×

Celebrities

Mbasha Amvua Nguo Flora

  BAADA ya mwanamuziki wa Nyimbo za Injili Bongo, Flora Mbasha kusambaza kitabu alichokipa jina la Siri za Flora Mbasha...

READ MORE

Shilole Aibuka Ndoa ya Nuh Mziwanda

KUTOKANA na kuwepo kwa madai ya Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kuchangia kuvunjika kwa ndoa ya mpenzi wake wa zamani, Naftal Mlawa...

READ MORE

DYANAMIC AMFUNGUKIA BARAKA THE PRINCE

MSANII wa Bongo Fleva anayebamba na Ngoma ya Kamoyo, Hamadi Abdulhemed ‘Dynamic’ kwa mara ya kwanza (dyanamic amfungukia baraka),  amemfungukia...

READ MORE

Usiyoyajua Kuhusu Penzi la Blac Chyna & Rob

  MIONGONI mwa matukio yaliyotingisha ulimwengu wa mitandao ya kijamii, ni tukio la hivi karibuni la kufungiwa kwa akaunti ya...

READ MORE

JOKATE AJIBEBISHA KWA HENRY WA ARSENAL

  MWANAMITINDO ‘the big name’ Bongo, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’, wikiendi iliyopita alinaswa na mapaparazi akiwa amejibebisha (jokate ajibebisha kwa...

READ MORE

GLOBAL TV YAANZISHA KAMPENI ‘SAIDIA JINI KABULA’

KITUO cha televisheni namba moja ya mtandaoni ya Global TV Online kwa kushirikiana na ndugu na wadau, imeanzisha kampeni maalum...

READ MORE

Nisha: Mpenzi Wangu Hafurukuti

LICHA ya kusambaa video yake ya zamani akielezea anavyompenda msanii wa Bongo Fleva, Barakah The Prince huku akionesha tattoo aliyojichora...

READ MORE

Povu la Ndikumana kwa Uwoya Lachafua Hali ya Hewa

  Mwanasoka wa Kimataifa kutoka Rwanda, Hamad Ndikumana ambaye ni mume wa ndoa wa staa wa filamu za Bongo, Irene...

READ MORE

MASTAA WAPEWA KIBANO NA TRA

  IMEFICHUKA! Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeweka wazi kuwa kwa sasa inakula sahani moja na kuwapa kibano kikali mastaa...

READ MORE

WIZ KID AZICHAPA KLABU

MWANAMUZIKI kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’ anayetamba kwa sasa na Ngoma ya Medicine, amezichapa klabu na shabiki ambaye alikwenda kupiga...

READ MORE

Wanaomuua Jini Kabula Wajulikana!

  WAKATI hali ya staa wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ikiwa bado si shwari, watu ambao wanatajwa kuzidi...

READ MORE

NITAENDELEA KUBADILI WANAUME – WOLPER

WAKATI mashabiki wakiwa bado wanamshangaa staa wa Bongo Muvi, Jacqueline Massawe ‘Wolper’ juu ya tabia yake ya kubadili wanaume kila...

READ MORE

Kimenuka: Mbasha ‘Amtolea Povu’ Flora

  Aliyekuwa mume wa Flora Mbasha ‘Madam Flora’ ambaye pia ni mzazi mwenziye, Emmanuel Mbasha ameibuka gumzo mitandaoni baada ya...

READ MORE

Lulu Aweka Rekodi Serikali ya JPM

  IMEVUJA! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, anatajwa kuwa ndiye staa pekee wa kike Bongo aliyeweka...

READ MORE

Pichaz: Wema Sepetu Awateka Watumiaji wa Instagram

SUPASTAA wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, ametupia picha mpya kwenye akaunti yake ya Mtandao wa Instagram, zikimuonesha akiwa na...

READ MORE

Morata Afunga Ndoa Italia Akiwaniwa na Man U, AC Milan

MCHEZA soka wa Real Madrid, Alvaro Morata, ambaye anawaniwa vikali na klabu za Manchester United na AC Milan, jana alimwoa...

READ MORE

Beyonce, Jay-Z Wafurahia Watoto Mapacha Huko Los Angeles

MWANAMUZIKI mshindi wa tuzo ya Grammy, Beyonce, na mumewe rapa, Jay-Z,  Jumatatu au usiku wa kuamkia Jumanne wiki inayomalizikia leo,...

READ MORE

Ijumaa Figa Bomba Girl 2017: Sasha, Wema, Masogange na Sanchoka nani Kuibuka Mshindi?

WIKI hii imekuwa sapraiz baada ya mashabiki wengi wanaofuatilia ukurasa wetu wa FB kukata rufaa na kuomba muuza nyago huyu...

READ MORE

Vita Ya Malipo Kiduchu Haijawahi Kumuacha Modo Salama!

Na Andrew Carlos | Ijumaa | Makala AMANDA Swartbooi moja kati ya wauza nyago katika video Afrika akitokea Afrika Kusini....

READ MORE

Pam D Aofia Kumuanika Mpenzi Wake

 STORI: BONIPHACE NGUMIJE, RISASI JUMAMOSI, MKITO NUSUNUSU MWANADADA anayefanya vyema kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amefunguka...

READ MORE

Mo Music Amchokonoa Barakah The Prince

 STORI: MAYASA MARIWATA, RISASI JUMAMOSI, MKITO NUSUNUSU MSANII wa Bongo Fleva, Moshi Katemi `Mo Music’ ameonyesha kumchokonoa mwanamuziki mwenzake, Barakah...

READ MORE

Pichaz: Muonekano Mubashara wa Wema Sepetu

  …Akijiachia katika pozi mbalimbali. Supastaa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, ametupia picha mpya kwenye akaunti yake ya Mtandao...

READ MORE

Aunty Lulu Awekwa Kinyumba

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassa, Risasi Jumamosi, Habari DAR ES SALAAM: Imevuja! Baada ya hivi karibuni kuamua kupima Ukimwi...

READ MORE

#GlobalCars: Hizi Ndio Ndinga 10 Kali Zilizoshine Zaidi Kwenye Movie Ya Fast & Furious 8 – (Pichaz)

Kwa wale wadau wangu wa kuroll mtaani ‘in everything nice rimz’ basi naamini moja ya vitu vilivyotrend zaidi kwenu kwenye franchise...

READ MORE

Wema: Deni Tulilonalo ni kwa Watanzania tu

Na Salum Milongo/GPL STAA wa filamu na malkia wa mtandao Bongo, Wema Abraham Sepetu ‘Maddam’, amewafungukia wasanii walioandamana Kariakoo wakidai...

READ MORE

Niva Awaponda Wema, Uwoya Kwa Mkewe

Na IMELDA MTEMA| GAZETI LA IJUMAA| IJUMAA STAA MIX MUIGIZAJI wa kiume anayefanya vizuri Bongo, Zuberi Mohammed ‘Niva’ amefunguka kuwa...

READ MORE

Chemical; Mi’ Mgumu, Navaa Kigumu na Naimba Ngumu!

Na IMELDA MTEMA| GAZETI LA IJUMAA| IJUMAAA SHOWBIZ Kwa hapa Bongo, unapowazungumzia wasanii wa kike wanaofanya fresh kwenye Hip Hop,...

READ MORE

Madai ya Kupotezwa, Dimpoz Afunguka

Na BONIPHACE NGUMIJE| GAZETI LA IJUMAA|IJUMAA SHOW BIZ MWANAMUZIKI Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ ametoa povu kufuatia madai kuwa, hivi sasa ...

READ MORE

Thabit Abdul Atunzwa Mzinga Jukwaani

AMA kweli kwenye burudani kuna mambo, Jumapili iliyopita ambayo ilikuwa ni Sikukuu ya Pasaka, kiongozi wa Kundi la Wakali Wao...

READ MORE

Licha ya Kudai Kumrudia Mungu, Sabby Aendelea ‘kujirusha’

Na MAYASA MARIWATA| GAZETI LA AMANI| HABARI MSANII wa Bongo Fleva, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ ambaye siku chache zilizopita alitangaza...

READ MORE

Mchekeshaji Eric Omondi Amuigiza Rais Donald Trump

Na SALUM MILONGO/GPL MCHEKESHAJI kutoka Kenya, Eric Omondi, katika projeti yake ya kuchekesha maarufu kama ‘How To Be’, amemuigiza Rais...

READ MORE

Hivi Anayewauzia Wadada Simu Mbovu ni Nani?

Na MC PILPILI| GAZETI LA AMANI| KIJIWE CHA MC PILIPILI UNAJUA nimekaa na kujiuliza maswali mengi sana kuhusu hawa dada...

READ MORE

Idris Sultan Atokwa Povu Ukaribu wa Wema, Gabo

Na SALUM MILONGO/GPL MSANII wa komedi Bongo na mshindi wa shindano la Big Brother Afrika 2015, Idris Sultan, ‘Dokta Mwaka’...

READ MORE

Baby Madaha, Isabela Mmh!

Na GLADNESS MALLYA/GPL DAR ES SALAAM: Kioja! Mastaa wawili wasioishiwa vituko wanaounda Kundi la Muziki la Scorpion Girls, Baby Madaha...

READ MORE

Mwanaheri; Soko la Filamu Lipo! (+ video)

Na GLADNESS MALLYA| RISASI MCHANGANYIKO| ZA MOTOMOTO WAKATI wakongwe wa filamu Tanzania wakilia usiku na mchana juu ya kufa kwa...

READ MORE

Gigy, Utaacha Lini Ulimbukeni?

Na GABRIEL NG`OSHA| RISASI MCHANGANYIKO| BARUA NZITO Ni jambo zuri na la kheri kumkumbuka mtu unayemfahamu, unayemmiss na hata unayempenda,...

READ MORE

Diamond Awapongeza Rayvanny, Fahyma kwa Kupata Mtoto wa Kwanza

Na Salum Milongo/GPL MSANII wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’, ametoa pongezi kwa mwanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB),...

READ MORE

Jimmy Mafufu Ataka Mabachela Wapimwe Akili!

Na GLADNESS MALLYA| RISASI MCHANGANYIKO| ZA MOTOMOTO MSANII wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu amewatolea uvivu waigizaji ambao umri wa...

READ MORE

Breaking News: Wasanii wa Bongo Muvi Waandamana Kariakoo Dar (+Video)

DAR ES SALAAM: Baadhi ya wasanii wa Filamu nchini (Bongo Movie) wamefanya maandamano katika Mtaa wa Aggrey, Kariakoo ambapo ni...

READ MORE

Lulu Diva Achekelea Kolabo za Kimataifa

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| RISASI VIBES MWANADADA anayefanya vizuri kwenye Muziki wa Bongo Fleva na wimbo wake wa Usimwache,...

READ MORE