×

Tag: POLISI

Riziki Lulida: Maaskofu Mnacheza Mchezo Katika Dini – Video

Mbunge Viti Maalum kupitia Chama Cha Wananchi (CUF), Mhe. Riziki Rulida amewataka Maaskofu nchini wasijingize katika masuala ya siasa kwa...

READ MORE

Kuelekea Pasaka; Mambosasa Atoa Onyo – Video

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limejipanga vyema kuimarisha ulinzi katika kipindi cha sikukuu ya...

READ MORE

POLISI WAUA MTUHUMIWA WA UJAMBAZI DAR – VIDEO

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuua kwa risasi mtu mmoja anayedaiwa kuwa jambazi maeneo ya Buza...

READ MORE

Mbeya: Maelfu Wamzika Kijana Aliyedaiwa Kuuawa kwa Kipigo cha Polisi

Maelfu ya vijana mbeya wamemsindikiza kwenye makazi ya milele kijana Allen Mapunda (20) aliyekuwa mfanyabiashara wa machungwa mkoani Mbeya anayedaiwa kufariki...

READ MORE

KIJANA ADAIWA KUUAWA KWA KIPIGO CHA POLISI

Kijana Allen Mapunda mkazi wa Kata ya Iyela anadaiwa amefariki jana Machi 25, 2018 saa chache baada ya kuachiwa kutoka...

READ MORE

Askari Dodoma Wafanya Mazoezi ya Nguvu

ASKARI na maafisa wa vyombo vya ulinzi na usalama mkoani Dodoma, leo Machi 24, 2018 wamefanya zoezi la utayari kwa...

READ MORE

RAIS ATIWA MBARONI KWA KUPOKEA FEDHA ZA KAMPENI KUTOKA KWA GADDAFI

RAIS wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, amekamatwa kwa madai ya kupokea Paundi milioni 42 (sawa na Sh. bilioni 132)...

READ MORE

Binti: Nauawa Muda Wowote!

ROHO Mkononi! Mrembo aliyejitambulisha kwa jina la Samra Halfani, mkazi wa Mbagala- Kizuiani jijini Dar, yupo kwenye wakati mgumu akihofia...

READ MORE

Mtoto Miaka 5 Ampeleka Polisi Baba Yake Kisa Shamba – Video

MTOTO mmoja mwenye umri wa miaka mitano amemfikisha katika Kituo cha Polisi Ngara, mkoani Kagera baba yake mzazi baada ya...

READ MORE

Polisi: Atakayeandamana Asitulaumu

Jeshi la Polisi limetoa onyo kwa kikundi kinachohamasisha maandamano kupitia mtandao wa Telegram na kusema litafanya kila liwezekanalo kisheria kukizuia....

READ MORE

MADAI MAZITO: POLISI AMPIGA RISASI RAIA MWEMA! – VIDEO

  Haya ni madai mazito! Raia mwema aliyejitambulisha kwa jina la Hassan Yahaya, mkazi wa Mabibo-Farasi jijini Dar, anadaiwa kupigwa...

READ MORE

Msako wa Wahalifu Dodoma, Gari Lanaswa na Mabati – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Giles Mroto amesema kuwa jeshi hilo limefanya operesheni ya kusaka wahalifu na kufanikiwa kunasa...

READ MORE

Wahamiaji Haramu Watano Mbaroni – VIDEO

Wahamiaji haramu watano ambao ni raia wa Somali wamekamatwa, Wilaya ya Tunduma mkoani Mbeya wakiwa katika nyumba ya mama mmoja...

READ MORE

Wafuasi 3 wa Chadema waliojeruhiwa Kwa Risasi Wafikishwa Mahakamani

Wafuasi 3 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliojeruhiwa kwa risasi wakati Polisi wakitawanya waandamanaji Kinondoni wafikishwa Mahakamani Makada...

READ MORE

POLISI KUZUIA MIKUTANO YA SIASA, MAANDAMANO NI SAWA?

Tungependa Watanzania wote waeleweshwe kuhusu jambo hili. Tumekuwekea mjadala maalum kuhusu polisi kuzuia mikutano ya kisiasa na maanadamo hapa nchini....

READ MORE

Polisi Yafafanua Kamata Kamata ya ‘Vimini’ Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeeleza kuwa suala la kamata kamata ya watu waliovaa mavazi ambayo...

READ MORE

Mambosasa: Baadhi ya Wafungwa Walioachiwa na JPM Wanafukua Silaha Zao

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limedai kuwa linazo taarifa kwamba baadhi ya wahalifu walioachiwa kwa msamaha...

READ MORE

Breaking News: Polisi Dar Yakamata Silaha Nzito – Video

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata silaha mbalimbali zikiwemo bunduki kubwa, bastola na vifaa vingine vya...

READ MORE

Chid Benz Adakwa na ‘Unga’

NGULI WA wa Hip Hop nchini Rashid Makwiro ‘Chid Benz anashikiliwa tena  na jeshi la polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma...

READ MORE

Mwanza: Mwanamke Akamatwa na Shehena ya Bangi

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Ahmed Msangi amesema mtuhumiwa Mwanamke Asha Jeremiah (32), amekamatwa kwa kosa la kukutwa...

READ MORE

Msafara wa IGP Sirro Wasimamishwa

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amesema Jeshi lake limeongeza nguvu ya ziada ya kupambana na uhalifu...

READ MORE

Majeshi ya Polisi Tanzania na Rwanda Waungana Kupambana na Wahalifu

TANZANIA na Rwanda Zimeunganisha nguvu kupitia Majeshi yao ya Polisi chini ya wakuu wake IGP Simon Sirro wa Tanzania na...

READ MORE

LIVE GLOBAL HABARI: JESHI LA POLISI LATOA TAMKO KUFUATIA NASSARI KUVAMIWA

KUFUATIA tukio la Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kuvamiwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake usiku wa kuamkia leo na...

READ MORE

POLISI WAUA WATUHUMIWA WALIOMJERUHI MEJA JENERALI MSTAAFU

KUUWAWA KWA MAJAMBAZI WAWILI NA KUPATIKANA KWA SILAHA AINA YA SMG RISASI KUMI NA TISA NA MAGANDA MAWILI Jeshi la...

READ MORE

Mwenyekiti wa Halmashauri Akidaiwa Kutishia Kuua

MAKAMU Mwenyekiti wa Halmashauri ya Tunduma, Herode Jivava ametiwa nguvuni na Polisi akidaiwa kutishia kuua kwa maneno. Jivava ambaye pia...

READ MORE

Mambosasa Asema Miili Iliyokutwa Kwenye Viroba Hajui Ilikotoka

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema miili ya wanaume watatu iliyokutwa pembezoni mwa Bahari ya...

READ MORE

Mwanafunzi Chuo Kikuu Akutwa Akikodisha Bastola, Dar – Video

JESHI la Polisi Kanda Maalumya Dar es Salaam linamshikilia Robson Isack Maji (22) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu...

READ MORE

Polisi Yawakamata Waliovamia Ofisi za Mawakili wa Manji -Video

JESHI la Polisi  Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewatia mbaroni watu watano wanaodaiwa kuvamia, kuvunja na kuiba pesa kwenye...

READ MORE

‘Faru John’ Ajisalimisha kwa Kamanda Mambosasa

ASKARI wa Jeshi la Polisi Dar, anayejiita Faru John ameripoti Kituo Kikuu cha Polisi cha Kanda Maalumu ya Dar es...

READ MORE

Polisi, TCRA Watoa Ufafanuzi Kuhusu Uhalifu Mitandaoni

JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wametoa ufafanuzi kuhusu kushamiri kwa uhalifu wa makosa...

READ MORE

Breaking News: Bavicha Wahoji Kwa nini Chadema Pekee wanakamatwa?

Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA), wamehoji sababu ya polisi kuwakamata wafuasi na viongozi wa CHADEMA pekee!   Akizungumza na waandishi...

READ MORE

ARUSHA: Watoto Waliodaiwa Kutekwa, Wawili Wapatikana

IKIWA ni siku chache baada ya vyombo vya habari kuripoti kuhusu kupotea kwa watoto wanne waliodaiwa kutekwa, Kamanda wa Jeshi...

READ MORE

WAJANE WACHARUKA TUNATAKA MAITI ZA WAUME ZETU!

WANAWAKE ambao waume zao walitekwa kwenye matukio ya mauaji yaliyokuwa yakiendelea maeneo ya Mkuranga, Kibiti na Rufiji mkoani Pwani kimafia,...

READ MORE

Uchunguzi wa Polisi Kulipuliwa Bomu Ofisi za IMMMA Advocates

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, leo limesema kuwa uchunguzi wa awali umebaini kuwa watu wasiojulikana...

READ MORE

Jaji Mkuu, Polisi Watoa ONYO Mgomo wa Mawaikili Nchi Nzima

Kaimu  Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma na Jeshi la Polisi nchini, wamelionya Baraza la Uongozi la Chama cha...

READ MORE

Makonda Abaini Polisi Wanaojihusisha na Unga, Kuvusha Kobe (Video)

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema amewabaini baadhi ya askari polisi jijini humo wanaoshiriki biashara haramu...

READ MORE

Polisi Wamaliza Upekuzi Nyumbani kwa Tundu Lissu

Jeshi la Polisi limemaliza zoezi la kufanya upekuzi katika nyumba ya Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...

READ MORE

Lissu Ahojiwa Kuhusu Uchochezi wa Bombardier ya Serikali

Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ambaye alikamatwa na polisi mapema leo wakati anatoka Mahakamani,...

READ MORE

MPANGAJI AMSULUBU MTOTO WA MWENYE NYUMBA!

Mwanadada ambaye ni mpangaji aliyetajwa kwa jina la Magdalena Chata, anadaiwa kumsulubu mtoto wa mwenye nyumba, Aidath Ramadhani ambaye aliachiwa...

READ MORE