×

Championi

Mbelgiji Awahenyesha Ajibu, Wabrazili Dar

KOCHA wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems jana kwa mara ya kwanza alianza kazi ya kukinoa kikosi chake na kuonekana akikazia...

READ MORE

Matajiri Yanga Kufuru Mwanza

KUFURU tupu Yanga! Ndivyo unaweza kusema baada ya matajiri wa timu hiyo kutoa ahadi za uendelea kuisaidia klabu hiyo huku...

READ MORE

Akilimali: Nimechangiwa Sh 1900

MWANACHAMA na Mjumbe wa Baraza la Wazee Yanga, Ibrahim Akilimali ameweka wazi kuwa juzi Alhamisi hii alipokea mchango wa Sh...

READ MORE

Straika England aukubali mziki wa Stars

NAHODHA wa timu ya Taifa ya Burundi, Saido Berahino, ambaye aliwahi kuzicheza West Brom na Stoke City za Ligi Kuu...

READ MORE

Chirwa, Ngoma pasua kichwa Azam

KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche ameweka wazi kuwa tatizo kubwa ambalo linaipasua timu hiyo ni washambuliaji wake kutotumia...

READ MORE

Zabibu Asimulia Mumewe Banda Alivyonusurika na Xenophobia Sauz

MKE wa beki wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anakipiga Highlands Park FC ya Afrika Kusini, Abdi Banda, Zabibu...

READ MORE

Hii ya Msolla ni Rekodi, Yanga Yapata Bilioni 3.93

UONGOZI mpya wa Klabu ya Yanga ulioingia madarakani chini ya mwenyekiti wake, Mshindo Msolla na makamu wake, Frederick Mwakaleba umefanikiwa...

READ MORE

Aussems Awapiga Mkwara Mzito Nyoni, Wawa

KOCHA mkuu wa Simba, Patrick Aussems, amewashukia mabeki wake Muivory Coast Pascal Wawa na Erasto Nyoni kwa kuwaambia kwa msimu...

READ MORE

Yondani Atii Amri

BEKI Mkongwe wa Klabu ya Yanga, Kelvin Yondani amesema kuwa anakubali uwezo wa beki mwenzake raia wa Ghana, Lamine Moro...

READ MORE

Kocha Simba Aipa Yanga Tahadhari kwa Zesco

JACKSON Mayanga, Kocha Mkuu wa KMC ambaye amewahi kuzinoa Simba, Coastal Union na Kagera Sugar, ameipa tahadhari mapema Yanga kabla...

READ MORE

 Sadney Apewa Program Maalumu Yanga

BAADA ya kuonekana kutokuwa vizuri katika kuzifumania nyavu, mshambuliaji wa Yanga, Mnamibia, Sadney Urikhob ameandaliwa program kabambe ya kuhakikisha anakuwa...

READ MORE

Caf Yawapa Yanga SC Silaha Muhimu

SHIRIKISHO la Soka Afrika (Caf) wamewapa bonge la mchezaji Yanga baada ya kumruhusu kipa wao, Mkenya Farouk Shikalo kuanza kutumika...

READ MORE

Tshabalala Aanza Jeuri Simba

NAHODHA Msaidizi wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amesema ushindi wa mabao 3-1 walioupata dhidi ya JKT Tanzania, wiki iliyopita umerudisha...

READ MORE

Yanga SC Kuoga minoti Mwanza

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa utawapatia wachezaji wake fedha ambazo zilikuwa kama motisha kuhakikisha wanaitoa timu ya Township Rollers ya...

READ MORE

Aussems Akomaa na Wabrazili

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama kupisha michezo iliyopo katika Kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Kocha Mkuu...

READ MORE

Kazi Imeanza… Mbelgiji Apindua Kikosi Simba

BABAKOCHA Mkuu wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems amesema kuwa anataka kuona timu yake inapata ushindi wa mabao kuanzia matatu hadi...

READ MORE

Ligi Yaanza na Rekodi

SAFARI ya kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20 ilianza rasmi Agosti 24,mwaka huu katika viwanja tofauti. Na...

READ MORE

Zahera Atumia dk 50 Kutengenezea Mabao ya Balinya

KATIKA kuelekea mchezo wao wa Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera,...

READ MORE

Ndayiragije: Burundi Wanisamehe Nipo Kazini

KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Etienne Ndayiragije amewaambia Warundi kuwa yupo kazini, hivyo wasitarajie...

READ MORE

Mwinyi Zahera: Lwandamina Hanizuii

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ametamba kwamba licha ya kwamba anakutana na kocha ambaye aliwahi kuinoa Yanga, George Lwandamina,...

READ MORE

JKT: Simba Ilitolewa Kimakosa Ligi ya Mabingwa

KOCHA Mkuu wa JKT Tanzania, Mohamed Abdallah ‘Bares’ amesema kuwa kikosi cha Simba kimetolewa kwa makosa ya wachezaji kushindwa kutumia...

READ MORE

Kagere Atuma Vitisho kwa Yanga

MUITE Meddie Kagere baada ya kuanza ligi kwa kufunga mabao mawili amesisitiza kuwa sasa anataka kufunga kila mchezo atakaocheza ukiwemo...

READ MORE

Ajibu Amrahisishia Kazi Kagere

IBRAHIM Ajibu, nyota wa Simba aliyejiunga msimu huu akitokea Yanga ameweka wazi kuwa amejipanga kutoa asisti zaidi ya 17 alizotoa...

READ MORE

Tambwe: Kwa Falcao, Yanga Imelamba Dume

AMISSI Tambwe, juzi Jumatano alikuwa mbele ya runinga akiangalia mechi kati ya Yanga na Ruvu Shooting na ilivyoisha tu akaliambia...

READ MORE

Roma Yamuibukia Beki wa Liverpool

SENTAHAFU wa Liverpool, Dejan Lovren inasemekana yupo njia moja kujiunga na Roma ya Italia. Roma inadaiwa imetenga kitita cha pauni...

READ MORE

Molinga Awapa Simba Raha Dar

SIMBA jana walilala na furaha pengine kuliko watu wote Duniani. Kipigo cha Yanga mbele ya Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Griezmann Apata Dawa ya Messi

ANTOINE Griezmann amedhihirisha atakuwa tiba ya tatizo la Barcelona kumtegemea kupitiliza staa wao, Lionel Messi. Mfaransa huyo aliyejiunga na timu...

READ MORE

Ndemla: Kwa hali ilivyo sichezi Simba

BAADA ya Simba kutolewa katika michuano ya kimataifa, kiungo wa timu hiyo, Said Ndemla amesema kuwa inahitajika juhudi kubwa kwa...

READ MORE

Metacha Aliamsha Dude Yanga, Zahera Avurugwa

INAELEZWA kuwa kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera ameanza kupata wakati mgumu juu ya nani awe kipa namba moja kutokana na...

READ MORE

Balinya Aogelea Noti

  MSHAMBULIAJI wa Yanga raia wa Uganda, Juma Balinya Jumamosi iliyopita alioga noti kutoka kwa viongozi na mashabiki wa timu...

READ MORE

Azam FC: Tupo tayari kukichafua Ligi kuu

UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa timu yao ipo tayari kwa ajili ya msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara....

READ MORE

Masau Bwire: Tutaharibu sherehe ya Yanga

OFISAHabari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire ametamba kuifunga Yanga pindi watakapokutana katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara kwenye...

READ MORE

Ajibu afunguka rekodi za Yanga zinavyomtesa

KIUNGO mpya wa Simba, Ibrahim Ajibu ambaye amejiunga na kikosi hicho akitokea Yanga kwa kandarasi ya miaka miwili, anateswa na...

READ MORE

Aggrey Morris, Mudathir wampa kiburi Ndayiragije

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Ettiene Ndayiragije ameingia kiburi cha kufanya vizuri kwenye michezo yao ya Ligi Kuu Bara na...

READ MORE

Kila la Kheri Simba, Endeleeni Kutetea Heshima ya Tanzania

WIKIENDI ya ngumu kwenye soka la Tanzania inaendelea. Timu zetu nne zinazotuwakilisha kwenye michuano ya kimataifa zinaendelea kupambana kwa masilahi...

READ MORE

Kahata: Lazima tuwafunge UD Songo

WAKATI kikosi cha Simba, keshokutwa Jumapili kikitarajiwa kushuka uwanjani kucheza dhidi ya UD Songo ya Msumbiji, kiungo mshambuliaji wa kimataifa...

READ MORE

Shiboub Apata Dawa ya UD DO SONGO

KIUNGO Msudan wa Simba, Sharaf Shiboub amefunguka kuwa dawa pekee ya kuwafunga wapinzani wao, UD do Songo kwenye mechi yao...

READ MORE

Niyonzima: Hakuna wa kuifunga Simba Taifa

KIUNGO wa zamani wa Simba na Yanga, Haruna Niyonzima amesema kuwa hakuna timu yoyote yenye uwezo wa kuifunga Simba ikiwa...

READ MORE

Ligi inaanza, kuna mengi ya kufanyiwa kazi

LIGI Kuu Bara msimu wa 2019/20 inatarajiwa kuanza wikiendi hii kwa baadhi ya timu kupambana kwenye viwanja tofauti baada ya...

READ MORE

La Galaxy Wampa Ninja Namba 51

BEKI wa zamani wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ juzi Ijumaa alitambulishwa rasmi katika mtandao wa klabu ya La Galaxy II...

READ MORE