×

Featured Stories

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Mei 20, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 20, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

PICHAZ: Dogo Mfaume Alivyozikwa Dar

JUZI JUMATANO, Mei 17, 2017 tasnia ya muziki wa Bongo ilikumbwa na msiba mkubwa baada ya kuondokewa na msanii Mfaume...

READ MORE

Video: Miss Ustawi wa Jamii, 2017 Kwenye Ukumbi wa King Solomon, Dar

KINYANG’ANYIRO cha kumtafuta Miss Ustawi wa Jamii, 2017 muda huu kwenye Ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga jijini hapa huku...

READ MORE

VIDEO: Nay wa Mitego Agonga Shoo ya Bure Karume, Kesho Kukinukisha Dar LIVE

RAPA mbishi Bongo, Mkali wa Ngoma ya Wapo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ leo amegonga shoo ya bure ndani ya...

READ MORE

Wema kwa Hili la Mihela, wa Kukuoa….

NA OJUKU ABRAHAM | IJUMAA| ZA CHEMBE WEMA Sepetu, kwangu ni miongoni mwa wasanii waigizaji wa kike wanaojua nini wanafanya...

READ MORE

Kiemba: Nimeamua Kuachana na Stand Baada ya…

NA MUSA MATEJA  | CHAMPIONI IJUMAA | MAKALA KIUNGO mkongwe wa Stand United ya Shinyanga, Amri Kiemba anatambulika katika soka...

READ MORE

Aliyetobolewa Macho na Scorpion… Asimulia Yakukutoa Machozi!

STORI: BRIGHTON MASALU NA ANDREW CARLOS | GAZETI LA IJUMAA DAR ES SALAAM: Majanga upya! Unaweza sema hivyo kwa maana...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Mei 19, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 20, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

#GlobalCelebNews: Jay Z na Beyoncé Wana Utajiri Zaidi ya Dola Bn. 1

WANANDOA wawili wakali wa wanamuziki wa familia ya Carters, ambao ni Jay Z na Beyoncé wana mkwanja unaovuka Dola bilioni...

READ MORE

Meya wa Arusha, Waandishi 10, Wakamatwa Wakiwa Lucky Vincent

Wamiliki wa Shule Binafsi waliyokwenda kutoa rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent kufuatia ajali iliyouwa watu 35 hivi...

READ MORE

Mwigulu: Matibabu Kwanza PF3 Baadaye

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Lameck Nchemba amesema kuanzia sasa mtu yoyote atayeweza kupata majeraha yasiyokuwa na...

READ MORE

Mume wa Zari hoi Akisumbuliwa na Maradhi ya Shambulio la Moyo

STORI: MWANDISHI WETU | AMANI | DAR ES SALAAM KAMPALA: Habari mbaya zilizolifikia Amani zinadai kuwa, aliyekuwa mume wa staa...

READ MORE

Shinda Nyumba Awamu ya Pili Bado Inazidi Kupeta Mitaa Mbalimbali

KWA uchunguzi uliofanywa na Gazeti la Amani, inaonesha kuwa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili bado inazidi kupeta...

READ MORE

Undani wa Kifo cha Dogo Mfaume na Ugonjwa Uliomuua, Uswahilini Simanzi tupu

Dogo Mfaume – Kazi Ya Dukani (Official Video) STORI: MWANDISHI WETU | AMANI | DAR ES SALAAM DAR ES SALAAM:...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Mei 18, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 18, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Mke wa Kiongozi wa CCM, Kibiti Asimulia Mumewe Alivyouawa Kwa Risasi 10

STORI: WAANDISHI WETU | UWAZI | HABARI Pwani: Hali inazidi kuwa mbaya katika Wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga za...

READ MORE

Global TV Online: LIVE Kipindi Cha Wanyama

Kutoka Mbuga za Wanyama: Kipindi hiki kitaanza kuonyeshwa live leo kupitia Global TV Online Bofya Play  

READ MORE

Amber Lulu Acha Uchafu wa Mapicha, Fanya Muziki

NIANZE kumsh-ukuru Mungu kwa kila jambo katika maisha yangu na yako msomaji wa Barua Nzito, hasa baada ya kumaliza wiki...

READ MORE

VIDEO: Wazee Simba Wakinukisha Sakata la Mo Kujiondoa & Udhamini wa SportPesa

  Sakata la mabadiliko ya katiba ya Klabu ya Simba ambayo yanatajwa kuwa yanaweza kuifanya klabu hiyo kuingia katika uwekezaji...

READ MORE

Q-Chillah, Ray C, TID, Matonya, Marlaw na Besta Turudisheni Muziki Wetu

Stori: BRIGHTON MASALU | RISASI JUMATANO | RISASI VIBES “NINACHO-KIPATA, nagawana na wenzangu maskini zaidi yangu, wenye dhiki kama mimi,...

READ MORE

Viongozi wa Simba Wakutana na Mohammed Dewji Usiku

NA SWEETBERT LUKONGE | CHAMPIONI |HABARI UONGOZI wa Simba, jana ulitarajia kukutana na Mohammed Dewji maarufu kama MO, aliyeamua kujitoa...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Mei 17, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 17, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Video: Maajabu ya Mti Uliotoa Uhai Watu 5, Arusha ..Ilikuwa Lazima Wafe

STORI: HILALY DAUDI | UWAZI | HABARI ARUSHA: Ilikuwa lazima wafe! Hivyo ndivyo walivyokuwa wakisema baadhi ya watu walioshuhudia tukio...

READ MORE

Pichaz: Muonekano Mubashara wa Wema Sepetu

  …Akijiachia katika pozi mbalimbali. Supastaa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, ametupia picha mpya kwenye akaunti yake ya Mtandao...

READ MORE

Breaking News: Mkuu wa Mkoa Meck Sadiki na Majaji Wawili Waachia Ngazi

KUJIUZULU: Rais Magufuli ameridhia kujiuzulu kwa viongozi wafuatao; RC Kilimanjaro, Said Meck Sadiki, majaji wa Mahakama Kuu, Aloysius Mujulizi na...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Leo Mei 16, 2017

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Leo Mei 16, 2017

READ MORE

Tunda Mapenzi Ya Mitandaoni Byebye!

Stori: Boniphace Ngumije| UWAZI | Showbiz MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Tunda Sebasita ‘Tunda’ hivi karibuni amefunguka kuwa miongoni...

READ MORE

Rais Magufuli Ameivunja Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza mara baada ya kusaini Amri ya Rais (Presidential...

READ MORE

GlobalNewsAlert: Lita 6,694 za Kemikali za Kutengenezea Dawa za Kulevya Zakamatwa Dar

DAR ES SALAAM: Kamishna wa Mamlaka ya Kupambana na Kuzuia Dawa za Kulevya nchini, Rogers Sianga amesema wamekamata kiasi cha...

READ MORE

Breaking News: Baada ya Kutangaza Kujiuzulu, Hans Pope Arejea Tena Simba

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hanspope amerudi kundini Simba baada ya kufuta uamuzi wake wa kujiuzulu Mkuu...

READ MORE

Gigy Amchefua Wema Ukumbini

Stori: Waandishi Wetu | IJUMAA WIKIENDA |DAR ES SALAAM Muuza nyago kwenye video za nyimbo za wasanii wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Nani Anataka Kumuua Rose Muhando?

STORI: SIFAEL PAUL | IJUMAA WIKIENDA MWANAMAMA Rose Muhando ni staa mkubwa wa Nyimbo za Injili Bongo. Rose ana sauti...

READ MORE

Wanafunzi Walionusurika Ajali ya Basi Arusha Wapelekwa Marekani

Ndege kubwa inayoweza kutumika kama ‘AMBULANCE‘ angani na iliyotoka North Carolina, Marekani kuja moja kwa moja Kilimanjaro, Tanzania kuwachukua majeruhi...

READ MORE

Breaking News: Hans Poppe Ajiuzulu Kisa Pesa za SportPesa

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Simba, Zacharia Hans Poppe ameachia ngazi. Habari za uhakika zimeeleza kuwa Hans Poppe ameandika...

READ MORE

Mohammed Dewji Adaiwa Kutaka Arudishiwe Mamilioni Aliyowapa Simba

Ikiwa ni siku mbili tu zimepita baada ya Simba kutiliana saini kandarasi ya udhamini na kampuni ya SportPesa, mdau wa...

READ MORE

Ripoti Kamili Ya Mchungaji Aliyeoa Mke wa Muumini, Aongea na Risasi

STORI: Gabriel Ng’osha | Risasi Jumamosi | Habari KAGERA: Tukio la Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo, Japhes Josephat...

READ MORE

Kauli ya Rais Mstaafu Mkapa Kuhusu Serikali Kubana Uhuru wa Habari

Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Mzee Benjamin Mkapa amevikosoa vyombo vya habari barani Afrika na haswa kusini mwa Jangwa...

READ MORE

VIDEO: Lowassa Asikitishwa na Serikali Kufuta Kongamano la Vyama vya Siasa

DAR ES SALAAM: MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa amesikitishwa na kile alichokisema...

READ MORE

Abiria Waliokwama kwa Treni Morogoro Wapata Usafiri

MORORGORO: Abiria wapatao 802 waliokuwa wakisafiri kwa treni kutoka Dar es Salaam kwenda Bara kukwama Lukobe, Morogoro wamefanikiwa kusafirishwa kwa...

READ MORE

Picha: Treni ya Abiria Yapata Ajali, Morogoro

MOROGORO: Treni ya abiria iliyokuwa inakwenda Bara imepata ajali usiku wa kumakia leo majira ya saa 5:25 katika eneo la...

READ MORE