×

Breaking News

Breaking: Mahakama Kuu Arusha Yamuachia huru Sabaya na Wenzake Wawili

  MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Arusha leo Mei 6, 2022 imemuachia huru aliyekuwa DC wa Hai, Lengai Ole Sabaya...

READ MORE

Hatimaye Bilionea Namba Moja Duniani, Elon Musk Aununua Mtandao Wa Kijamii wa Twitter Kwa Dola Bilioni 44

Tajiri namba moja duniani, Elon Musk hatimaye amefanikisha dili lake la nguvu la kuununua mtandao wa kijamii wa Twitter kwa...

READ MORE

Breaking News: Rais wa Zamani wa Kenya Mwai Kibaki Afariki Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 90

Aliyekuwa Rais wa Kenya Mwai Kibaki amefariki Dunia Leo Aprili 22, 2022 akiwa na umri wa miaka 90. Kibaki alikuwa...

READ MORE

Maunda Zorro Afariki Dunia kwa Ajali ya Gari, Msiba Upo Maweni Kigamboni -Video

 #UPDATE Msanii wa Bongo Flava, Banana Zoro ametoa taarifa ya kinachondelea kuhusu msiba wa Maunda Zorro kwa kueleza kwamba...

READ MORE

Breaking: Prof Ngowi Afariki Dunia

Makamu Mkuu wa Chuo Cha Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka anasikitika kutangaza kifo cha Profesa Honest Ngowi na dereva wake, waliofariki...

READ MORE

Gari Ya Mbunge wa Masasi Yateketea Kwa Moto

Mbunge wa Masasi Mjini, Geofrey Mwambe na familia yake wamenusurika kifo baada ya gari binafsi waliyokuwa wakisafiria kushika moto na...

READ MORE

Breaking News: Basi La Kilimanjaro Lapata Ajali

WATU kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya Kilimanjaro linalofanya safari zake kati...

READ MORE

Tanzia: Rais Rupiah Banda Afariki Dunia

Aliyewahi kuwa Rais wa Zambia, Rupiah Banda amefariki dunia leo Ijumaa, Machi 11, 2022 akiwa na umri wa miaka 85....

READ MORE

Mbowe Na Wenzake Watatu Waachiwa Huru – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu, leo Machi 4, 2022 wamefutiwa mashtaka yote...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wakutwa Na Kesi Ya Kujibu

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu imemkuta na kesi ya kujibu, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Tundu Lissu -Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu....

READ MORE

TANZIA: Mwele Malecela Afariki Dunia

TAARIFA za kusikitisha zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa Dkt. Mwele Ntuli Malecela amefariki dunia, leo Alhamisi, Februari 10, 2022, Geneva...

READ MORE

Serikali Yafungulia Magazeti ya Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima

SERIKALI imeyafungulia rasmi magazeti manne ambayo ni Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima yaliyokuwa yamefungiwa kwa muda mrefu.   Uamuzi...

READ MORE

Breaking: Zungu, Kigwangalla, Mwinyi Wajitosa Unaibu Spika

Wabunge wanne wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, wamechukua fomu za kuwania kugombea unaibu Spika, leo Febriari 5 jijini Dodoma....

READ MORE

Morisson Asimamishwa Simba

  KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa Raia wa Ghana, anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba, Bernard Morrison asimamisha kwa muda hadi...

READ MORE

Breaking: Dkt. Tulia Ndiye Mshindi wa Uspika

Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya...

READ MORE

Wabunge wa CCM Wampitisha Dkt. Tulia Uspika

KAMATi ya Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia kikao chao (Caucus) wamempitusha Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson...

READ MORE

Breaking: Ajali Yaua Wawili na Kujeruhi 8 Kimara Suka

WATU wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine wanane kujeruhiwa kufuatia ajali ya lori lililovamia kituo cha daladala cha Kimara...

READ MORE

Watatu wa Familia Moja Wafa kwa Kula Uyoga

#BADNEWS: Katika hali ya kustaajabisha, watoto watatu wa familia moja wamefariki dunia baada ya kudaiwa kula uyoga unaodhaniwa kuwa na...

READ MORE

Waliomuua Balozi wa Italia Nchini DRC Wakamatwa

Jeshi la Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika Jimbo la Kivu Kaskazini, limefanikiwa kuwakamata baadhi ya watuhumiwa...

READ MORE

BREAKING: Soko la Karume Lateketea kwa Moto, Rais Samia, Makamu wa Rais Watoa Tamko.

 Soko la wafanyabiashara wadogo la Karume lililopo Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam limeungua kwa moto alfajiri ya...

READ MORE

Breaking: Chama Awasili Tanzania Kujiunga na Simba

HATIMAYE aliyewahi kuwa kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Simba, Clatous Chota Chama, amewasili nchini jioni hii ya leo Januari 14,...

READ MORE

Gari la Wanahabari Lagongana na Hiache 11 Wafariki

WATU zaidi ya 11 wamepoteza maisha wakiwemo wanahabari watano na abiria wa kawaida katika ajali iliyohusisha magari mawili ikiwa moja...

READ MORE

Breaking: Wabunge Waitwa Bungeni Dodoma

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Nenelwa Mwihambi leo Ijumaa, Januari 7, 2022 amesema baada ya Job...

READ MORE

Spika Job Ndugai Ajiuzulu – Video

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo ndani ya Bunge...

READ MORE

Gwajima: Spika Ndugai Ajiuzulu Awaachie Wengine – Video

MBUNGE wa Kawe na Askofu Mkuu wa Makanisa ya Ufufuo, Dkt. Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

Watu 9 Wamefariki Katika Ajali ya Boti Zanzibar

WATU tisa wamefariki dunia, na wengine sita wameokolewa wakiwa hai na wengine zaidi ya kumi hawajulikani walipo baada ya boti...

READ MORE

Msaidizi wa Rais Kikwete Afariki Dunia

Ofisi Binafsi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete imethibitisha kutokea kwa kifo cha Katibu wa...

READ MORE

Ombi la Sabaya Lakubaliwa Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imekubali ombi la mawakili upande wa utetezi kuondoa ushahidi wa picha za CCTV zilizokuwa ziwasilishwe...

READ MORE

Ndugai: Ile Clip Imetengenezwa – Video

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema katika hotuba yake aliyoitoa hivi karibuni hakukuwa na hapakuwa na jambo la...

READ MORE

Lema Lissu Waamua Kurejea Nchini

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema Kamati Kuu ya Chama chake imeadhimia yeye pamoja na mwanasiasa Godbless Lema...

READ MORE

Charles Hilary Ateuliwa Ikulu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi, amemteua Charles Martin Hilary kuwa Mkurugenzi wa Idara...

READ MORE

Gari la Maiti Lapata Ajali, Bosi wa Harmonize Anusurika

MMOJA wa mameneja wanaomsimamia mwanamuziki Harmonize, Jembe ni Jembe amepata ajali mbaya ya gari wakiwa wanasindikiza mwili wa marehemu Joel...

READ MORE

Defao Afariki Dunia Akiwa Nchini Cameroon

MWANAMUZIKI mahiri wa Rhumba, Le General Defao Matumona (62) amefariki Desemba 27, 2021 akiwa Douala, nchini Cameroon.   Defao ni...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Ateua Mwenyekiti Mpya wa NEC

Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaji Jackob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akichukua nafasi ya...

READ MORE

Watoto Wanne Wafariki Unguja

Watoto wanne wamefariki Dunia, Kaskazini Unguja huku wengine 47 wakiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya Kivunge kutokana na kula nyama...

READ MORE

Watu Watatu Wafariki kwa Ajali Geita

WATU watatu waliokuwa wakisafiri kutoka Kata ya Nzera kuelekea Geita Mjini wakitumia gari la abiria (aina ya Toyota Hiace) wamefariki...

READ MORE

Mrembo Aliehitimu Chuo Kikuu SUA Auawa na Wasiojulikana

MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) ambaye amehitimu hivi karibuni aliyefahamika kwa jina la Magreth Mashue ameuwawa...

READ MORE

Majambazi Watano Wauawa Kigoma

WATU watano wanaosadikiwa  kuwa ni majambazi wameuwawa na Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma katika Ziwa Tanganyika baada ya kutekeleza uporaji wa...

READ MORE

Mtoto Aliyefariki 2017, Apatikana Akiwa Hai, Kaburi Lafukuliwa

JESHI la Polisi mkoani Geita limelazimika kufukua kaburi la mtoto aliyefariki dunia katika Hospitali ya wilaya ya Geita kwa ugonjwa...

READ MORE