×

Global TV Online

Spika Awapa ‘Tano’ Nape, Ngeleja na Makamba – Video

SPIKA wa Bunge Job Ndugai, amewapongeza wabunge watatu wa CCM, Mh. Nape Nnauye, January Makamba na William Ngeleja kwa kitendo...

READ MORE

Ajifanya ‘Ridhiwani’, Amfanyia Kitu Mbaya Akilimali – Video

BAADA ya kupata taarifa za kuugua kwa Katibu wa Baraza la Wazee la Klabu ya Yanga, mzee Akilimali, timu ya...

READ MORE

Video: Lwandamina Atamba Kuifunga Yanga Taifa

 KOCHA Mkuu wa Zesco United, George Lwandamina amesema atatumia ubora wa timu yake dhidi ya Yanga na ana matumaini...

READ MORE

VIDEO: ZESCO UNITED Watua USIKU wa MANANE, KUMENYANA na YANGA SC

 Zesco itaumana na Yanga katika mchezo wa Ligi ya ambingwa barani Afrika katika uwanja wa Taifa jijijni Dar es...

READ MORE

Sabaya Awatia Ndani Wahasibu ‘Waliopiga’ Ada za Wanachuo – Video

SAKATA la wanachuo wa Chuo cha Ualimu Moshi limechukua taswira mpya baada ya Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole...

READ MORE

JPM Amjulia Hali Askofu Ruwa’ichi Aliyelazwa MOI – Video

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli amjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki...

READ MORE

Kikwete Kusaidia Matibabu ya Watoto – Video

BRAZUKA Kibenki Marathoni ni mbio za nyika zitakazofanyika Septemba 15 mwaka huu ambazo zimeandaliwa na mabenki 18 yanayofanya shughuli zake...

READ MORE

VIDEO: TAZAMA JPM ALIVYOSHTUKIZA KITUO CHA POLISI SALENDER

Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania John Magufuli amefanya ziara katika kituo cha Polisi Salender na kuzungumza na baadhi ya...

READ MORE

Mchungaji Mwenye Wake 3 Kortini na Wake Zake- Video

MCHUNGAJI wa Kanisa la The Hill Lord, David Chiliuza ( 33) mwenye wake watatu anayekabiliwa na mashtaka mawili yeye na...

READ MORE

Exclusive: Mjamzito Aliyevimba Matiti, Daktari Asimulia Mazito! – Video

MAAJABU na huzuni vimemkumba mama mjamzito, Neema Peter John,  mkazi wa Mahandu Machinjioni jijini Mwanza baada ya kuvimba matiti na...

READ MORE

VIDEO: HISTORIA Ya KARUME, Rais Aliyezawadiwa KIFO Kwa WEMA Wake!

Mwaka alfu mia kenda na tano, alizaliwa Abeid Amani Karume katika ardhi ya Zanzibar kuwakomboa wanyonge kutoka kwenye mikono katili...

READ MORE

VIDEO: MASHABIKI Wamvaa ZAHERA – “ONDOKA, Huyo MOLINGA Ni DANSA

 Klabu ya Yanga Septemba 7, 2019  imelazimishwa sare ya kufunga bao 1-1 na timu ya Pamba fc katika mchezo...

READ MORE

JPM: Museveni Fukuza Watendaji Wanaokukwamisha – Video

Rais John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni, wamefanya kongamano la biashara kati ya Tanzania na Uganda...

READ MORE

VIDEO: UCHAMBUZI KIFO CHA JEMEDARI MUGABE KATIKA HARAKATI ZA UKOMBOZI

 RAIS mstaafu wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amefariki dunia leo Septemba 6, 2019 akiwa na umri wa miaka 95. Rais...

READ MORE

Video: Magufuli na Museveni Katika Kongamano la Biashara Dar

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amewasili nchini Tanzania jana, Septemba 5, 2019 jioni kwa ajili ya ziara yake ya kikazi...

READ MORE

Tanesco Yamsaidia Kijana Anayeishi kwa Msada wa Mashine ya Oxygen

KIJANA anayeishi kwa msaada wa mashine ya Oxygen ili kumuwezesha kupumua, Bw. Hamad Awadhi amelishukuru Shirika la Umeme Nchini TANESCO...

READ MORE

RPC Muroto Anasa Makahaba, Bastola… “Wameangukia Pua” – Video

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, Giles Muroto, amesema Jeshi hilo mkoani humo limefanikiwa kukamata bunduki aina ya bastola aina...

READ MORE

Ndege Iliyozuiliwa Sauzi Yatua Dar, Rubani Asimulia – Video

NDEGE ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) aina ya Airbus A220-300 iliyokuwa ikishikiliwa nchini Afrika Kusini, iliwasili katika Uwanja...

READ MORE

Nape Aitaka Serikali Itimize Ahadi – Video

MBUNGE wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, pamoja na kuishukuru serikali kwa kuahidi kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Wahandisi na Wadau wa Ujenzi – Video

Rais Dkt. John Magufuli leo Sept. 4, 2019 amekutana na wahandisi na wadau wa sekta ya ujenzi katika Ukumbi wa...

READ MORE

BREAKING: Ndugai Amwapisha Mtaturu Kumrithi Lissu – Video

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amemwapisha Miraji Mtaturu kuwa Mbunge wa Singida Mashariki (CCM),...

READ MORE