Browsing Category
Amani
Kuna Maisha Baada Ya Kutendwa Soma Hapa Ujinasue!
MARA nyingi inapotokea umejeruhiwa penzini hususan kwa mtu ambaye ulikuwa na malengo naye ni vigumu sana kupenda tena.
Ni vigumu sana kumuamini tena mtu wa jinsia tofauti na yako. Wakati mwingine unaamini mtu wa jinsia ya tofauti na…
Jinsi Ya Kumpata Mwenza Katika Dunia Iliyojaa Wajeruhiwa
ULIMWENGU wa sasa, wapendanao wengi wanaishi kwa machale. Ni staili ile ya mguu pande, mguu sawa. Kwamba ukimzingua, anakuzingua. Mwaga mboga amwage ugali. Hataki kuona inakula kwake kama vijana wa sasa wanavyosema.
Kila mtu…
Mbinu Tano Za Kumvuta Msichana Mikononi Mwako Kwa Urahisi
MAPENZI ni sanaa ambayo kwa hakika haitaki hasira hata kidogo. Ubunifu, utulivu wa akili na utundu binafsi ni kati ya mambo muhimu sana ambayo ukizingatia utaweza kumfanya mwezi wako afurahie uhusiano wenu.
Hata hivyo, ukweli…
Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
Baada ya kununua Gazeti utakuwa imejiwekea nafasi nzuri ya kuzawadiwe SmartPhone mpya na
Mkwanja hadi Tsh.…
Mzee Yusufu Kufumbua Fumbo Dar Live
BAADA ya Mfalme wa Taarabu hapa nchini, Mzee Yusufu kuja na Narudi Mjini, sasa aja kufumbua fumbo na shoo ya kukata na shoka pale Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar.
Akizungumza na Gazeti…
Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
Bonyeza hapa kununua >> SpotiXtra <<
Bonyeza hapa kununua >> AMANI <<…
Zari minyoosho kama yote!
WAKATI upande wa pili huku wakiwa bize na mambo yao ya kusubiri mtoto na nini na nini, huko Sauz mambo ni moto kwani aliyekuwa mpenzi wa Mondi, Zari naye amezidi kutupia picha za kimalovee akiwa na mwanaume anayedai kuwa ni mumewe.…
TUNDA ANG’AKA KUMWAGANA NA WHOZU
VIDEO Vixen Bongo, Ana Kimario ‘Tunda’ amesema anashangaa kuona watu wakimnanga kwenye mitandao ya kijamii kuwa ameachana na mpenzi wake wa sasa Whozu wakati si kweli. Akizungumza na Amani, Tunda alisema Wabongo siku zote wamekuwa na…
Rayvanny , Lulu gumzo
WATU weweee! Ndivyo hali ilivyokuwa mapema wiki hii baada ya kudaiwa Rayvanny na Lulu kuna kitu kinaendelea. Mambo yalikuwa hivi; Rayvanny alitupia picha ya Lulu huko Instagram na kusindikiza na ‘emoji’ ya ua jekundu kisha ‘kumtag’ Lulu…
Ester, Wema ameniumiza sana!
MUIGIZAJI wa Bongo Muvi, Ester Kiama amesema muigizaji mwenzake, Wema Isaac Sepetu amemuumiza roho hadi kumfanya aangue kilio na kukosa raha siku nzima. Ester ameyasema hayo kufuatia hivi karibuni Wema kumjibu mmoja wa mashabiki wake…
Pretty Kind: Nimekoma Kupenda Wanaume wa Nje
YAMEMKUTA! Msanii wa filamu na muziki Bongo, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ ameibuka na kusema kuwa amekoma kupenda wanaume wa nje ya nchi.
Akipiga stori na Showbiz Xtra, Pretty alisema baada ya kupata mpenzi ambaye raia wa Nigeria…
Kwa Ishu ya King Bae Unajitekenya na Kucheka Mwenyewe!
ZARINAH Hassan ‘The Boss Lady’ ni miongoni mwa wanamama maarufu Afrika Mashariki ambaye kwa namna moja au nyingine, umaarufu wake umekua zaidi baada ya kukutana na kuzaa watoto na mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. …
Unavyoweza kujipaisha kithamani kwa mpenzi wako -2
MARAFIKI tunaendelea na mada yetu iliyoanza wiki iliyopita ambapo tunaangalia namna ambavyo unaweza kujipandisha thamani yako kwa mwenzi wako. Tayari tumeshaona mambo kadhaa wiki iliyopita, leo tunaendelea pale tulipoishia. Marafiki,…
WEMA SEPETU BADO ANARINGIA KALIO YAKE
MREMBO wa miaka yote, Wema Sepetu amesema hata kama amepungua mwili kiasi gani lakini anajivunia kwamba bado kalio lake lipo vilevile. Wema aliyasema hayo hivi karibuni alipokutana na mwanahabari wetu na kupiga naye stori ambapo…
Lulu Diva ana nguo hadi anasahau
MWANAMUZIKI Lulu Abbas ‘Lulu Dava’ ameibuka na kusema kuwa linapokuja suala la kuvaa kwake hana mchezo kwani ana chumba kizima kwa ajili ya nguo na viatu tu ambapo inafikia wakati hata hakumbuki amerudia nguo lini. Akizungumza na…
BWANA WA ZARI AMFANYIA KUFURU TIFFAH!
DAR ES SALAAM: Juzi Jumanne (Agosti 6, 2019), binti wa staa wa Afro- Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwanamama mjasiriamali wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah Nasibu ‘Tiffah Dangote’ aliangushiwa bonge la…
AUNT AKATA NGEBE ZA UWOYA
DAR ES SALAAM: Staa mkubwa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefanya kufuru kubwa na kumfunika staa mwenzake, Irene Uwoya baada ya kufungua pub yake kubwa ya kisasa iliyopo Mikocheni, jijini Dar, maeneo ya Kwa Ridhiwani ambayo anatarajia…
Diva Atakayenioa hajulikani kirahisi
MWANAMUZIKI anayefanya vizuri kwenye anga la Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa licha ya watu kumhusisha na wanaume wengi tofauti lakini mwanaume halisi ambaye atamuoa hawatamjua kirahisi. Akizungumza na Gazeti la…
Ukikosea namna ya kuanzisha uhusiano, imekula KWAKO!
BROTHERS and sisters tunakutana tena kwenye ukurasa wetu ambao tunajadiliana kuhusu uhusiano. Naamini kila unaposoma hapa, kuna kitu unajifunza. Leo nataka tujadili kuhusu namna ambavyo watu wengi hufanya makosa wakati wa mwanzo…
MWANAHERI Silitumii vibaya shepu langu!
MWANADADA anayekimbiza kwenye Tamthiliya ya Kapuni, Mwanaheri Ahmed amefunguka kwamba anajijua kuwa ameumbika lakini kamwe hawezi kujilengesha kwa wanaume wakware. Akipiga stori na Gazeti la Amani, Mwanaheri alisema mara nyingi akikaa…
FEZA AUKACHA U-TOM BOY
MTANGAZAJI wa Choice FM, Feza Kessy amefunguka kuwa ameamua kuanza kuvaa magauni na kuvaa mawigi ili kuondoa ule muonekano wa kiume (u-tom boy) kama watu wanamwambia. Akizungumza na Gazeti la Amani, Feza amesema kwa sasa ameanza…
BARAKA THE PRINCE: NAJ kawazidi Nisha, Meninah
MSANII wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Baraka The Prince’ amesema anajivunia kuwa na mpenzi wake wa sasa,Naj kwa sababu ni msichana mrembo na mwenye mvuto machoni pa watu wengi ambaye ana maadili mema na ndiyo maana hata penzi lao…
WEMA akiongeza ‘fyuzi’ moja tu ya Shilole ametoboa!
UKITAKA kujua nguvu ya Madam, Wema Sepetu weka bando lako la kutosha kwenye simu yako janja, chukua picha ya mrembo huyo aliyetwaa Taji la Miss Tanzania 2006 halafu sindikiza na ujumbe wa kumsema vibaya uone balaa lake! Wema anapendwa…
Kumekucha! Polisi wamsaka Roma
DAR ES SALAAM: Kumekucha tena! Baada ya ukimya mrefu kupita tangu apate msala wa kutekwa na watu wasiojulikana, mkali wa michano ya Hip Hop, Bongo, Ibrahim Musa ‘Roma’ amekwaa skendo nyingine; safari hii anasakwa na polisi kwa kujipatia…
Unaikumbuka ahadi yako wakati unaanzisha uhusiano?-3
LEO tunamalizia mada yetu iliyoanza wiki mbili zilizopita. Nitahitimisha kwa kuwaonyesha namna ya kukabiliana na matatizo ambayo yameshatokea kutokana na kutoa ahadi feki. Niazime utulivu wako kwa muda, fungua ubongo wako, halafu chuja…
Sajenti: Simlambi mwanaume miguu matumizi ya mwanae
MUIGIZAJI wa Bongo Muvi, Husna Idd ‘Sajenti’ amesema kuwa kamwe kitu ambacho hawezi kukifanya ni ‘kumlamba miguu’ mwanaume ambaye amezaa naye kutoa matumizi ya mtoto wake wakati anajua amezaa. Akizungumza na Amani, Sajenti alisema kuwa…
VIDEO-BIBI AFANYIWA UTAPELI, AMLILIA RAIS MAGUFULI!
DAR ES SALAAM: Ni stori ya kusikitisha ambayo inamhusu bibi aitwaye Mwanahawa Mshamu Ngomari ambaye anadai kutapeliwa nyumba yake iliyopo Kawe Ukwamani jijini Dar huku kijana aliyefahamika kwa jina la Felix Urio akitajwa kuhusika na…
MUNA AFUNGUKA MADAI YA KUTOKA NA MBASHA!
Baada ya kudaiwa kutoka kimapenzi na mwimbaji wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha, mwanamuziki Rose alphonce ‘Muna Love’ kwa mara ya kwanza ameibuka na kukanusha. Akizungumza na amani hivi karibuni, Muna alisema kamwe hawezi kutembea…
CASTO AWASHUKIA TUNDA, WHOZU!
MTANGAZAJI wa Clouds TV, Casto Dickson ameibuka na kuwavaa aliyekuwa mpenzi wake; Tunda na jamaa wake wa sasa Whozu kuwa waache kumtajataja katika maisha yao mapya waliyoyaanzisha. Kwenye ukurasa wake, Casto aliwasema Whozu na Tunda…
FAYMA AFUNGUKIA NDOA YAKE NA RAYVANNY
NI mrembo hasa lakini sifa kubwa ambayo inamfanya aendelee kuonekana mrembo kila kukicha ni heshima na upendo wa dhati alionao kwa watu hususan mashabiki wake, mara kadhaa baba wa mtoto wake msanii wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa…
GIGY AWAKA KISA MPENZI WAKE
MSANII wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amewaka vibaya kwamba watu waache kufuatilia maisha yake na badala yake wafanye mambo yatakayowaingizia faida na siyo kumfuatilia yeye kila siku. Gigy ametoa kauli hiyo baada ya kuulizwa…
SANGOMA MASHAROBARO WATIKISA
DAR ES SALAAM: VIJANA watano waliotajwa kuwa ni waganga wa kienyeji ‘sangoma’ tena masharobaro wameutikisa mji wa Morogoro baada ya kudaiwa kutoa mapembe (majini au uchawi) kwenye nyumba za watu, Amani lina habari nzima. Mkazi mmoja wa…
TUKIO LA KUTAKA KUTAPELIWA LAMPA FUNZO JOKATE
MKUU wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo amefunguka kuwa, tukio la mwanaume Omari Chuma kutaka kumtapeli lililomtokea hivi karibuni, limempa fundisho kubwa maishani.
Akizungumza na Amani, Jokate alisema kupitia tukio hilo…
ESMA, JAMAA MPYA MAMBO NI MOTO!
DADA’KE Diamond, Esma Platnumz na jamaa anayedaiwa kuwa ndiye mtu wake kwa sasa mambo ni moto ambapo wawili hao picha zao zimekuwa zikitrendi vibaya kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram. Kuanzia mwishoni mwa wiki iliyopita, picha…
FAHAMU KINACHOSABABISHA MIGUU KUFA GANZI
KATIKA mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani kupatwa na ganzi katika misuli ya miguu na mikono.
Tatizo…
UNAIKUMBUKA AHADI YAKO WAKATI UNAANZISHA UHUSIANO?
NI Alhamisi nyingine tunakutana tena kwenye ukurasa huu wa kupeana elimu juu ya uhusiano na mapenzi. Leo nazungumzia juu ya ahadi ambazo wenzi hutoleana wanapokutana mara ya kwanza. Kwa bahati mbaya sana, wengi wanapokutana mara ya…
MUNA AIPANGA NDOA YAKE KICHWANI!
MuigizaJi wa kitambo kwenye tasnia ya filamu Bongo, Rose alphonce ‘Muna’ amefunguka kuwa, anaiona ndoa yake siku za hivi karibuni hivyo tayari ameanza kuipanga jinsi itakavyokuwa.
Akizungumza na amani, Muna alisema kila mtu asimame…
FREEMASON, UCHAWI VYATEKA MAKANISA BONGO
DAR ES SALAAM: SIKU za mwisho watatokea manabii wengi wa uongo! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na maandiko yaliyopo kwenye Biblia takatifu kwani kwa sasa hali ni mbaya makanisani, Amani limedokezwa.
Madai mazito ni…
MSANII APIGWA MIMBA YATOKA
DAR ES SALAAM: MAMBO mengine yanatafakarisha! Hivi inawezekanaje umkataze mtu atukane halafu ageuke mbogo na baadaye kukushushia kipigo hadi ujauzito uharibike? Amani limepokea kisa hiki na linakupakulia.
Msanii wa filamu…
MKIACHANA MNAPASWA KUISHI HIVI!
HAKUNA kitu kinauma kama kuachwa. Anayeachwa huwa anakuwa hayupo tayari kukubali matokeo. Aliyemuacha mwenzake anakuwa amejiandaa wakati mwenzake hajajiandaa. Ni rahisi sana kwa aliyeachwa kutengeneza chuki kwa aliyemuacha.
…