TFF: Fei Toto Bado ni Mchezaji wa Yanga kwa Mujibu wa Mkataba
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeamua kuwa Feisal Salum (Fei Toto) bado ni mchezaji wa Yanga kwa mujibu wa mkataba.
Katika taarifa yake iliyotolewa leo, Januari…
