Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-41
ILIPOISHIA IJUMAA:
Mheshimiwa waziri badala ya kuvishika vitu hivyo kwa mkono alikwenda kuvaa soksi mikononi kisha akavikusanya kwenye gazeti. Niliamini kuwa sasa alikuwa akiviona vitu vyake hivyo ni kama najisi.
Baada ya kuvikusanya…
