×

Afya

Tatizo la Kutokwa na Damu Puani

DAMU hutoka puani baada ya kupasuka kwa mirija mdogomidogo ya damu iliyopo ndani ya pua. Zipo sababu nyingi zinazoweza kusababisha...

READ MORE

Madhara ya Uvutaji wa Sigara Mwilini

UVUTAJI wa sigara ni tabia hatarishi inayoweza kusababisha madhara makubwa kwa mvutaji na watu wa karibu yake wanaovuta moshi anaoutoa....

READ MORE

Hivi Ndivyo Dawa Mpya Inavyozuia Ukimwi

  DAR ES SALAAM: Wengi hawajui hii dawa-kinga inayoanza kutolewa na Serikali kuzuia maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) inafanyajefanyaje...

READ MORE

Tumia Juisi ya Nyanya Kuondoa Ugonjwa wa Kutokwa Jasho

WATU wengi hudhani kutokwa na jasho ni dalili ya afya lakini wakati mwingine ni kero kubwa ambayo inaweza kukukosesha amani...

READ MORE

FAHAMU HATARI YA UGONJWA WA HOMA YA INI

KUTOKANA na umuhimu wa kuwaelimisha watu kuhusu ugonjwa wa homa ya ini, nimeona vema kurudia kuandika kuhusu maradhi haya ili...

READ MORE

Umuhimu wa Nafaka Zisizokobolewa Mwilini

NAFAKA ni vyakula vyenye wanga ambayo tunahitaji kwa ajili ya nishati kuupatia mwili nguvu. Nafaka ambazo hazijakobolewa, kama vile mchele...

READ MORE

Ocean Road Yaondoa Hofu Upimaji wa Tezi Dume

WANAUME wengi wameonyesha wasiwasi wao na zoezi la upimaji wa tezi dume, wengi wakidai kwamba huwa ni wa udhalilishaji jambo...

READ MORE

Kwa Mara ya Kwanza, Madaktari Wafanikiwa Kupandikiza Uume

JOPO la madaktari wamefanikiwa kufanya upandikizaji wa kwanza wa uume na korodani ambapo askari alijeruhiwa na bomu huko Afghanistan amefantiwa...

READ MORE

Kuipata ngozi Iliyotulia Tumia Juisi ya Machungwa

LEO kwenye ukurasa huu tutaona jinsi   unavyoweza kuipata ngozi nzuri kwa kutumia chungwa. Kama wewe una ngozi ya mafuta...

READ MORE

VIDONDA VYA TUMBO (Peptic Ulcer)

VIDONDA vya tumbo, ni vidonda vidogovidogo vinavyotokea kwenye kuta za ndani za tumbo na sehemu ya juu ya utumbo mwembamba...

READ MORE

Jinsi ya Kukaanga Mishkaki ya Ndizi, Samaki

LEO kwenye Mapishi ya Amani tutaona jinsi ya kupika mishkaki ya ndizi na samaki wa kukaanga na maharage ya kuunga...

READ MORE

Tumia Kitunguu Maji Kutibu Kucha Yenye Uvimbe

WATU wengi hupata tatizo la kuchomoa vikucha vya pembeni ambapo baada ya kufanya hivyo hupata tatizo la kuvimba na kutokewa...

READ MORE

MTOTO APATA SHAVU KAMPUNI YA AFYA YA KINYWA NA MENO

Kampuni ya JH ambao ni mawakala wa kusambaza dawa mpya ya meno iitwayo Lecan pamoja na visafishio vya meno juzi...

READ MORE

Tangawizi, Iliki, Mdalasini kwa Kulinogesha Penzi Lako!

LEO kwenye safu hii ya watu wazima tutaona jinsi ya kumfanya mpenzi awe karibu yako kwa kutumia mzizi wa tangawizi,...

READ MORE

Jinsi ya Kupika Pilau ya Zabibu Kavu

KWENYE ukurasa huu wa Mapishi ya Amani tutaona jinsi ya kupika pilau ya zabibu kavu ambayo ni tamu sana. MAHITAJI:...

READ MORE

Mbegu za Maboga Zinavyoweza Kukupa Ngozi Nzuri

LEO kwenye safu yetu hii tutaona jinsi mbegu za maboga zinavyoweza kukupa ngozi nzuri na ukawa na muonekano wa kuvutia....

READ MORE

MAUMIVU CHINI YA KITOVU (Lower Abdominal Pain)

MAUMIVU chini ya kitovu (lower abdominal pain) ni tatizo ambalo huwakumba watu wengi lakini kwa bahati mbaya wengi hulichukulia kuwa...

READ MORE

Fahamu Sababu za Maumivu ya Matiti

MAUMIVU ya matiti hutokea mara kwa mara kwa wanawake, hasa kwenye matiti yenyewe au karibu na kwapa. Hujulikana kwa kitaalamu...

READ MORE

Umuhimu wa Samaki kwa Watoto Wachanga

SAMAKI ni kitoweo ambacho kinatajwa kuwa na mafuta yenye kiambata aina ya Omega 3 yanayomfanya binadamu kuwa na uwezo mkubwa...

READ MORE

PWEZA WA KUKAANGA

NI Jumamosi nyingine tena mpenzi msomaji tunakutana na leo tutaangalia pishi la pweza wa kukaanga kama wengi wenu mlivyoomba. MAHITAJI...

READ MORE

Rosti la Tambi na Kuku wa Kukaanga!

LEO kwenye mapishi tutaona jinsi ya kupika tambi aina ya super get ambazo ni tamu na ni nzuri kula kama...

READ MORE

Karafuu, Strawberry kwa Meno Meupe!

KATIKA urembo leo tutaona jinsi ya kupata meno meupe kwa kutumia karafuu na strawberry kama utatumia wakati wa kupiga mswaki....

READ MORE

Kunywa Juisi Hii Kukuza Nywele Zako

KAMA una tatizo la nywele zako kutokuwa vizuri au kukatika kwa nywele zako, unaweza kuzikuza na kuziweka sawa kwa kutumia...

READ MORE

Tiba ya Kuvimba kwa Fizi

WATU wengi hupatwa na ugonjwa wa kuvimba fizi na wakati mwingine fizi hizo hupatwa na usaa kutokana na uvimbe. Leo...

READ MORE

Ulaji wa Mchicha Hukinga Kushambuliwa na Maradhi

KUNA utafiti uliwahi kufanywa na Chuo Kikuu cha Nottingham, unaeleza kuwa ulaji wa matunda na mboga za majani husaidia afya...

READ MORE

Uwatu kwa Kuondoa Chunusi

LEO kwenye safu yetu ya tiba kwa chakula tutaona jinsi Uwatu unavyoweza kukuondolea chunusi kabisa na ukasahau tatizo hilo.  ...

READ MORE

Kijue Chakula Anachotakiwa Kula Mjamzito – Video

KIPINDI cha ujauzito ni kipindi am­bacho mama mtarajiwa anatakiwa kupata mlo ulio kamili kwa muda sahihi na kiwango kinacho­takiwa. Mlo...

READ MORE

MAPISHI YA LEO! WALI WA KUKAANGA NA MAYAI

MAHITAJI -Wali uliopikwa vikombe vitano. -Mayai matano. -Manjano robo kijiko cha chai -Mafuta vijiko viwili vya chakula. -Kitunguu maji kimoja...

READ MORE

Vyakula vya Kukufanya Usizeeke

LEO kwenye safu hii nitakuletea vyakula ambavyo ukila vitakufanya usizeeke kwani siku hizi watu wanazeeka haraka licha ya kuwa na...

READ MORE

Unataka Kunenepa? Kula Vyakula Hivi!

LEO nitaongelea jinsi ya kuongeza na kunenepesha mwili kwa kutumia vyakula, kwa wale wanaotaka kunenepa.Kuongeza mwili kuna changa­moto nyingi ambazo...

READ MORE

Ugonjwa wa Chango la Uzazi kwa Wanawake!

CHANGO la uzazi ni miongoni mwa magonjwa yanayoshambulia viungo vya uzazi vya mwanamke ambapo humsababishia maumivu makali ya tumbo na...

READ MORE

Mchicha wa Nazi kwa Kula na Ugali

LEO tutaona jinsi ya kupika mchicha wa nazi ambao ni mtamu kwa kula na ugali. MAHITAJI: lMchicha mafungu mawili. lKitunguu...

READ MORE

Ugonjwa wa Saratani ya Shingo ya Kizazi na Namna ya Kujikinga

SARATANI ya shingo ya kizazi ni aina ya saratani ambayo hushambulia sehemu ya viungo vya uzazi vya mwanamke inayounganisha kati...

READ MORE

SERIKALI YAZUA BALAA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME!

SIKU chache baada ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kusa­jili na kuthibitisha dawa tano za...

READ MORE

Rekodi ya Madaktari Wanaomtibu Lissu Usipime!

HUU ndio ukweli! Madaktari wawili waliobobea wanaomtibu Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu, Profesa Stefaan Nijs na Profesa Willem-Jan Mertsemakers wa...

READ MORE

Zifahamu Faida za Mpapai

WATU wengi hulitumia tunda la papai kwa sababu ya utamu wake lakini lina faida lukuki kwa afya ya mwanadamu. Tunda...

READ MORE

New jobs at Kibo Slopes Safaris Limited – Arusha

Details Application deadline 2018-03-15 Business / Employer name: Kibo Slopes Safaris Limited Job categories : Secretary & Office Admin Job Role...

READ MORE

Mkate wa Maboga, Nazi na Maziwa

LEO tutaona jinsi ya kupika mkate wa maboga, nazi na maziwa. MAHITAJI Unga wa ngano kilo 1 Hamira kijiko 1...

READ MORE

Maambukizo katika kuta za ndani ya moyo

KATIKA mfululizo wa makala za magonjwa bado tunaendelea kuzungumzia magonjwa tofauti ya moyo, ambapo leo tutazungumzia maradhi ya moyo yanayotokana...

READ MORE

GLOBAL AFYA: FAHAMU NAMNA YA KUKABILIANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA

Magonjwa yasiyo ambukizwa yanazidi kuongezeka na kusababisha vifo kwa kiwango kikubwa katika siku za hivi karibuni. Kwa mara ya kwanza...

READ MORE