×

Afya

Mkate wa Maboga, Nazi na Maziwa

LEO tutaona jinsi ya kupika mkate wa maboga, nazi na maziwa. MAHITAJI Unga wa ngano kilo 1 Hamira kijiko 1...

READ MORE

Maambukizo katika kuta za ndani ya moyo

KATIKA mfululizo wa makala za magonjwa bado tunaendelea kuzungumzia magonjwa tofauti ya moyo, ambapo leo tutazungumzia maradhi ya moyo yanayotokana...

READ MORE

GLOBAL AFYA: FAHAMU NAMNA YA KUKABILIANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA

Magonjwa yasiyo ambukizwa yanazidi kuongezeka na kusababisha vifo kwa kiwango kikubwa katika siku za hivi karibuni. Kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Mbinu za Kutengeneza Shape Yako Unekane wa Kisasa

  PENDEZA NA KESSY PRODUCT: Weka muonekano wako vizuri sasa, wauzaji wa products za asili na mafuta yasio na madhara...

READ MORE

Chanzo Cha Maumivu Ya Tumbo Mara Kwa Mara!

MAUMIVU ya tumbo ni tatizo linaloweza kumpata mtu yeyote, mwanamke au mwanaume, mkubwa au mdogo. Maumivu haya husumbua kwani huwa...

READ MORE

Hatari Ya Kula Nyama, Vyakula Vya Kopo

CHAKULA kinapoliwa na binadamu huwa na safari ndefu na husafiri kwa zaidi ya saa 13 hadi 72 kulingana aina ya...

READ MORE

Aina Za Magonjwa Ya Moyo

BAADA ya wiki iliyopita kueleza matatizo ya tundu kwenye moyo, leo tutaeleza aina mbalimbali ya magonjwa ya moyo, kitaalamu huitwa...

READ MORE

Tahadhari Kuhusu Homa ya Chikungunya, Hakuna Tiba Mahusi Wala Kinga

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeutahadharisha umma kuhusu ugonjwa wa Homa ya Chikungunya ambao huambukizwa na mbu aina ya aedes...

READ MORE

Jinsi Mwanamke Anavyoweza Kupata Saratani Ya Matiti-2

WIKI iliyopita nilianza kuzungumzia namna mwanamke anavyoweza kupata saratani ya matiti. Wiki hii nitaimalizia mada hii ili nianze mada nyingine....

READ MORE

Mapishi ya Makange ya Kuku

LEO tutaona jinsi ya kupika makange ya nyama ya kuku ikiwa ni kutokana na mfululizo wa kujifunza kupika vyakula vya...

READ MORE

Matatizo Ya Moyo Yanavyosababisha Vifo-6

TUNAENDELEA kuchambua matatizo ya moyo na namna yanavyoweza kusababisha vifo. Wiki iliyopita tulizungumzia ugonjwa wa mshtuko wa moyo, na tulieleza...

READ MORE

Matatizo Ya Moyo Yanavyosababisha Vifo-5

MAKALA haya maalumu lengo lake ni kujadili masuala mbalimbali yanayohusu afya na tiba ili kupata ufahamu zaidi kuhusu kuimarisha afya...

READ MORE

Fahamu Makundi ya Vyakula Muhimu Mwilini

CHAKULA ni muhimu kwa maisha ya binadamu kwani humwezesha kupata nguvu na virutubisho ambavyo husaidia kuujenga mwili na kuupa kinga...

READ MORE

BancABC na Muhimbili Watoa Bima ya Afya kwa Watoto

BancABC, ambayo ni sehemu ya Atlas Mara, imeshirikiana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ili kutoa huduma ya bima ya...

READ MORE

Vyakula Hatari Kwa Afya Yako

CHAKULA bora ni muhimu kwa afya na furaha yako, bila chakula bora, hakuna raha katika maisha yako hapa duniani. Katika...

READ MORE

Vyakula Vinavyosaidia Kuondoa Maumivu Wakati Wa Hedhi

WIKI iliyopita tuliona jinsi matunda yanavyosaidia kutibu maradhi mbalimbali mwilini, leo tutaangalia aina mbalimbali za matunda yanayoweza kutibu matatizo mbalimbali...

READ MORE

Ripoti Maalum: Ni Kweli Kuna Dawa Za Kuongeza Nguvu Kiume -3

MSOMAJI,bado naendelea kukufungua ufahamu kuhusu suala la tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Wiki iliyopita tuliona jinsi wataalamu walivyoelezea...

READ MORE

Dalili Za Mimba Kutunga Nje Ya Mji Wa Uzazi

HILI ni tatizo ambalo linawaathiri wanawake wengi. Kwa kawaida, mimba zinazotungwa nje ya mfuko wa uzazi hazina uwezo wa kukua...

READ MORE

Wanawake mil 14 huugua saratani ya matiti kila mwaka Duniani

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dkt Julius Mwaiselage amesema kuwa tatizo la saratani limekuwa likiongezeka siku...

READ MORE

Jinsi ya Kukabiliana na Tatizo la Kukosa Hisia za Tendo la Ndoa

TATIZO hili huwatokea wanaume na wanawake. Ni tatizo linaloathiri hali ya kisaikolojia na kimwili. Hamu na hisia za tendo la...

READ MORE

Fahamu Kwa Undani Ugonjwa Wa Pumu (Asthma)

LEO tutaangalia ugonjwa wa pumu au kitaalamu huitwa asthma. Ugonjwa wa pumu huathiri njia za hewa ambazo huingiza na kutoa...

READ MORE

Maumivu ya Mgongo Tatizo Linalosumbua Wengi

MAUMIVU ya mgongo hujitokeza zaidi kwa watu wa umri wa kuanzia miaka 25-40 na kuendelea na ndiyo mara nyingi wanaofika...

READ MORE

Hospitali ya Aga Khan Lazima Ibadilike, Vinginevyo Itaendelea Kuchafua Sura ya Kiongozi Wao wa Dini

  WIKI iliyopita nilielezea namna ambavyo nilimpeleka mama yangu Hospitali ya Aga Khan kutibiwa akiwa na tatizo la shingo (Spondylosis),...

READ MORE

Ujue Umri wa Mwisho Kushiriki Tendo la Ndoa

WENGI huwa wanajiuliza mwanamke au mwanaume, umri wa mwisho kushiriki tendo la ndoa ni upi? Ukiwa mzee unaweza kushiriki tendo...

READ MORE

Safisha Figo Kwa Kutumia Nanaa

LEO kwenye safu hii ya tiba kwa chakula tutaona jinsi Nanaa zinavyosaidia kusafisha figo kwani tatizo hili limekuwa kubwa katika...

READ MORE

Maumivu ya Mgongo tatizo linalosumbua Wengi – 03

MATIBABU NA USHAURI   Matibabu ya mgongo mara nyingi ni kwa njia ya upasuaji pia yanaweza kufanyika pale chanzo cha...

READ MORE

Fahamu Chanzo Cha Magonjwa Ya Moyo

LEO tutaelezea kwa kina chanzo cha magonjwa ya moyo ambayo husumbua watu wengi. Chanzo kikubwa ni watu kutozingatia kanuni za...

READ MORE

Vyakula Vinavyoliwa na Mgonjwa wa Vidonda Vya Tumbo

LEO tutaangazia vyakula tiba kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Tutaangalia aina ya vyakula anavyopaswa kula au kuviepuka mgonjwa wa...

READ MORE

Tatizo la Kutokwa na Uchafu Ukeni (Vaginosis)

LEO tutazungumzia tatizo linalowasumbua wanawake wengi, tatizo la kutokwa na uchafu unaotoa harufu mbaya sehemu za siri. Kitaalamu hali ya...

READ MORE

FAIDA ZA UGALI WA DONA

  MARA nyingi baadhi ya watu huwahimiza watu wengine kutumia unga wa mahindi au nafaka zingine usiokobolewa bila ya kubainisha...

READ MORE

Njia 5 Rahisi za Kujitibu Tatizo la Nguvu za Kiume

Leo nitazungumzia tatizo linalowasumbua wanaume wengi la upungufu wa nguvu za kiume. Mfumo wa maisha, umesababisha wanaume wengi kuwa na...

READ MORE

Njia 5 Rahisi za Kujitibu Tatizo la Nguvu za Kiume

Leo nitazungumzia tatizo linalowasumbua wanaume wengi la upungufu wa nguvu za kiume. Mfumo wa maisha, umesababisha wanaume wengi kuwa na...

READ MORE

FAHAMU AINA YA MAUMIVU YA KICHWA

  DALILI za maumivu ya kichwa zinaweza kumsaidia daktari wako ajue nini kinachosababisha maumivu hayo hatimaye kujua matibabu yako yatakuwa...

READ MORE

Jinsi Ya Kupika Chapati Laini Za Kusukuma

Mahitaji -Unga wa ngano nusu kilo. -Siagi vijiko 2. -Yai moja. -Chumvi kiasi. -Hiliki kama unapenda maana wapo ambao ha­wapendi....

READ MORE

MABADILIKO KATIKA MFUMO WA HOMONI ZA UZAZI ZA MWANAMKE

HOMONI kwa kitaalamu huandikwa Hormone, ni kemikali zinazochochea mifumo ya mwili ifanye kazi yake inavyotakiwa. Vichocheo hivi vipo vingi na...

READ MORE

CHAI, KARANGA NA MTINDI KWA HESHIMA YA NDOA!

  WAPENDWA wasomaji wangu, bila shaka mko poa mnaendelea vyema na majukumu yenu kama kawaida. Leo kwenye safu hii nitazungumzia...

READ MORE

Maumivu kabla ya hedhi (Premenstrual Syndrome-PMS)

WANAWAKE wengi wamekuwa na tatizo la kusikia maumivu kabla ya hedhi zao na kuniomba nifafanue kuhusu tatizo hilo, leo nitafanya...

READ MORE

Tatizo la Kutokwa na Uchafu Sehemu za Siri na Tiba- 2

  TUNAENDELEA na makala yetu kuhusiana na tatizo la kutokwa na uchafu wa rangi mbalimbali sehemu za siri leo tutaeleza...

READ MORE

PSPF Wakabidhi Mashuka Kwa Wodi ya Watoto Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar

Maafisa wa Mfuko wa PSPF kulia Faidha Khatau na Hazina Konde wakimkabidhi mashukaka Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Mnazi Mmoja...

READ MORE

Pilau ya Nafaka na Nyama ya Kusaga

LEO ka­tika safu hii ya Mapishi ya Leo, tunaangalia jinsi ya kupika pilau ya nafaka na nyama ya kusaga kama...

READ MORE