×

Afya

FAHAMU MADHARA YA UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO

UGONJWA wa vidonda vya tumbo hutokea iwapo kidonda cha ukubwa wa angalau wa nusu sentimita kitatokea kwenye sehemu yoyote ya...

READ MORE

HAYA Nyo Madhara ya Kutumia SMARTPHONE Gizani – Video

PALE taa zinapokuwa zimezimwa usiku, usiitumie simu yako ya mkononi (smart phone). Huo ni ushauri uliotolewa na taasisi moja ya...

READ MORE

TATIZO LA KUKOSA HEDHI (AMENORRHEA)

KWA kawaida, mtoto wa kike akishafikia umri wa kuvunja ungo, anaanza kuona siku zake za hedhi. Huendelea kuona siku zake...

READ MORE

MAFINDOFINDO CHANZO CHA MARADHI YA MOYO KWA WATOTO

MWANAMKE kabla ya kubeba ujauzito ni muhimu kujiandaa miezi sita kabla. Katika kipindi hicho anapaswa kula vyakula bora na kujiepusha...

READ MORE

ELEWA CHANZO CHA FIGO KUSHINDWA KUFANYA KAZI (KIDNEY FAILURE)

FIGO ni miongoni mwa viungo muhimu sana katika mfumo wa utendaji kazi wa mwili wa binadamu. Wiki iliyopita nilieleza jinsi...

READ MORE

ULAJI SAHIHI KWA WATU WENYE KISUKARI

UGONJWA wa kisukari ni tatizo ambalo siku hizi husababishwa na mfumo wa maisha tunayoishi, tafiti zilizowahi kufanywa zinaonesha kuwa vijana...

READ MORE

Madhara Yatokanayo Na Vyombo Vya Plastiki!

  USITUMIE  kabisa vyombo vya plastiki kuchemshia au kuwekea vyakula vya moto kama chai, maziwa, supu, maji, ugali n.k.  ...

READ MORE

Yajue Madhara ya Kutumia Smartphone Gizani

  PALE taa zinapokuwa zimezimwa usiku, usiitumie simu yako ya mkononi (smart phone).  Huo ni ushauri uliotolewa na taasisi moja...

READ MORE

DALILI HATARI ZA MAGONJWA UNAZOPASWA KUZIJUA

WATU wengi wanatabia ya kupuuzia baadhi ya dalili zinazojitokeza kwenye afya zao bila kujua chanzo cha dalili hizo.  Naomba ifahamike kuwa...

READ MORE

Jinsi ya kukabiliana na maambukizi katika mirija ya uzazi (salpingitis)

Salpingitis ni maambukizi yanayoathiri mirija ya uzazi ya mwanamke. Mirija ya uzazi au fallopian tubes ipo miwili upande wa chini wa...

READ MORE

Usidanganywe; Glasi Moja ya Mvinyo Kwa Siku Si Salama Kwa Afya Yako

  NI habari mbaya kwa wale wanaofurahia kile wanachofikiri ni kikombe kimoja cha divai kwa siku.   Utafiti mpya wa...

READ MORE

Athari za Tofauti ya Kundi la Damu la Mama na Mtoto

KWA kawaida makundi ya damu (blood groups) kwa binadamu yapo manne ambayo ni; A, B, AB na O. Makundi haya...

READ MORE

FANYA MAMBO HAYA KUJIZUIA KUNYWA POMBE

  MWINGEREZA Matt Haig ambaye ameandika kitabu kilichouzika sana cha ‘Reasons to Stay Alive’ anasema yeye akinywa pombe humletea wasiwasi...

READ MORE

DAKTARI: WEMA ANAHITAJI MASAJI

DAKTARI ambaye ni mtaalam wa kuwa­fanyia watu masaji za mwili na viungo, Hap­piness Mtuya amesema kuwa staa wa filamu za...

READ MORE

Jua Faida Kubwa Ya Kuwapapasa Watoto

  Kumpapasa papasa mtoto au kumkanda taratibu kunapunguza pakubwa shughuli katika ubongo wake hasa zinazohusiana na maumivu, utafiti umebaini hilo....

READ MORE

MUHIMBILI YATOA TAMKO MTOTO ALIYEKATWA MKONO

SAKATA la mtoto Issaya Merikioni aliyechomwa sindano na daktari na kunyauka mkono kisha ukakatwa linaendelea; sasa Hospitali ya Taifa Muhimbili...

READ MORE

NISAIDIENI NIKATWE MGUU

DAR ES SALAAM: NI mtihani mzito! Peter Stewart (31), mkazi wa Ubungo – Maziwa, jijini Dar es Salaam, yupo kwenye...

READ MORE

FAIDA 8 ZA KULA CHAKULA PEKE YAKO

  Sio kila mmoja hufurahia kula peke yake,Baadhi ya watu hawapendelei kula peke yao huku wengine wakihofia huenda wakijihisi upweke...

READ MORE

ROSE MUHANDO AIANGUKIA SERIKALI

BADO afya ya mwimbaji maarufu wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando ni tete ambapo ameiangukia serikali imsaidie ili aweze...

READ MORE

KIJANA ALIA…NAKIONA KIFO CHANGU

  INAUMA sana! Kijana Mustafa Saidi (32), mkazi wa Ukonga-Mombasa jijini Dar anadai kukiona kifo chake kutokana na mateso makubwa...

READ MORE

MTOTO ALIA: MSINIACHE NIFE

“MIMI nakufa.” Inasikika sauti ya mtoto akiugulia maumivu huku mwili wake ukiwa umekonda kupita maelezo; wanaomsaidia wanamfariji kwa kumuambia kuwa...

READ MORE

Madhara ya pombe kwenye ubongo

KUPOTEZA fahamu kutokana na unywaji wa pombe kupita kiasi ni hali ambayo watu wengi wameshawahi kuishuhudia japo mara moja maishani....

READ MORE

DAKTARI MLEVI AMUUA MAMA MJAMZITO

  Daktari mmoja katika jimbo la Gujarat nchini India amekamatwa na polisi baada ya kumfanyia upasuaji mama mjamzito akiwa amelewa....

READ MORE

TATIZO LA KUTOSHIKA MIMBA

TATIZO la kutoshika ujauzito, linasababisha matatizo makubwa bainaya wanandoa na upo ushahidi kwamba ndoa nyingi zimevunjika kwa sababu ya tatizo...

READ MORE

NAFASI ZA KAZI 10 KUTOKA WIZARA YA AFYA, Deadline: 2018-12-12

1. ICT OFFICERS (SOFTWARE DEVELOPER) – 6 POST Employer: MINISTRY OF HEALTH (MOH) Date Published: 2018-11-27 Application Deadline: 2018-12-12 DUTIES...

READ MORE

JINSI YA KUKABILIANA NA MAUMIVU YA KICHWA!

KHALID Chokoraa ameimba; kuachwa kuachwa, kuachwa ni shughuli pevu, wewe unakonda mwenzako ananenepa kwa mawazo…kwa mawazo…kwa mawazo.  Hicho kilikuwa ni kibwagizo...

READ MORE

DTB-TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA YA AMANA.

Diamond Trust Bank (T) Ltd, (DTB-Tanzania) leo hii, imekabidhi vifaa tiba kwa uongozi wa hospitali ya rufaa ya Amana, ikiwa...

READ MORE

NI VYAKULA GANI VINAVYOONGEZA NGUVU ZA KIUME?

POLE na kazi Anko, mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37. Tatizo linalonisumbua, ni kwamba katika siku za hivi...

READ MORE

HAWA: NATESEKA, TUMBO LINAJAA MAJI KILA WIKI

KAMA watoto wakinililia, waambie kesho nitarejea, Wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea, Nawe usichoke kuvumilia, na kila siku kuniombea, Unapokwenda...

READ MORE

HUKU AKIENDELEA NA MATIBABU, ALI CHOKI TUMUOMBEE

HALI ya staa wa muziki wa Dansi nchini, Ali Choki ambaye amelazwa katika Hospitali ya Bugando, Mwanza bado haijatengemaa ambapo...

READ MORE

Dalili na tiba ya ugonjwa wa presha ya macho!

MTU anaweza kujiuliza presha ya macho au kitaalamu Glaucoma ni nini? Hili ni ongezeko la presha ya macho, kimsingi macho...

READ MORE

OMMY DIMPOZ AFANYIWA DUA NZITO NA MASHEHE

KUFUATIA hali yake ya kiafya kuwa mbaya, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amefanyiwa dua ya nguvu na...

READ MORE

Jinsi ya Kupika Keki ya Karoti

KATIKA safu hii pendwa ya Mapishi, leo tunaangalia jinsi ya kutengeneza keki ya karoti. MAHITAJI -Mayai manne -Siagi kikombe kimoja...

READ MORE

FAHAMU SABABU ZA KUWA NA U.T.I SUGU

MAAMBUKIZI kwenye njia ya mkojo ( Urinary Tract Infection kifupi U.T.I) ni maambukizi yanayoshika nafasi ya pili kuupata mwili mara...

READ MORE

KUKABILIANA NA MAUMIVU KWENYE TENDO LA NDOA KWA MWANAMKE

TATIZO hili kitaalamu linaitwa ‘Dyspareunia ‘. Maumivu hutokana na suala kubwa la matatizo katika tendo la ndoa au’ sexual Dysfunction’...

READ MORE

HIZI NI HATARI SITA ZA KUTOA MIMBA

HII ni hali ya mwanamke kwa hiari yake mwenyewe kuharibu mimba iliyoingia ndani ya kizazi chake. Kutokana kuongezeka kwa idadi...

READ MORE

Madhara ya maambukizi katika via vya uzazi (pid) kwa mwanamke

MAAMBUKIZI katika via vya uzazi kwa kawaida hujulikana kama PID, kitaalamu kirefu chake ni Pelvic Inflammatory Disease, kwa Kiswahili maana...

READ MORE

SABABU MIMBA KUTUNGA NJE YA MFUKO WA UZAZI

LEO tutaelezea kuhusu mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi wa mwanamke au ectopic pregnancy . Hili ni ni tatizo...

READ MORE