The House of Favourite Newspapers
Browsing Category

Amani

Zari minyoosho kama yote!

WAKATI upande wa pili huku wakiwa bize na mambo yao ya kusubiri mtoto na nini na nini, huko Sauz mambo ni moto kwani aliyekuwa mpenzi wa Mondi, Zari naye amezidi kutupia picha za kimalovee akiwa na mwanaume anayedai kuwa ni mumewe.…

TUNDA ANG’AKA KUMWAGANA NA WHOZU

VIDEO Vixen Bongo, Ana Kimario ‘Tunda’ amesema anashangaa kuona watu wakimnanga kwenye mitandao ya kijamii kuwa ameachana na mpenzi wake wa sasa Whozu wakati si kweli. Akizungumza na Amani, Tunda alisema Wabongo siku zote wamekuwa na…

Rayvanny , Lulu gumzo

WATU weweee! Ndivyo hali ilivyokuwa mapema wiki hii baada ya kudaiwa Rayvanny na Lulu kuna kitu kinaendelea. Mambo yalikuwa hivi; Rayvanny alitupia picha ya Lulu huko Instagram na kusindikiza na ‘emoji’ ya ua jekundu kisha ‘kumtag’ Lulu…

Ester, Wema ameniumiza sana!

MUIGIZAJI wa Bongo Muvi, Ester Kiama amesema muigizaji mwenzake, Wema Isaac Sepetu amemuumiza roho hadi kumfanya aangue kilio na kukosa raha siku nzima. Ester ameyasema hayo kufuatia hivi karibuni Wema kumjibu mmoja wa mashabiki wake…

Lulu Diva ana nguo hadi anasahau

MWANAMUZIKI Lulu Abbas ‘Lulu Dava’ ameibuka na kusema kuwa linapokuja suala la kuvaa kwake hana mchezo kwani ana chumba kizima kwa ajili ya nguo na viatu tu ambapo inafikia wakati hata hakumbuki amerudia nguo lini.  Akizungumza na…

BWANA WA ZARI AMFANYIA KUFURU TIFFAH!

DAR ES SALAAM: Juzi Jumanne (Agosti 6, 2019), binti wa staa wa Afro- Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwanamama mjasiriamali wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah Nasibu ‘Tiffah Dangote’ aliangushiwa bonge la…

AUNT AKATA NGEBE ZA UWOYA

DAR ES SALAAM: Staa mkubwa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefanya kufuru kubwa na kumfunika staa mwenzake, Irene Uwoya baada ya kufungua pub yake kubwa ya kisasa iliyopo Mikocheni, jijini Dar, maeneo ya Kwa Ridhiwani ambayo anatarajia…

Diva Atakayenioa hajulikani kirahisi

MWANAMUZIKI anayefanya vizuri kwenye anga la Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa licha ya watu kumhusisha na wanaume wengi tofauti lakini mwanaume halisi ambaye atamuoa hawatamjua kirahisi.  Akizungumza na Gazeti la…

FEZA AUKACHA U-TOM BOY

MTANGAZAJI wa Choice FM, Feza Kessy amefunguka kuwa ameamua kuanza kuvaa magauni na kuvaa mawigi ili kuondoa ule muonekano wa kiume (u-tom boy) kama watu wanamwambia.  Akizungumza na Gazeti la Amani, Feza amesema kwa sasa ameanza…

Kumekucha! Polisi wamsaka Roma

DAR ES SALAAM: Kumekucha tena! Baada ya ukimya mrefu kupita tangu apate msala wa kutekwa na watu wasiojulikana, mkali wa michano ya Hip Hop, Bongo, Ibrahim Musa ‘Roma’ amekwaa skendo nyingine; safari hii anasakwa na polisi kwa kujipatia…

CASTO AWASHUKIA TUNDA, WHOZU!

MTANGAZAJI wa Clouds TV, Casto Dickson ameibuka na kuwavaa aliyekuwa mpenzi wake; Tunda na jamaa wake wa sasa Whozu kuwa waache kumtajataja katika maisha yao mapya waliyoyaanzisha.  Kwenye ukurasa wake, Casto aliwasema Whozu na Tunda…

GIGY AWAKA KISA MPENZI WAKE

MSANII wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amewaka vibaya kwamba watu waache kufuatilia maisha yake na badala yake wafanye mambo yatakayowaingizia faida na siyo kumfuatilia yeye kila siku. Gigy ametoa kauli hiyo baada ya kuulizwa…

SANGOMA MASHAROBARO WATIKISA

DAR ES SALAAM: VIJANA watano waliotajwa kuwa ni waganga wa kienyeji ‘sangoma’ tena masharobaro wameutikisa mji wa Morogoro baada ya kudaiwa kutoa mapembe (majini au uchawi) kwenye nyumba za watu, Amani lina habari nzima.  Mkazi mmoja wa…

ESMA, JAMAA MPYA MAMBO NI MOTO!

 DADA’KE Diamond, Esma Platnumz na jamaa anayedaiwa kuwa ndiye mtu wake kwa sasa mambo ni moto ambapo wawili hao picha zao zimekuwa zikitrendi vibaya kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.  Kuanzia mwishoni mwa wiki iliyopita, picha…

MUNA AIPANGA NDOA YAKE KICHWANI!

MuigizaJi wa kitambo kwenye tasnia ya filamu Bongo, Rose alphonce ‘Muna’ amefunguka kuwa, anaiona ndoa yake siku za hivi karibuni hivyo tayari ameanza kuipanga jinsi itakavyokuwa. Akizungumza na amani, Muna alisema kila mtu asimame…

MSANII APIGWA MIMBA YATOKA

DAR ES SALAAM: MAMBO mengine yanatafakarisha! Hivi inawezekanaje umkataze mtu atukane halafu ageuke mbogo na baadaye kukushushia kipigo hadi ujauzito uharibike? Amani limepokea kisa hiki na linakupakulia.  Msanii wa filamu…

MKIACHANA MNAPASWA KUISHI HIVI!

HAKUNA kitu kinauma kama kuachwa. Anayeachwa huwa anakuwa hayupo tayari kukubali matokeo. Aliyemuacha mwenzake anakuwa amejiandaa wakati mwenzake hajajiandaa. Ni rahisi sana kwa aliyeachwa kutengeneza chuki kwa aliyemuacha.  …