×

Afya

Mbegu za Maboga Zinavyoweza Kukupa Ngozi Nzuri

LEO kwenye safu yetu hii tutaona jinsi mbegu za maboga zinavyoweza kukupa ngozi nzuri na ukawa na muonekano wa kuvutia....

READ MORE

MAUMIVU CHINI YA KITOVU (Lower Abdominal Pain)

MAUMIVU chini ya kitovu (lower abdominal pain) ni tatizo ambalo huwakumba watu wengi lakini kwa bahati mbaya wengi hulichukulia kuwa...

READ MORE

Fahamu Sababu za Maumivu ya Matiti

MAUMIVU ya matiti hutokea mara kwa mara kwa wanawake, hasa kwenye matiti yenyewe au karibu na kwapa. Hujulikana kwa kitaalamu...

READ MORE

Umuhimu wa Samaki kwa Watoto Wachanga

SAMAKI ni kitoweo ambacho kinatajwa kuwa na mafuta yenye kiambata aina ya Omega 3 yanayomfanya binadamu kuwa na uwezo mkubwa...

READ MORE

PWEZA WA KUKAANGA

NI Jumamosi nyingine tena mpenzi msomaji tunakutana na leo tutaangalia pishi la pweza wa kukaanga kama wengi wenu mlivyoomba. MAHITAJI...

READ MORE

Rosti la Tambi na Kuku wa Kukaanga!

LEO kwenye mapishi tutaona jinsi ya kupika tambi aina ya super get ambazo ni tamu na ni nzuri kula kama...

READ MORE

Karafuu, Strawberry kwa Meno Meupe!

KATIKA urembo leo tutaona jinsi ya kupata meno meupe kwa kutumia karafuu na strawberry kama utatumia wakati wa kupiga mswaki....

READ MORE

Kunywa Juisi Hii Kukuza Nywele Zako

KAMA una tatizo la nywele zako kutokuwa vizuri au kukatika kwa nywele zako, unaweza kuzikuza na kuziweka sawa kwa kutumia...

READ MORE

Tiba ya Kuvimba kwa Fizi

WATU wengi hupatwa na ugonjwa wa kuvimba fizi na wakati mwingine fizi hizo hupatwa na usaa kutokana na uvimbe. Leo...

READ MORE

Ulaji wa Mchicha Hukinga Kushambuliwa na Maradhi

KUNA utafiti uliwahi kufanywa na Chuo Kikuu cha Nottingham, unaeleza kuwa ulaji wa matunda na mboga za majani husaidia afya...

READ MORE

Uwatu kwa Kuondoa Chunusi

LEO kwenye safu yetu ya tiba kwa chakula tutaona jinsi Uwatu unavyoweza kukuondolea chunusi kabisa na ukasahau tatizo hilo.  ...

READ MORE

Kijue Chakula Anachotakiwa Kula Mjamzito – Video

KIPINDI cha ujauzito ni kipindi am­bacho mama mtarajiwa anatakiwa kupata mlo ulio kamili kwa muda sahihi na kiwango kinacho­takiwa. Mlo...

READ MORE

MAPISHI YA LEO! WALI WA KUKAANGA NA MAYAI

MAHITAJI -Wali uliopikwa vikombe vitano. -Mayai matano. -Manjano robo kijiko cha chai -Mafuta vijiko viwili vya chakula. -Kitunguu maji kimoja...

READ MORE

Vyakula vya Kukufanya Usizeeke

LEO kwenye safu hii nitakuletea vyakula ambavyo ukila vitakufanya usizeeke kwani siku hizi watu wanazeeka haraka licha ya kuwa na...

READ MORE

Unataka Kunenepa? Kula Vyakula Hivi!

LEO nitaongelea jinsi ya kuongeza na kunenepesha mwili kwa kutumia vyakula, kwa wale wanaotaka kunenepa.Kuongeza mwili kuna changa­moto nyingi ambazo...

READ MORE

Ugonjwa wa Chango la Uzazi kwa Wanawake!

CHANGO la uzazi ni miongoni mwa magonjwa yanayoshambulia viungo vya uzazi vya mwanamke ambapo humsababishia maumivu makali ya tumbo na...

READ MORE

Mchicha wa Nazi kwa Kula na Ugali

LEO tutaona jinsi ya kupika mchicha wa nazi ambao ni mtamu kwa kula na ugali. MAHITAJI: lMchicha mafungu mawili. lKitunguu...

READ MORE

Ugonjwa wa Saratani ya Shingo ya Kizazi na Namna ya Kujikinga

SARATANI ya shingo ya kizazi ni aina ya saratani ambayo hushambulia sehemu ya viungo vya uzazi vya mwanamke inayounganisha kati...

READ MORE

SERIKALI YAZUA BALAA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME!

SIKU chache baada ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kusa­jili na kuthibitisha dawa tano za...

READ MORE

Rekodi ya Madaktari Wanaomtibu Lissu Usipime!

HUU ndio ukweli! Madaktari wawili waliobobea wanaomtibu Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu, Profesa Stefaan Nijs na Profesa Willem-Jan Mertsemakers wa...

READ MORE

Zifahamu Faida za Mpapai

WATU wengi hulitumia tunda la papai kwa sababu ya utamu wake lakini lina faida lukuki kwa afya ya mwanadamu. Tunda...

READ MORE

New jobs at Kibo Slopes Safaris Limited – Arusha

Details Application deadline 2018-03-15 Business / Employer name: Kibo Slopes Safaris Limited Job categories : Secretary & Office Admin Job Role...

READ MORE

Mkate wa Maboga, Nazi na Maziwa

LEO tutaona jinsi ya kupika mkate wa maboga, nazi na maziwa. MAHITAJI Unga wa ngano kilo 1 Hamira kijiko 1...

READ MORE

Maambukizo katika kuta za ndani ya moyo

KATIKA mfululizo wa makala za magonjwa bado tunaendelea kuzungumzia magonjwa tofauti ya moyo, ambapo leo tutazungumzia maradhi ya moyo yanayotokana...

READ MORE

GLOBAL AFYA: FAHAMU NAMNA YA KUKABILIANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA

Magonjwa yasiyo ambukizwa yanazidi kuongezeka na kusababisha vifo kwa kiwango kikubwa katika siku za hivi karibuni. Kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Mbinu za Kutengeneza Shape Yako Unekane wa Kisasa

  PENDEZA NA KESSY PRODUCT: Weka muonekano wako vizuri sasa, wauzaji wa products za asili na mafuta yasio na madhara...

READ MORE

Chanzo Cha Maumivu Ya Tumbo Mara Kwa Mara!

MAUMIVU ya tumbo ni tatizo linaloweza kumpata mtu yeyote, mwanamke au mwanaume, mkubwa au mdogo. Maumivu haya husumbua kwani huwa...

READ MORE

Hatari Ya Kula Nyama, Vyakula Vya Kopo

CHAKULA kinapoliwa na binadamu huwa na safari ndefu na husafiri kwa zaidi ya saa 13 hadi 72 kulingana aina ya...

READ MORE

Aina Za Magonjwa Ya Moyo

BAADA ya wiki iliyopita kueleza matatizo ya tundu kwenye moyo, leo tutaeleza aina mbalimbali ya magonjwa ya moyo, kitaalamu huitwa...

READ MORE

Tahadhari Kuhusu Homa ya Chikungunya, Hakuna Tiba Mahusi Wala Kinga

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeutahadharisha umma kuhusu ugonjwa wa Homa ya Chikungunya ambao huambukizwa na mbu aina ya aedes...

READ MORE

Jinsi Mwanamke Anavyoweza Kupata Saratani Ya Matiti-2

WIKI iliyopita nilianza kuzungumzia namna mwanamke anavyoweza kupata saratani ya matiti. Wiki hii nitaimalizia mada hii ili nianze mada nyingine....

READ MORE

Mapishi ya Makange ya Kuku

LEO tutaona jinsi ya kupika makange ya nyama ya kuku ikiwa ni kutokana na mfululizo wa kujifunza kupika vyakula vya...

READ MORE

Matatizo Ya Moyo Yanavyosababisha Vifo-6

TUNAENDELEA kuchambua matatizo ya moyo na namna yanavyoweza kusababisha vifo. Wiki iliyopita tulizungumzia ugonjwa wa mshtuko wa moyo, na tulieleza...

READ MORE

Matatizo Ya Moyo Yanavyosababisha Vifo-5

MAKALA haya maalumu lengo lake ni kujadili masuala mbalimbali yanayohusu afya na tiba ili kupata ufahamu zaidi kuhusu kuimarisha afya...

READ MORE

Fahamu Makundi ya Vyakula Muhimu Mwilini

CHAKULA ni muhimu kwa maisha ya binadamu kwani humwezesha kupata nguvu na virutubisho ambavyo husaidia kuujenga mwili na kuupa kinga...

READ MORE

BancABC na Muhimbili Watoa Bima ya Afya kwa Watoto

BancABC, ambayo ni sehemu ya Atlas Mara, imeshirikiana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ili kutoa huduma ya bima ya...

READ MORE

Vyakula Hatari Kwa Afya Yako

CHAKULA bora ni muhimu kwa afya na furaha yako, bila chakula bora, hakuna raha katika maisha yako hapa duniani. Katika...

READ MORE

Vyakula Vinavyosaidia Kuondoa Maumivu Wakati Wa Hedhi

WIKI iliyopita tuliona jinsi matunda yanavyosaidia kutibu maradhi mbalimbali mwilini, leo tutaangalia aina mbalimbali za matunda yanayoweza kutibu matatizo mbalimbali...

READ MORE

Ripoti Maalum: Ni Kweli Kuna Dawa Za Kuongeza Nguvu Kiume -3

MSOMAJI,bado naendelea kukufungua ufahamu kuhusu suala la tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Wiki iliyopita tuliona jinsi wataalamu walivyoelezea...

READ MORE

Dalili Za Mimba Kutunga Nje Ya Mji Wa Uzazi

HILI ni tatizo ambalo linawaathiri wanawake wengi. Kwa kawaida, mimba zinazotungwa nje ya mfuko wa uzazi hazina uwezo wa kukua...

READ MORE