×

Featured Stories

Mwanza: Askari wa Kike Afariki kwa Tetemeko la Ardhi

ASKARI Polisi wa kike amefariki dunia leo mchana wilayani Misungwi baada ya kupatwa na mshtuko kufuatia kutokea kwa tetemeko la...

READ MORE

Mama Lulu Akwepa Mtego wa Lulu kuchumbiwa!

NA MAYASA MARIWATA | AMANI | TAMU TATU UCRESIA Kalugira ambaye ni mama wa msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael...

READ MORE

Amanda Ampigia Chapuo Jokate kwa ‘Mapouda’

NA MAYASA MARIWATA | AMANI | TAMU TATU DAR ES SALAAM: Staa wa Bongo Muvi, Tamrinah Poshi ‘Amanda’ ameweka wazi...

READ MORE

CEO wa Acacia Aibuka Kutetea Mchanga Wao wa Madini

Response to this morning’s Press Conference and presentation of the First Presidential Committee’s report on the export of metallic mineral...

READ MORE

Joseph Msukuma: Wasukuma Tutawaloga Ng’ombe Wetu Mtakaokula Nyama Yake Mvimbe Matumbo (VIDEO)

DODOMA: Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Musukuma amesema hawezi kumsifia hata kidogo Prof. Jumanne Maghembe, Waziri wa Maliasili na...

READ MORE

TANZIA: Mume wa Zari, Ivan Semwanga Afariki Dunia

TANZIA: Aliyekuwa mume wa Zarina Hassan ‘Zari The Bosslady’, Ivan Semwanga amefariki dunia akiwa hospitali nchini Uganda alipokuwa amelazwa kutokana...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamis ya Mei 25, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 25, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Video ya Uchafu ya Wakili wa Wema, Gigy Siri Nzito Yavuja

DAR ES SALAAM: Aibu! Siri nzito imevuja baada ya video chafu iliyomhusisha wakili maarufu hapa nchini ambaye pia aliwahi kusimamia...

READ MORE

BreakingNews: Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Prof. Muhongo… Barua Ipo Hapa

IKULU: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini,...

READ MORE

Breaking News: FIFA Yaipongeza Yanga Kwa Ubingwa Ligi Kuu Bara

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania la Kimataifa (Fifa), Gianni Infantino, ametuma salamu za pongezi kwa timu ya Yanga baada...

READ MORE

Kigoma All Stars Gari Limeishiwa Mafuta au Dereva Amesinzia?

BRIGHTON MASALU | RISASI MCHANGANYIKO | MAKALA ALHAMISI mchana. Wingi wa watu hususan vijana wakiwa kimya kabisa, unanipa hamasa ya...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Amtaka Muhongo Aachie Ngazi, Aivunja Bodi ya TMAA na Kumfuta Kazi Mkurugenzi Wake

IKULU, DAR ES SALAAM: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumatano, Mei 24, 2017...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Akabidhiwa Ripoti ya Mchanga wa Madini

IKULU, DAR ES SALAAM: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumatano, Mei 24, 2017...

READ MORE

Barua Nzito Kwa Bongo Fleva Wote baada ya kuondokewa na Dogo Mfaume

NA GABRIEL NG’OSHA | RISASI JUMATANO | BARUA NZITO Mungu wangu ninakushukuru kwa siku ya leo, asante pia kwa ajili...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Mei 24, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 24, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Rais Magufuli, Wahurumie, Hawa Wote Wanaume Zao Wameuawa Kwa Kupigwa Risasi

STORI: WAANDISHI WETU| UWAZI| HABARI PWANI: Wanawake 22 ambao waume wao wameuawa na watu wasiojulikana katika Wilaya za Kibiti, Ikwiriri...

READ MORE

Mastaa wa Kike Washindana Kutupia Picha Kali Instagram

  Mwigizaji wa Bongo Movies, Wema Sepetu. Mwigizaji wa Bongo Movies, Kajala Masanja. Mwanamitindo Jokate Mwegelo. Staa wa Mduara Bongo,...

READ MORE

Mtoto Anayeishi kwa Kunywa Mafuta Apata Ahueni

DAR ES SALAAM: Mtoto ambaye amekuwa akiishi kwa kunywa mafuta ya kula na kula sukari, Shukrani Kipango, alilazwa Hospitali ya...

READ MORE

Sasa ni Rasmi, Manji Amejiuzulu Yanga, Mwenyewe Amethibitisha, Kauli yake Hii Hapa…

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amethibitisha kuachia ngazi katika nafasi ya Uenyekiti wa klabu hiyo, uamuzi ambao aliuchukua...

READ MORE

Yamoto Bendi Yavunjika Rasmi, Kila Mmoja Sasa Kivyake

NA NA ANDREW CARLOS | UWAZI |MAKALA DAR ES SALAAM: Kwa mara ya kwanza, usiku wa Jumapili, Septemba 21, mwaka...

READ MORE

Watu 22 Wauawa Kwa Bomu Manchester, Uingereza

Watu 22 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa vibaya kwenye shambulio baya la bomu lililotokea kwenye ukumbi lilipokuwa...

READ MORE

Eti Amber Lulu Hapigi Tena Picha za Utupu!

NA ALLY KATALAMBUL, UWAZI, SHOWBIZ MWANAMUZIKI na video queen anayesumbua Bongo, Amber Lulu amefunguka kuwa, kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhani...

READ MORE

Mapenzi Yanawazidi Nguvu Izzo Buzness na Abela Music

MAKALA: BONIPHACE NGUMIJE, UWAZI, MAKALA YAWEZEKANA kukawepo maneno mengi ya kuzungumza juu ya ukaribu wa wanamuziki wawili Emmanuel Simwenga ‘Izzo...

READ MORE

Ukweli Kigogo wa Polisi Aliyeuawa Kinyama Dar

STORI: GLADNESS MALLYA NA MAYASA MARIWATA | IJUMAA WIKIENDA DAR ES SALAAM: Hali inazidi kuwa mbaya kufuatia ongezeko la matukio...

READ MORE

VIDEO: Sirro Afafanua Utata wa Kifo cha Denti UDSM Aliyedaiwa Kuuawa na Polisi

DAR ES SALAAM: KAMISHNA wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro,  amesema jeshi la polisi...

READ MORE

Mtoto wa Miaka 12 Auawa, Anyofolewa Sehemu za Siri na Macho

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtoto wa miaka 12, Dorcas Meshak mkazi wa kitongoji cha Mbughantigha kijiji cha Matongo tarafa...

READ MORE

Pichaz: Mbwembwe za Real Madrid na Kombe Lao… Usipime!

Mabao mawili ya Cristiano Ronaldo na Karim Benzema yaliiwezesha Real Madrid kutwaa taji la kwanza la La Liga tangu 2012...

READ MORE

Pichaz +Video: Mapokezi Ya Yanga Dar Usipime, Mashabiki Wajitokeza kwa Kishindo

Mashabiki wa Yanga wakiisubiri timu yao kabla ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakitokea Mwanza...

READ MORE

Siyo Siri Tena… Waziri wa JPM Adata Penzi La Batuli, Adaiwa Kumpangishia Bonge la Jumba Uzunguni

STORI NA WAANDISHI WETU | IJUMAA | HABARI UBUYU ulionyooka kabisa umetua kwenye meza ya gazeti hili ukidai kuwa, waziri...

READ MORE

Kumbukumbu ya Kuzama kwa Meli ya MV Bukoba Mei 21, 1996

Meli ya MV Bukoba ikiwa Ziwa Victoria wakati ilipokuwa ikitoa huduma ya usafirishaji kabla ya kuzama. KIUKWELI tarehe kama ya...

READ MORE

Video: Mapokezi ya Timu ya Yanga Wakitua na Kombe la Ubingwa 2017

SUBSCRIBE NOW: https://www.youtube.com/user/uwazi1

READ MORE

Elice Mwakanjila Aibuka Kidedea Miss Ustawi 2017

  MWANAFUNZI wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Elice Mwakanjila usiku wa kuamkia leo Jumamosi, ameibuka kinara wa Miss Ustawi...

READ MORE

FT: Simba 2-1 Mwadui FC Uwanja wa Taifa, Dar

FULL TIME Dakika ya 96: Mwamuzi anamaliza mchezo, Simba inapata ushindi wa mabao 2-1. Dakika ya 94: Mwadui ndiyo wanaomiliki...

READ MORE

FT: Yanga 0-1 Mbao FC, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza

FULL TIME Mbao wanaibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga, wanashangilia kwa nguvu kwa kuwa wanajihakikishia kubaki katika...

READ MORE

Mwanaheri Nikiwa Nyumbani Huwa Navaa Mavazi 3 Tofauti

NA GLADNESS MALLYA | RISASI JUMAMOSI | MPAKA HOME KILA Jumamosi huwa tunakutana katika safu hii ya Mpaka Home mpenzi...

READ MORE

Mashabiki Wamcharukia Ben Pol Baada ya Kupost Picha Chafu Instagram

Staa wa Bongo Fleva, Ben Pol ameamua kuachia picha za utata katika akauti yake ya Instagram hivi karibuni baada ya...

READ MORE

BREAKING NEWS: Majambazi Wanne Wauawa na Polisi Kariakoo (Pichaz)

DAR ES SALAAM: Jeshi la Polisi limewaua watu wanne wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakati wakivamia maduka Kariakoo, Mtaa wa Aggrey...

READ MORE

Leo Ndiyo Leo Nay wa Mitego, Barnaba Kukinukisha Dar Live

BAADA ya kuliamsha dude katika shoo ya bure jana ndani ya Viwanja vya Karume jijini Dar, Mkali wa Ngoma ya...

READ MORE