×

Afya

Wanawake mil 14 huugua saratani ya matiti kila mwaka Duniani

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dkt Julius Mwaiselage amesema kuwa tatizo la saratani limekuwa likiongezeka siku...

READ MORE

Jinsi ya Kukabiliana na Tatizo la Kukosa Hisia za Tendo la Ndoa

TATIZO hili huwatokea wanaume na wanawake. Ni tatizo linaloathiri hali ya kisaikolojia na kimwili. Hamu na hisia za tendo la...

READ MORE

Fahamu Kwa Undani Ugonjwa Wa Pumu (Asthma)

LEO tutaangalia ugonjwa wa pumu au kitaalamu huitwa asthma. Ugonjwa wa pumu huathiri njia za hewa ambazo huingiza na kutoa...

READ MORE

Maumivu ya Mgongo Tatizo Linalosumbua Wengi

MAUMIVU ya mgongo hujitokeza zaidi kwa watu wa umri wa kuanzia miaka 25-40 na kuendelea na ndiyo mara nyingi wanaofika...

READ MORE

Hospitali ya Aga Khan Lazima Ibadilike, Vinginevyo Itaendelea Kuchafua Sura ya Kiongozi Wao wa Dini

  WIKI iliyopita nilielezea namna ambavyo nilimpeleka mama yangu Hospitali ya Aga Khan kutibiwa akiwa na tatizo la shingo (Spondylosis),...

READ MORE

Ujue Umri wa Mwisho Kushiriki Tendo la Ndoa

WENGI huwa wanajiuliza mwanamke au mwanaume, umri wa mwisho kushiriki tendo la ndoa ni upi? Ukiwa mzee unaweza kushiriki tendo...

READ MORE

Safisha Figo Kwa Kutumia Nanaa

LEO kwenye safu hii ya tiba kwa chakula tutaona jinsi Nanaa zinavyosaidia kusafisha figo kwani tatizo hili limekuwa kubwa katika...

READ MORE

Maumivu ya Mgongo tatizo linalosumbua Wengi – 03

MATIBABU NA USHAURI   Matibabu ya mgongo mara nyingi ni kwa njia ya upasuaji pia yanaweza kufanyika pale chanzo cha...

READ MORE

Fahamu Chanzo Cha Magonjwa Ya Moyo

LEO tutaelezea kwa kina chanzo cha magonjwa ya moyo ambayo husumbua watu wengi. Chanzo kikubwa ni watu kutozingatia kanuni za...

READ MORE

Vyakula Vinavyoliwa na Mgonjwa wa Vidonda Vya Tumbo

LEO tutaangazia vyakula tiba kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Tutaangalia aina ya vyakula anavyopaswa kula au kuviepuka mgonjwa wa...

READ MORE

Tatizo la Kutokwa na Uchafu Ukeni (Vaginosis)

LEO tutazungumzia tatizo linalowasumbua wanawake wengi, tatizo la kutokwa na uchafu unaotoa harufu mbaya sehemu za siri. Kitaalamu hali ya...

READ MORE

FAIDA ZA UGALI WA DONA

  MARA nyingi baadhi ya watu huwahimiza watu wengine kutumia unga wa mahindi au nafaka zingine usiokobolewa bila ya kubainisha...

READ MORE

Njia 5 Rahisi za Kujitibu Tatizo la Nguvu za Kiume

Leo nitazungumzia tatizo linalowasumbua wanaume wengi la upungufu wa nguvu za kiume. Mfumo wa maisha, umesababisha wanaume wengi kuwa na...

READ MORE

Njia 5 Rahisi za Kujitibu Tatizo la Nguvu za Kiume

Leo nitazungumzia tatizo linalowasumbua wanaume wengi la upungufu wa nguvu za kiume. Mfumo wa maisha, umesababisha wanaume wengi kuwa na...

READ MORE

FAHAMU AINA YA MAUMIVU YA KICHWA

  DALILI za maumivu ya kichwa zinaweza kumsaidia daktari wako ajue nini kinachosababisha maumivu hayo hatimaye kujua matibabu yako yatakuwa...

READ MORE

Jinsi Ya Kupika Chapati Laini Za Kusukuma

Mahitaji -Unga wa ngano nusu kilo. -Siagi vijiko 2. -Yai moja. -Chumvi kiasi. -Hiliki kama unapenda maana wapo ambao ha­wapendi....

READ MORE

MABADILIKO KATIKA MFUMO WA HOMONI ZA UZAZI ZA MWANAMKE

HOMONI kwa kitaalamu huandikwa Hormone, ni kemikali zinazochochea mifumo ya mwili ifanye kazi yake inavyotakiwa. Vichocheo hivi vipo vingi na...

READ MORE

CHAI, KARANGA NA MTINDI KWA HESHIMA YA NDOA!

  WAPENDWA wasomaji wangu, bila shaka mko poa mnaendelea vyema na majukumu yenu kama kawaida. Leo kwenye safu hii nitazungumzia...

READ MORE

Maumivu kabla ya hedhi (Premenstrual Syndrome-PMS)

WANAWAKE wengi wamekuwa na tatizo la kusikia maumivu kabla ya hedhi zao na kuniomba nifafanue kuhusu tatizo hilo, leo nitafanya...

READ MORE

Tatizo la Kutokwa na Uchafu Sehemu za Siri na Tiba- 2

  TUNAENDELEA na makala yetu kuhusiana na tatizo la kutokwa na uchafu wa rangi mbalimbali sehemu za siri leo tutaeleza...

READ MORE

PSPF Wakabidhi Mashuka Kwa Wodi ya Watoto Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar

Maafisa wa Mfuko wa PSPF kulia Faidha Khatau na Hazina Konde wakimkabidhi mashukaka Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Mnazi Mmoja...

READ MORE

Pilau ya Nafaka na Nyama ya Kusaga

LEO ka­tika safu hii ya Mapishi ya Leo, tunaangalia jinsi ya kupika pilau ya nafaka na nyama ya kusaga kama...

READ MORE

Jinsi ya Kukabiliana na Matatizo Ya Ukeni

  MATATIZO yanayotokea ukeni kitaalamu tunaita Vaginitis. Hali hii inaweza kusababishwa na maambukizi mbalimbali au isiwe inatokana na maambukizi bali...

READ MORE

Tiba 7 Zinazosaidia Kutotapika

LEO nitaongelea tiba ya mtu anayetapika, huenda umekula kitu kibaya kimechafua tumbo, au umekula chakula chenye sumu au ni mama...

READ MORE

Athari za Chakula Alacho Mjamzito kwa Mtoto

WATAALAMU wa Afya wanasema kuwa, awamu mbalimbali za maisha zinahitaji ulaji wa chakula wa aina tofauti. Iwapo wewe ni mtoto,...

READ MORE

Nazi, Machicha na Mzaituni Katika Kuboresha Ndoa

LEO kwenye safu yetu nitakueleza mwanamke jinsi ya kumsaidia mumeo kumuondoa mchoko kwa kumsinga na kumfanyia masaji.   UFANYEJE MUMEO...

READ MORE

Funga Inavyoweza Kusaidia Kupunguza Unene

MPENZI msomaji ni matumaini yangu unaendelea vyema na Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambao licha ya kuwa na faida...

READ MORE

Namna ya Kukabiliana na Tatizo la Kutopevusha Mayai!

AFYA DK. CHALE MWANAMKE kutopevusha mayai kitaalamu huitwa Ovulatory Dysfunction . Ni hali ambayo si ya kawaida inayoweza kumtokea mwanamke...

READ MORE

Mungu Ndiye Hupanga Muda wa Kupata Watoto

Na Gabriel Ng’osha | IJUMAA WIKIENDA | XX LOve NINA kila sababu ya kumshukuru M`wenyezi Mungu kwa nafasi aliyonipa, pole...

READ MORE

Sababu za Maumivu Chini ya Kitovu kwa Wanawake, Wanaume

MAUMIVU chini ya kitovu kwa wanawake na wanaume kitaalamu huitwa Lower Abdominal Pain ni tatizo ambalo huwakumba watu wengi lakini...

READ MORE

Fahamu Aina Mbili za Ugumba

Ugumba ni hali inayotokea iwapo watu wawili, mwanaume na mwanamke wanapokutana kimwili (au kujamiiana) bila kutumia njia yoyote ile ya...

READ MORE

Kula Hivi Mimba Yako Iwe Salama

Mjamzito anapaswa kuepuka ulaji wa kupita kiasi ili asinenepe kupindukia (Obesity). Kulingana na kijarida kiitwacho Krause’s Food, Nutrition and Diet...

READ MORE

Tumuombeeni Mzee Majuto!

Stori: Brighton Masalu | IJUMAA WIKIENDA DAR ES SALAAM: Tumuombeeni! Lejendari wa vichekesho Bongo, Amri Athman ‘Mzee Majuto’ yu taaban...

READ MORE

Matatizo Katika Ute wa Uzazi kwa Mwanamke

NA DK. CHALE | IJUMAA | AFYA MATATIZO katika ute wa uzazi wa mwanamke kitaalamu tunaita Abnormal Cervical Mucus ....

READ MORE

Ugonjwa Wa Ini ni Hatari Kuliko Ukimwi

Na Dk. Marise Richard | RISASI JUMATANO LEO tunakwenda mbele zaidi kuzungumzia ugonjwa hatari wa homa ya ini au Hepatitis...

READ MORE

Vyakula Bora 5 Muhimu Kwa Mwili Wako

MAKALA: NA MWANDSHI WETU |UWAZI| AFYA LISHE ni moja ya nguzo kubwa kwenye afya ya mtu, unachokula si tu kinafanya...

READ MORE

Aina 3 za Sickle Cell Unazopaswa Kuzijua-2

MAKALA: NA MWANDISHI WETU| UWAZI:  Tabibu Wiki iliyopita nilianza kuelezea dalili za ugonjwa wa sickle cell, leo nitaendelea, ungana nami....

READ MORE

Matatizo Katika Uzalishaji wa Mbegu za Kiume

Na DK. CHALE | IJUMAA | AFYA TATIZO hili kitaalamu huitwa Sperm Disorders na kiasi kikubwa husababisha ugumba kwa mwanaume....

READ MORE

Matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo (Congenital Heart Diseases)

IDADI ya watoto wanaozaliwa wakiwa na matatizo ya moyo inazidi kuongezeka. Kwa bahati mbaya, ni wazazi wachache ambao huwa wanagundua...

READ MORE

Ulaji Wa Maboga Unavyoimarisha Mwili

MABOGA hutokana na tunda liitwalo boga. Tunda hilo asili yake haijafahamika vizuri ingawaje baadhi ya tafiti zinasema asili yake ni...

READ MORE