×

Celebrities

Ushauri wa Nature kwa Nandy, Zuchu

JUMA NATURE amewashauri wasanii wa Bongofleva wanaotamba kwa sasa, Nandy na Zuchu, akiwataka kutobweteka na mafanikio waliyopata. Amewataka watenge muda...

READ MORE

Inatisha… Freemason Watajwa Kumuua Bilionea Ginimbi!

Wakati mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwa ‘imechafuka’ kwa picha za magari na mijengo ya kifahari ya mfanyabiashara maarufu katika ukanda...

READ MORE

Yemi Alade Amuunga Mkono Vanessa Mdee

BAADA ya Vanessa Mdee, mwimbaji Yemi Alade anaongezeka kwenye orodha ya wasanii wa kike ambao wanakitupia lawama kiwanda cha muziki ...

READ MORE

Mfahamu Zaidi Nabii Bushiri, Bilionea Mwenye Kesi Nzito

NABII na mchungaji maarufu wa Kikristo, raia wa Malawi al maarufu Pastor Shepherd Bushiri, anakabiliwa na mashitaka 419 ikiwa ni...

READ MORE

‘Pacha wa Alikiba’ Aibua Mapya

KUNA ule msemo kwamba ‘duniani ni wawili wawili’ ukiwa ina maana kwamba mtu mmoja anaweza akawa na vinasaba vya kufanana...

READ MORE

Zari Ampiga Chini King Bae Wake wa Sauz

MREMBO na mwanamama Zari the Boss Lady amethibitisha kuachana na mwanaume wake aliyemtambulisha mtandaoni kama ‘King Bae’ ambaye alifikia hadi...

READ MORE

Mondi, Zuchu, Nandy Washinda Tuzo za AFRIMMAA

  WAANDAAJI wa tuzo za mashindano ya All-Africa Music Awards Msimu wa Saba (AFRIMMA) ambayo yamefanyika jijini Dallas, Texas, Marekani, ...

READ MORE

Wema: Nikipata Mtoto Nitachanganyikiwa

MREMBO anayesukuma maisha yake kupitia ulimwengo wa Bongo Muvi, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amevunja ukimya na kusema kuwa siku Mungu akimjalia...

READ MORE

Siri ya Mondi, Tiffah Yaanikwa

MSANII Nasibu Abdul ‘Diamond’ au Mondi kuwa karibu zaidi na mwanaye Tiffah kuliko Nillan kuna jambo limejificha, Risasi Jumamosi limedokezwa...

READ MORE

Hesabu ya Ndoa Inambeba Zaidi Zari kwa Mondi

MWISHONI mwa wiki iliyopita gumzo kubwa lilikuwa ni ujio wa mwanamama mjasiriamali wa Kiganda, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’...

READ MORE

Zuchu Awafunika Wabunge

UMAARUFU na mafanikio ya msanii kinara wa kike kwa sasa kwenye Bongo Fleva, Zuhura Othman ‘Zuchu’, vinatajwa kuwafunika hadi wabunge...

READ MORE

Belle 9 Afunguka A-Z Sababu ya Kugeukia Injili

HII ni sehemu ya mashairi yenye hisia za kutosha kutoka kwenye Ngoma ya Sumu ya Penzi ya Belle 9.Ni zaidi...

READ MORE

Mimba 3 za Mondi kwa Mobeto Zaibua Jambo!

KAULI ya mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto aliyoitoa hivi karibuni kuwa, alinasa mimba tatu za mpenzi wake Nasibu Abdul ‘Diamond’...

READ MORE

Freemason Watikisa Ndoa ya Mondi!

KUMEKUCHA tena! Kama ulikuwa unajiuliza kuhusu kubuma kwa ndoa ya mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’; usipate shida sana, miongoni mwa...

READ MORE

Esma Akiri Ndoa Yake Kuweka Rekodi

USIKU ule wa Agosti Mosi, mwaka huu, hakuna mwenye roho nzuri ambaye hakutoa neno la hongera kwa mwanamama Esma Khan...

READ MORE

Akaunti za Tiffah, Nillan Zasoma Mil. 500

KWA maana kila mwenye nacho ataongezewa! Maneno hayo ya kwenye Kitabu cha Mathayo katika Biblia yanaakisi maisha halisi ya watoto...

READ MORE

Lokole: Sasa Hivi Uchebe Anatoka Kweli na Agness

  HAYAWI hayawi sasa yamekuwa, baada yakufanya kiki kwa muda mrefu sasa unaambiwa wameamua kufanya kweli eti. Mtoa udaku mmoja...

READ MORE

Wema Aanika Alivyoteseka Baada ya Zari Kupata Mimba ya Mondi

  NDIO hivyo Bwana! Mrembo kutoka katika kiwanda cha filamu nchini Wema Sepetu hivi karibuni amesema kuwa hakuna kitu kilimuumiza...

READ MORE

Wema, Mobeto Walianzisha kumzima Zari

BAADA ya zilipendwa wao, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuteka mitandaoni na mitaani baada ya mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The...

READ MORE

Barnaba: Kifo Cha Ruge Kimenirudisha Nyuma!

UNAPOWAZUNGUMZIA wanamuziki wenye tungo nzuri na wanaojua kutumia vyombo vya muziki Bongo, kamwe huwezi kulitaja jina la kijana ambaye aliibuliwa...

READ MORE

Utajiri wa Marehemu Ginimbi Wazua Gumzo!

MITANDAO mbalimbali ya kijamii ‘imechafuka’ kwa picha za magari na mijengo ya kifahari ya kijana maarufu katika ukanda wa nchi...

READ MORE

Kendickson uso kwa uso na Harmonize!

STAA wa muziki nchini Nigeria, Amu Kingsley ‘Kendickson’ amesema ana shauku ya kufanya kolabo moja na msanii wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Harmonize Adaiwa Mshahara

MAMBO si mambo kwa upande wa staa wa muziki wa Bongo Fleva ambaye pia ni Mkurugenzi wa Lebo ya Konde...

READ MORE

Harmo, Kajala Mambo ni Moto!

TABIA ya kupe ni kuganda kwenye ngozi pale anapofyonza damu; unauliza mfano una maana gani kwenye stori hii, subiri upakuliwe...

READ MORE

Karen Achukia Mapenzi Jumla

  SEXY lady kunako anga la Bongo Fleva, Karen Habash ‘Malkia Karen’ anasema kuwa, hakuna maisha anayoyachukia jumla kama ya...

READ MORE

Mwili wa Zipompa Ulivyowasili Nyumbani Kwake

MWILI wa msanii maarufu wa Bongo Movies na mshereheshaji, marehemu MC Zipompa uliwasili nyumbani kwake, jana Alhamisi, Novemba 12, 2020,...

READ MORE

Mfahamu Jambazi wa Kimataifa Aliyefariki Akibadili Sura

ANAFAHAMIKA kwa jina la Amado Carrillo Fuentes, alizaliwa Desemba 17, 1956 huko Sinaloa, Guamuchil nchini Mexico na anafahamika zaidi kama...

READ MORE

Mc Pilipili: Shigongo Amenifanya Nitimize Ndoto Yangu – Video

MSANII wa Komedi nchini, Emmanuel Mathias maarufu kama ‘Mc Pilipili’ amemtaja Mbunge wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo kuwa ndiye mtu...

READ MORE

Uwanja wa Ndege Bujumbura Wafunguliwa

KUANZIA siku ya Jumapili, Uwanja wa ndege wa Bujumbura, Burundi, umefunguliwa kwa ajili ya ndege zinazofanya safari kimataifa baada ya...

READ MORE

Nyumba ya Kobe Bryant Yapigwa Mnada

Nyumba aliyokalia aliyekuwa gwiji wa mpira wa Kikapu, marehemu Kobe Bryant imepigwa mnada na kuuzwa kwa kiasi cha ($810,000) sawa...

READ MORE

Hanscana Aapa: Nimekoma Kusimamia Wasanii

MWONGOZAJI maarufu wa video Bongo, Director Hanscana,  hupenda kuongea na mashabiki zake kupitia instagram na kuruhusu mashabiki kumuuliza maswali.  ...

READ MORE

Mhariri: King Kikii Anateseka, Tumsaidieni

MHARIRI wa gazeti hili la IJUMAA WIKIENDA, Sifael Paul anawaomba wapenzi na wadau wa burudani ya muziki nchini kumsaidia mwanamuziki...

READ MORE

Zuchu Azidi Kumfokea Nandy

SECOND lady wa lebo kubwa ya muziki barani Afrika ya Wasafi Classic Baby (WCB), Zuhura Othman ‘Zuchu’, anazidi kumfokea mwanadada...

READ MORE

Bilionea Ginimbi Kuzikwa na Gunia la Fedha

  BILIONEA wa Zimbabwe, Genius Kadungure maarufu Ginimbi, atazikwa na gunia lililojaa fedha, kama alivyoagiza kwa wanachama wa ‘all-white funeral’....

READ MORE

Rayvanny Avunja Uchumba wa Nanah!

MUUZA sura (video queen) kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Nabila Aslam ‘Nanah’ aliyeonekana kwenye video ya Wimbo wa...

READ MORE

Tanasha Amfuata Zari Nyumbani kwa Mondi

KAMA noma na iwe noma! Ndivyo unavyoweza kuzungumza kufuatia taarifa mpya kutoka Kenya kudai kuwa, mwanadada Tanasha Donna Oketch naye...

READ MORE

Harmo, Sarah Waagana Rasmi

NI rasmi sasa kwamba, zile tetesi kuwa ndoa ya staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ na mkewe Sarah Michelotti...

READ MORE

Babu Tale Aapishwa Bungeni Dodoma – Video

MBUNGE wa Morogoro Vijijini Kusini-Mashariki, Hamis Taletale ‘Babu Tale’, akila kiapo cha kuwa Mbunge wa Bunge la 12 la Jamhuri...

READ MORE

Msanii Fayross wa Nigeria Kuanza Tour Tanzania

Msanii Fayross toka Nchini Nigeria atanazamiwa kuanza tour yake Tanzania, Kenya na Uganda mwaka Ujao. Hii ni baada ya msanii...

READ MORE