×

Championi

Klopp: Liverpool Vs Man City ni Bonge la Mechi

  LIVERPOOL, England KUELEKEA mechi ya Liverpool dhidi ya Manchester City, ambayo itachezwa leo Jumamosi, Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema...

READ MORE

Mkude Kama Ajib, Ajiandaa Kutimkia Nje

Nahodha wa Simba, Jonas Mkude naye yupo njiani kutimka klabuni hapo na kwenda kutafuta maisha nje ya nchi kama alivyofanya...

READ MORE

Azam FC wanataka kwenda mbinguni kabla ya kufa

Makala: Phillip Nkini, Gazeti la Championi Ijumaa, Desemba 30, 2016 TAARIFA kwamba Azam FC wamewatimua makocha wao raia wa Hispania...

READ MORE

Mkata Umeme ameanza kuwa mtamu

Waandishi Wetu, Gazeti la Championi Ijumaa, Desemba 30, 2016 Dar es Salaam KIUNGO wa Yanga, Mzambia, Justine Zulu ‘Mkata Umeme’,...

READ MORE

Gazeti la Championi Ijumaa, Toleo la Desemba 30, 2016

Angalia kilichoandikwa katika Gazeti la Championi Ijumaa leo Desemba 30, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Beki Matata Yanga Apata Timu Uarabuni

Wachezaji wa timu ya Yanga wakifanya maombi na Kocha wao. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam : Championi Jumatano BEKI wa...

READ MORE

TRA Yachota Sh Mil 500 Msimbazi

Na Khadija Mngwai, Championi Jumamosi, 23.12.2016 Toleo No. 1949 SIMBA imekamatika kwani inadaiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Sh...

READ MORE

Polisi Yawakamata Yanga Uwanja Wa Uhuru, Lyon 1-1 Yanga

        Wachezaji wa  African Lyon wakizozana na mchezaji wa Yanga. Waandishi Wetu, Championi Jumamosi, 23.12.2016 Toleo No. 1949 SARE...

READ MORE

Simba, Yanga Zamalizana Fresh Na Uhamiaji

Kikosi cha timu ya Yanga wakifamnya maombo na kocha wao. Na Khadija Mngwai, Championi Jumamosi, 23.12.2016 Toleo No. 1949 HATIMAYE...

READ MORE

Kwa Mpango Huu… Azam FC Wanaiba Fedha Za Bakhresa

Kikosi cha timu ya Azam. MAKALA – BONGO: Selemani Matola, Championi Ijumaa 23.12.2016 MIAKA 20 iliyopita tofauti na Simba na...

READ MORE

Ibrahim Ajibu atoweka Simba

Sweetbert Lukonge | Gazeti la Championi Ijumaa MSHAMBULIAJI wa Simba, Ibrahim Ajibu, ametoweka kwenye kikosi cha timu hiyo ambacho kesho...

READ MORE

Mgomo Yanga, Mshahara Ni Kisigizio Tu, Siri Imefichuka

 Wachezaji wa timu ya Yanga wakifanya maombi na Kocha wao George Lwandamina.  Na Mwandishi wetu| Gazeti la Championi J5 Wachezaji wa...

READ MORE

Kilichojiri Katika Mgomo wa Saa 24 Wachezaji wa Yanga

        Meneja wa Yanga akizungumza na watu walio ndani ya gari. Wilbert Molandi na Musa Mateja |...

READ MORE

Mistari kwa Mistari

Na Mwandishi Wetu John | Gazeti la Champion DESEMBA 31, 2016 siku ya mkesha wa kuamkia mwaka mpya wa 2017...

READ MORE

Lwandamina Aanzia Kileleni, Yanga 3- 0 JKT Ruvu Uwanja Wa Uhuru

Kikosi cha timu ya Yanga kilichoanza dhidi ya JKT Ruvu katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar. Yanga walishinda bao 3...

READ MORE

Lwandamina Mtihani Wa Kwanza Ligi Kuu Leo

  Kocha Mkuu wa Yanga, George Lwandamina. Khadija Mngwai, Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Yanga, George Lwandamina, anatarajia kuanza...

READ MORE

Ronaldo Uwanjani, Makampuni Yanamtupia tu Mamilioni

Na Saleh Ally } Championi Makampuni mbalimbali yanayofanya kazi ya mshambuliaji nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo yanamfanya kuwa mwanamichezo...

READ MORE

Ishu ya Hassan Kessy: Yanga Yapigwa Faini, Yatakiwa Kuilipa Simba Sh Milioni 50

Baada ya kupitia mawasilisho ya pande zote kwa njia ya mahojiano, na vielelezo Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za...

READ MORE

Mzee wangu Kilomoni Nakukumbusha… ‘Akili ya Kuambiwa Changanya na yako’

Na John Joseph | Championi TANGU naanza kupata uelewa wa kutambua vitu, nilizikuta Simba na Yanga zikiwa ni klabu kubwa...

READ MORE

Mkude Aeleza Sababu Ya Kuwazimia Simu Viongozi

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude. Kuna ule msemo hivi, Ukimwaga ugali wenzio wanamwaga mboga! Sasa Simba imepanga kumwaga mboga baada...

READ MORE

El Clasico, Leo ni Vita ya Real Madrid Vs Barcelona

GUERRA de El Clasico yaani Vita ya El Clasico ndiyo habari ya leo. Guerra de El Clasico ni maneno ya...

READ MORE

Timu iliyopata ajali Brazil yatakiwa kucheza mechi

SANTOS, Brazil LICHA ya kupoteza wachezaji wengi katika ajali ya ndege iliyotokea wiki hii, timu ya Chapecoense inaweza kulaz­imika kuingia...

READ MORE

Mtoto wa Zidane aanza yake Real Madrid

MADRID, Hispania MTOTO wa Kocha wa Real Madr id, Zinedine Zidane, anayejulikana kwa jina la Enzo, juzi al­iichezea timu hiyo...

READ MORE

Manji Ajitoa Yanga Rasmi

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji. Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, amesitisha kuendelea na zoezi la kuikodisha...

READ MORE

Kichuya: Hakyanani Yanga Wangekula Tatu

Mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya. Wilbert Molandi, Dar es SalaamBAADA ya kuisawazishia timu yake dakika za lala salama, kiungo mshambuliaji wa...

READ MORE

Msuva: Napitia Kulekule Kwa Tshabalala

Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva. BEKI wa kushoto wa Simba, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’, maarufu kama Tshabalala, amesema ataweka ulinzi mkali...

READ MORE

Pigo Moja Simba Chali Taifa, Cannavaro Nikipangwa Wameisha

KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amesema hana wasiwasi na mechi ya leo dhidi ya Simba kwani anakiamini kikosi...

READ MORE

Hii Ndiyo Simba, Mavugo Adai Hukumu Ya Yanga Imefika

SIMBA imejipanga kuhakikisha inaifunga Yanga leo na kuzidi kujikita kileleni ambapo kocha wake Joseph Omog amesisitiza kuwa, kikosi chake cha...

READ MORE

Pique: Shakira Ni Staa Akiwa Kazini Tu

Beki Gerard Pique wa Barcelona akipigwa busu na mke wake Shakira. Saleh Ally aliyekuwa BarcelonaMAHOJIANO kati ya beki Gerard Pique wa Barcelona,...

READ MORE

Pluijm: Dk 45 tu tunawamaliza Mwadui

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Said Ally KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ametamka kwamba...

READ MORE

Guardiola amzima Mourinho Old Trafford

TIMU ya Manchester City leo imeshinda mabao 2 – 1 dhidi ya Manchester United  katika mchezo mkali uliopigwa Uwanja wa Old Trafford....

READ MORE

Rooney Kiboko wa Manchester ‘Derby’

  Nyota wa Man United, Wayne Rooney akifanya yake. LEO kuna mechi ya watani wa jadi wa Jiji la Manchester...

READ MORE

Man United Vs Man City… Yageuka Kuwa Madrid Vs Barcelona

  Mshambuliaji kinda wa Manchester United Marcus Rashford (kulia0 akifanya yake. Saleh Ally, Barcelona MECHI ya watani na wapinzani wakubwa katika...

READ MORE

Omog: Kwa staili hii Yanga Bingwa

 Wachezaji wa Yanga wakipongezana kwa pamoja. Nicodemus Jonas na Sweetbert Lukonge LICHA ya Simba kuonekana kuwa ipo vizuri na ina...

READ MORE

Ajib Jeuri Aanzisha Vita Yanga

Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajib (katikati) akishangilia na wachezaji wenzake. BAADA ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha katika mchezo...

READ MORE

Wachezaji Simba waoga noti

Wachezaji wa Simba wakishangilia baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo uliopigwa juzi kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Matapeli watinga Yanga, waharibu mifumo

Kikosi cha timu ya Yanga. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam KLABU ya Yanga imepata pigo baada ya hivi karibuni watu waliotajwa...

READ MORE

Fedha za Kessy zasajili Yanga Yote!

Beki wa timu ya Yanga, Hassan Kessy. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam HAKIKA hii ni kali ya mwaka! Baada ya mzunguko...

READ MORE

Manji Akaa Kikao Kizito Na Wachezaji

Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam WAKATI Yanga kesho Jumapili ikitarajiwa kushuka uwanjani kupambana na...

READ MORE

Omog apangua kikosi Simba SC

Kikosi cha timu ya Simba. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge USIIONE Simba imekuwa tamu ukadhani benchi la ufundi limeridhika! Katika...

READ MORE